Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Wewe uko mwaka wa ngapi hapo Duce?
 
Moi kumtoa madarakani ilibidi wafanye nae mazungumzo. Kila uchaguzi alipigiwa kura na idadi kubwa sana ya marehemu, walio hai wengi hawakumpenda.

Haya madaftari ya wapiga kura ya NEC CCM yamejaa majina ya marehemu.
 
Ilani imekamilika 100% Tanzania ni ya ngapi kwa utajiri duniani?
Maisha yako individually yamebadilikaje? elimu imepanda? kuna kiwanda kipi kipya? export zimeongezeka? maisha ya mtanzania wa kawaida yameimarika? au idadi ya maskini imeongezeka?

Seriously watu sijui mmefungwa macho, hatujapanda juu, bado tupo level ileile, ambacho tumeongeza ni maneno tu kua kuna effort ambazo hadi sasa hazijazaa matunda. Sifia kila kitu hua mna matatizo sana, tatizo sio upinzani wala ccm, tatizo nchi bado iko ovyo, viongozi wamekaa kukomalia watu ambao hawajaoa utadhani ndiyo priority alafu mnasema ilani imekamilika, uko serious kweli?
 
Wewe umezisoma ilani ninazozungumzia au unateseka tu!
 

Jibu utalipata hapa

 
Yapo mapya mengi mojawapo ni kuwajengea uwezo madaktari wetu ili kupunguza vifo na rufaa za nje ya nchi
 
Watakuja na HATUTAKI MAENDELEO YA VITU.
 
Kupanga nikuchagua na maendeleo si kupanga na kuchagua
 
Bwashee umeshafika muhimbili siku za karibuni?
Dada yangu wa kuzaliwa alipoteza maisha KCMC kwa failure ya operation ya kizazi. Kaka yangu kwa Baba mdogo kapoteza uhai kwa tatizo la figo; kaka yangu wa kuzaliwa kapoteza uhai kwa kulishwa madawa ya Taifodi na malaria wakati tatizo lilikuwa pressure na sukari.

Sekta ya afya kwa upande wa rasilimali watu inahitaji kujengewa uwezo zaidi. Kuna watu wanapatwa na "stroke" wengi huponea Nairobi kwa operation isiyotumia upasuaji si tumefika hapo? Kuna wagonjwa wanaambiwa wana Cancer wakienda nchi jirani inagundulika ni kifua kikuuu wanatibiwa wanapona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…