Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Namba ya simu wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Where is health insurance?View attachment 1497118
This is one of more than 400 Health Care facilities constructed in less than 4 years under the Strong leadership of Tanzania 's President John Pombe Magufuli.
More than 500 Dispensaries are expected to be constructed in the near future.
View attachment 1497147
This will narrow the accessibility to a healthcare facility a 5KM radius.
VIVA JPM
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Kuna CHF iliyoboreshwa...challange ilikuwa ni wapi pa kwenda kupata tiba hata kama una bima?Where is health insurance?
Mimi ndio huwa nazikusanya ...na uvimbe upasukenamba ya simu wapi?
Demokrasia sahau kabisa tena uchaguzi utakuwa zaidi ya ule wa Serikali za Mitaa watendaji watawakimbia mtatembea na Fomu ule uchaguzi ulikuwa ni Kutest mbinuHongera kwa JPM, japo nashauri aruhusu democrasia 2020 October, vinginevyo kama taifa tutapata wakati mgumu sana ,tukitegwa na jumuia za kimataifa.
Majengo sector afya mengi yanaweza kubakia makazi ya popo, garama ya vifaa tiba ni kubwa sana bado ajira watumishi, hivyo kama taifa bado tunawahitaji wadau wa maendeleo misaada,mikopo nafuu nk.
Pamoja na airport Anajenga Hospitali ya UhuruKama Ile airport ya chato..si mchezo
Ni mfano wa kuigwaMagufuli,mwamba wa Afrika
Hakika,katengeneza historia isiyofutika kwa vizazi vya leo na vijavyo.Naona fahari kubwa kuwa na kiongozi wa aina hii.Ni mfano wa kuigwa
Ni mfano wa kuigwaMagufuli,mwamba wa Afrika
uvccm njaa kali buku 7 fc kama wewe labda ukusanye namba za simu ili uwaombe pesa wahusika.Mimi ndio huwa nazikusanya ...na uvimbe upasuke
Hii story ya buku 7 haijaishaga tu?uvccm njaa kali buku 7 fc kama wewe labda ukusanye namba za simu ili uwaombe pesa wahusika.
Mbona tumesha tengwa wakat wa corona na tuko fresh unafikir kumtenga muafrica ni Rais wakitutenga sis wapi wataenda kufanya biashara za bei nafuu? China au urusHongera kwa JPM, japo nashauri aruhusu democrasia 2020 October, vinginevyo kama taifa tutapata wakati mgumu sana ,tukitegwa na jumuia za kimataifa.
Majengo sector afya mengi yanaweza kubakia makazi ya popo, garama ya vifaa tiba ni kubwa sana bado ajira watumishi, hivyo kama taifa bado tunawahitaji wadau wa maendeleo misaada,mikopo nafuu nk.