Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

mara nyingine nashauri sana uungwana na heshima hasa kwa watu wakubwa na viongozi wakubwa kama Lowasa
 
Kaka...kwa sasa kila mahala watu wameanza kujipanga vyema kabisa. Kila mtu anaijua namba yake sasa. Ukikutwa kwenye namba sio yako au vyovyote vile ni mwendo wa red card. Hii nchi inahitaji udikteta.
 
Mh Magufuli napenda kukuambia usiogope! Usiogope Mungu alie kuumba toka tumbon mwa mama yako anamakusudi maalumu, kulikomboa hili taifa. Sichelei kusema kila atakaye pingana nawewe kwa sababu ya mipango ovu yake hatofanikiwa nakabla hajakupoteza yeye atapotea. Roho za wa Tz wote kwa dini zao, makabila yao na vyama vyao wanakuombea sana sana. Wewe ndie Rais wetu na ama kwa hakika utatufikisha mahali Mungu ametuahidia. Narudia tena Usiogope! Usiogope! Usiogope!
 
Kazi imeanza rasmi...!
Tulichukiwa sana kiasi cha kutishiwa maisha kwa kumkubali JPM.

Tulidhihakiwa sana bila hoja bali matusi makubwa lakini tulivumilia.

Tulionekana ni wazee wa buku 7 na Team lumumba kumbe ni raia wa kawaida tu.

Sasa tunaanza kufurahi kwa kupigania kilicho bora...na kwa hamasa hii hii tutaendelea kuupigania ubora wa kitanzania.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA.

#HAPAKAZITU
 
yale Ma shangingingi ya Ma Boss wizarani ya pige bei wanatusumbua nayo huku kitaa hadi usiku wa ma 8
wana tu chakulia wake zetu.
wakome wape Vits tuone kama watakatiza uchochoro na madimbwi kama hawatazipaki saa 9 tu.
 
Kazi imeanza rasmi...!
Tulichukiwa sana kiasi cha kutishiwa maisha kwa kumkubali JPM.

Tulidhihakiwa sana bila hoja bali matusi makubwa lakini tulivumilia.

Tulionekana ni wazee wa buku 7 na Team lumumba kumbe ni raia wa kawaida tu.

Sasa tunaanza kufurahi kwa kupigania kilicho bora...na kwa hamasa hii hii tutaendelea kuupigania ubora wa kitanzania.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA.

#HAPAKAZITU
Yaani tulinyanyasika mno. Mi karibia rafiki zangu 100+ niliwaondoa kwenye facebook friends list. Walikuwa wananikera. Wengine ni wasomi wa PhD na ni lecturers vyuoni yaani wote walikuwa wametekwa na mzee mamvi na DJ Mbowe. Ila uchaguzi huu umenipa funzo, kuwa tanzania tuna kizazi cha wavivu kufikiria na wala rushwa waliokubuhu, wale wanaolalamika ni kwamba hawajapata nafasi tu ya kupiga hela, ndiyo maana nikakasirika sana juu ya ulofa wa rafiki zangu wasomi.
 
Amefanya lipi jipya ambalo hatukukiona kwa Mkwere....Tunasubiri Mahakama ya MAFISADI na watu watakaofikishwa huko
 
Hata jk ...alianza hiv....ila naomba Mungu sana....aendeleze haya na miktaba mibovu aipitie.....





una sema a a! !!
Mikataba aipitie upya ama airuke upya
Hajitaki hapo akiweza nitaarisha Barabarani toka Mbeya hadi Ikulu kumsifu
 
Kwa ushindi aliopata Rais Magufuli ni lazima afanye haya ili kurudisha rangi ya ccm lkn kwa tulipokuwa tumefika kama nchi hayo ndio tulihitaji yeyote ambaye angekuwa Rais ayafanye tena na bado...
 
Tunasubir mafisadi wafungwe....na anze na lowasa...walikuwa wanamtaja sana......
 
Great thinkers!
Kwa wale tunaoamini ktk maandiko matakatifu mtakubaliana na mimi kuwa Mungu alipomuumba mwandamu wa kwanza (Yaani Adamu) kitu cha kwanza kabisa alimwambia afanye kazi. Na ktk harakati za kuomba urais Dr. Magufuli katurudisha kwenye misingi ya mwanzo ya uumbaji wa Mungu kwa kusema watanzania mnahitaji KAZI TU ili muweze kufaidi matunda ya EDEN.

Kwa watumishi wa Mungu naomba mtufafanulie zaidi.
 
Back
Top Bottom