Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Hoja Na mambo ya kumkosoa magu Ni mengi sana.mgombea yeyote Wa urais akishindwa Sera anione tu.bado Ni mengi kibao.kwa mfano bodi ya mikopo badala ya kutoa mikopo ya ELimu ya juu kiubaguzi itoe kwa watu wote.pia mikopo waombaji wenyewe wapendekeze kiasi cha kukopeshwa.mambo Ni mengi hatari
Wewe uko mwaka wa ngapi hapo Duce?
 
Moi kumtoa madarakani ilibidi wafanye nae mazungumzo. Kila uchaguzi alipigiwa kura na idadi kubwa sana ya marehemu, walio hai wengi hawakumpenda.

Haya madaftari ya wapiga kura ya NEC CCM yamejaa majina ya marehemu.
 
Ilani imekamilika 100% Tanzania ni ya ngapi kwa utajiri duniani?
Maisha yako individually yamebadilikaje? elimu imepanda? kuna kiwanda kipi kipya? export zimeongezeka? maisha ya mtanzania wa kawaida yameimarika? au idadi ya maskini imeongezeka?

Seriously watu sijui mmefungwa macho, hatujapanda juu, bado tupo level ileile, ambacho tumeongeza ni maneno tu kua kuna effort ambazo hadi sasa hazijazaa matunda. Sifia kila kitu hua mna matatizo sana, tatizo sio upinzani wala ccm, tatizo nchi bado iko ovyo, viongozi wamekaa kukomalia watu ambao hawajaoa utadhani ndiyo priority alafu mnasema ilani imekamilika, uko serious kweli?
 
Ilani imekamilika 100% Tanzania ni ya ngapi kwa utajiri duniani?
Maisha yako individually yamebadilikaje? elimu imepanda? kuna kiwanda kipi kipya? export zimeongezeka? maisha ya mtanzania wa kawaida yameimarika? au idadi ya maskini imeongezeka?

Seriously watu sijui mmefungwa macho, hatujapanda juu, bado tupo level ileile, ambacho tumeongeza ni maneno tu kua kuna effort ambazo hadi sasa hazijazaa matunda. Sifia kila kitu hua mna matatizo sana, tatizo sio upinzani wala ccm, tatizo nchi bado iko ovyo, viongozi wamekaa kukomalia watu ambao hawajaoa utadhani ndiyo priority alafu mnasema ilani imekamilika, uko serious kweli?
Wewe umezisoma ilani ninazozungumzia au unateseka tu!
 
Nikiufuatilia utendaji wa serikali ya awamu ya 5 naona yaliyoahidiwa na vyama vya upinzani mwaka 2015 ni kama yameshatekelezwa yote.

Ilani ya CCM kwa kuwa ilisheheni vitu vingi sana kutokana na uwezo mkubwa wa kifikra wa wale walioiandaa imetekelezwa kwa zaidi ya 90% na ifikapo September 2020 itakuwa imekamilika kwa 100%

Nauona upinzani ukifutika kabisa kwenye ramani ya Tanzania.

Maendeleo hayana vyama!

Jibu utalipata hapa

 
Nikiufuatilia utendaji wa serikali ya awamu ya 5 naona yaliyoahidiwa na vyama vya upinzani mwaka 2015 ni kama yameshatekelezwa yote.

Ilani ya CCM kwa kuwa ilisheheni vitu vingi sana kutokana na uwezo mkubwa wa kifikra wa wale walioiandaa imetekelezwa kwa zaidi ya 90% na ifikapo September 2020 itakuwa imekamilika kwa 100%

Nauona upinzani ukifutika kabisa kwenye ramani ya Tanzania.

Maendeleo hayana vyama!
Yapo mapya mengi mojawapo ni kuwajengea uwezo madaktari wetu ili kupunguza vifo na rufaa za nje ya nchi
 
Nikiufuatilia utendaji wa serikali ya awamu ya 5 naona yaliyoahidiwa na vyama vya upinzani mwaka 2015 ni kama yameshatekelezwa yote.

Ilani ya CCM kwa kuwa ilisheheni vitu vingi sana kutokana na uwezo mkubwa wa kifikra wa wale walioiandaa imetekelezwa kwa zaidi ya 90% na ifikapo September 2020 itakuwa imekamilika kwa 100%

Nauona upinzani ukifutika kabisa kwenye ramani ya Tanzania.

Maendeleo hayana vyama!
Watakuja na HATUTAKI MAENDELEO YA VITU.
 
Je, watanzania ni wazito wa kufikiri? Ethiopia inazo ndege nyingi sana na inashindana na nchi za ulaya, Ethiopia inajenga bwawa kubwa sana la umeme na Ethiopia ina reli ya kipimo cha kati (SGR) na ni makao makuu ya AU, lakini wananchi wake kila siku wanakamatwa wakipita Tanzania kuelekea Afrika Kusini, wanaikimbia nchi yao. Watanzania wa leo tunaamini Rais anayefanya manunuzi kila siku basi ni kiongozi bora licha ya sisi kuwa mbali na vitu hivyo. Hapo ndipo tunapoona mkazi wa kijijini Mbaba Bay akishabikia SGR huku akilalamika hana maji, barabara na huduma za afya. Kama kuwa na hivyo vitu ni maendeleo kwa wananchi basi waethiopia hawana sababu ya kukimbia nchi yao. Uajabu wetu ni pale mtu anaposifia utajiri wa mwingine kama vile ni wake huku akilala njaa.
Kupanga nikuchagua na maendeleo si kupanga na kuchagua
 
Bwashee umeshafika muhimbili siku za karibuni?
Dada yangu wa kuzaliwa alipoteza maisha KCMC kwa failure ya operation ya kizazi. Kaka yangu kwa Baba mdogo kapoteza uhai kwa tatizo la figo; kaka yangu wa kuzaliwa kapoteza uhai kwa kulishwa madawa ya Taifodi na malaria wakati tatizo lilikuwa pressure na sukari.

Sekta ya afya kwa upande wa rasilimali watu inahitaji kujengewa uwezo zaidi. Kuna watu wanapatwa na "stroke" wengi huponea Nairobi kwa operation isiyotumia upasuaji si tumefika hapo? Kuna wagonjwa wanaambiwa wana Cancer wakienda nchi jirani inagundulika ni kifua kikuuu wanatibiwa wanapona
 
Back
Top Bottom