Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
itaisha vipi wakati ndiyo malipo yenu hapo Lumumba?Hii story ya buku 7 haijaishaga tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
itaisha vipi wakati ndiyo malipo yenu hapo Lumumba?Hii story ya buku 7 haijaishaga tu?
Umepaniki? Ndio hvyAcha story za vjiweni weka na chanzo Cha taarifa yako... Au nenda ukalale umalizie ndoto zako
Umepaniki? Ndio hvy
Magufuli 99%Hongera Sana kwa kuwepo ktk ignore list yangu
Tupe Mapato y TRA kwa mwezi Apil, May & JuneMagufuli ameendelea kulipa madeni bila kutetereka kabisa kitu ambacho kimewaacha hoi wazungu na kujiuliza huyu binadamu si wa kawaida..
Shirika LA Fedha nalo limeshangazwa kwa kuona uchumi wetu umeshrink kidogo tu na kubakia ukuaji chanya ukilinganisha na baadhi ya nchi ambazo uchumi wake unasinyaa hasi
Huna akili au umeamu kupotosha mkuu?Ziito hajaandika barua safari hii kuzuia.nchi isitangazwe kuwa ya uchumi wa kati?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha story za vjiweni weka na chanzo Cha taarifa yako... Au nenda ukalale umalizie ndoto zako
Teh teh hahahah, jamaa hapendi ati!!! Anaona gere Magufuli kulipa madeni na ukuaji uchumi wa nchi kubaki chanya.Umepaniki? Ndio hvy