Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Hongera kwa JPM, japo nashauri aruhusu democrasia 2020 October, vinginevyo kama taifa tutapata wakati mgumu sana ,tukitegwa na jumuia za kimataifa.

Majengo sector afya mengi yanaweza kubakia makazi ya popo, garama ya vifaa tiba ni kubwa sana bado ajira watumishi, hivyo kama taifa bado tunawahitaji wadau wa maendeleo misaada,mikopo nafuu nk.
 
MABEBERU wenyewe wameunga mkono juhudi za Chuma JPM baada ya Tanzania kuwa Lower Middle Income Country.
 
View attachment 1497118
This is one of more than 400 Health Care facilities constructed in less than 4 years under the Strong leadership of Tanzania 's President John Pombe Magufuli.
More than 500 Dispensaries are expected to be constructed in the near future.
View attachment 1497147
This will narrow the accessibility to a healthcare facility a 5KM radius.


VIVA JPM

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Where is health insurance?
 
Hongera kwa JPM, japo nashauri aruhusu democrasia 2020 October, vinginevyo kama taifa tutapata wakati mgumu sana ,tukitegwa na jumuia za kimataifa.
Majengo sector afya mengi yanaweza kubakia makazi ya popo, garama ya vifaa tiba ni kubwa sana bado ajira watumishi, hivyo kama taifa bado tunawahitaji wadau wa maendeleo misaada,mikopo nafuu nk.
Demokrasia sahau kabisa tena uchaguzi utakuwa zaidi ya ule wa Serikali za Mitaa watendaji watawakimbia mtatembea na Fomu ule uchaguzi ulikuwa ni Kutest mbinu
 
Hongera kwa JPM, japo nashauri aruhusu democrasia 2020 October, vinginevyo kama taifa tutapata wakati mgumu sana ,tukitegwa na jumuia za kimataifa.
Majengo sector afya mengi yanaweza kubakia makazi ya popo, garama ya vifaa tiba ni kubwa sana bado ajira watumishi, hivyo kama taifa bado tunawahitaji wadau wa maendeleo misaada,mikopo nafuu nk.
Mbona tumesha tengwa wakat wa corona na tuko fresh unafikir kumtenga muafrica ni Rais wakitutenga sis wapi wataenda kufanya biashara za bei nafuu? China au urus
 
Back
Top Bottom