Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Wizara ya miundo mbinu na ilewizara ya madini zirudi ikulu na waziri wake awe rais wa jamhuri. Hapo nchi inaweza kusogea.
Wizara ya michezo, utamaduni na elimu iwe moja,
Wizara ya katiba, sheria, utawala bora iwe moja.
Mambo ya ndani , usalama wa taifa na ulinzi iwe moja na iwe chini ya waziri mkuu.

Ardhi, ujenzi na usafirishaji iwe moja... Wizara ya fedha iitwe wizara ya mapato. Kila kinachousiana na mapato kiwe chini yake ila pawepo na makamishena.
Nk nk apo kiu inaweza kupungua.
Asante kwa mada nzuri
 
Hata jk ...alianza hiv....ila naomba Mungu sana....aendeleze haya na miktaba mibovu aipitie.....
 
kwa kasi hii yamaghufuli anahitajika spika mchapa kazi na sio mdebwedo kama bibi kiroboto...
 
Nyoosha hao wala rushwa wanyooke na watendaji wabovu pia wawajibike kuwahudumia wananchi.

Rais wangu JPM hakikisha unakula sahani moja na hao watu wa halmashauri, pesa nyingi inapotea.

Go Magufuli....

Watendaji wazembe na wala rushwa serikalini atawanyoosha. Mungu akutangulie Rais wetu katika kazi ya kutekeleza majukumu yako. God bless you
 
Hoyaaaaaaaaaaaa, jamani ehee tumeshachoka Magufuri Magufuri si tumpe angalau mwezi au miezi 3 ndo tutapima si wanasema siku hazigandi tutayaona tu.
 
Wiki ijayo anaanza kwenye halmashauri. Mwezi ujao anaingia mikoani. Mpaka waziri mkuu anaingia atakuwa ameshafyeka kansa yote serikalini. We start over as a decent nation.

ni kweli mkuu tunashukuru mungu yule mkwere wa msoga kapumzikka....
 
Mimi nafurahia kumpigia debe achukue Urais hata nikifa leo nitaacha wosia kwa watoto wangu juu ya hili!
 
Binafsi nimefurahishwa na kasi ya Dkt. Magufuli. Naamini wapo pia wengi wanaoungana nami katika furaha hii. Magufuli ameanza kwa kasi ambayo kama ataimaintain, Tanzania haimalizi miaka mitano itakuwa tayari ni nchi yenye kipato cha kati.Hata hivyo wapo baadhi yetu ambao wanakejeli kasi hiyo. Hao kwangu ni watu waliozoea ubwete na bora liende!. Wanamwona Magufuli kuwa ni mtu atakayekuwa kauzibe kwao!Wapigaji wote, wavivu wote na wazee Wa madili wote watamchukia Magufuli ila mi niseme na niwaombe tu kwamba tumpe support huyu jamaa kiukweli atatufikisha mahali Fulani!Tuwafichue wote wanapanga kumhujumu (najua wanajulikana), tuwakatae kwani hawana nia njema na taifa letu.This time Tanzanians need a person of Kagame calibre to order things!. Mazoea sasa bhaaaas na kwamba Hapa kaaaaaaazi tu!
KOOTE POWA HAPO KWA KAGAME da! umenifanya nilale kabisa, usiku mwema
 
Bandalini waliua lile boya la kupima mfuta ili kujua kiasi cha mafuta yanayoingia nchini ili kuiibia serikali mapato.wengi wanapitisha mizingo bila kulipa kodi.kincholipwa ni asilimia 30% yakinachoingia
 
Nampongeza rais Magufuli kwa ziara zake za kustukiza kama aliyofanya pale mwimbili.na wizara ya fedha
Naomba rais next stop iwe pale bandarini napo kuna watu kutwa ni kulala na ujanja ujanja tu
Na nisehemu yenye mapato makubwa yanayoweza kuisaidia serekali ukatekeleza ahadi zako kirahisi zaidi
Ni hayo tu,Hope Mhe.Rais atalifanyia kazi jambo hili kwa manufaa ya taifa.
Naomba pia isiwe ni nguvu ya soda.Fanya hivyo kwa kipindi chako chote
 
Kweli ni Rahisi sana kuwatawala watanzania. Yaani haya maigizo ya MAGUFULI watu wameshaingia "kingi" nasurrender uraia wa Tanzania, bora niwe mnyarwanda tu.
 
Back
Top Bottom