Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Wananchi wanapenda kuona watu wakitumbuliwa. Wanafarijika sana bila kujali mtumbuliwa ana kosa ama hana.
 
Juzi nimeangalia video moja wakati wa uzinduzi wa ujenzi wa ikulu dodoma, nikamwona anapiga peche zaidi ya vijana wa JKT.

Alipiga chepe kama 10 hivi kisha akainyenyua chepe juu na kushangilia kuonyesha sasa ni kuda wa kazi.

Pia sijawahi mwona ametandikiwa mkeka eti afanye kazi au apande mti hata kama hakuna siku amepanda mti naamini siku akifanya kazi hiyo hata tandikiwa mkeka ndio apande mti.

Siku moja alitembelea kiwanda kimoja cha vinywaji kwa kawaida alitakiwa apewe glasi ili aonje hivyo vinywaji cha kushngaza akafungua kizibo na kupiga kama makonda wanavyo zipiga energy za Azam.

Huyu mzee ni shida.

Inasemakana hakuna nchi duniani iliyo pata maendeleo kupitia mfumo wa kidemokrasia, madikteta wengi ndio wamejenga duniani.

Kama umabisha soma historia ya Italia na Ujerumani hata Ufaransa.

Jumapili njema

Sikiliza wadhamini hapa chini.

 
Kweli aisee kupiga chepeo kwa kasi kuwazidi vijana wa JKT na kufungua kizibo kwa mdomo inasaidia kuijenga Tz kwa kasi sana.
 
Ni kweli kabisa,ndio maana katika utawala wake wameongeza makato ya Bodi ya Mikopo kutoka asilimia 8 mpaka 15 na wakati huo huo hakuna nyongeza ya mishahara kwa miaka mitano-hii ndio maana halisi ya serikali ya wanyonge.
 
Historia ya ukuaji wa pato la mwananchi wa Tz.

1990 - $200

1995 - $170

⬇️

2000 - $410

⬆️

2005 - $500

⬆️

2010 - $720

⬆️

2015 - $980

⬆️

2016 - $970

⬇️

2017 - $970

🔛

2018 - $1020

⬆️

2019 - $1080

⬆️

Je! Awamu ya 5 imetufikisha uchumi wa kati au uchumi wa kati umetufikia tukiwa awamu ya 5?

Miaka mitano $100 hakika hili ni janga kwa taifa
 
Umewakilisha Akili yako. Sina Cha kusema Mimi ndo ulivyojaaliwa. Baadae utupostie story zake nyingine
 
Naamini Magufuli anatosha 2020-2025.
Kwa kipindi hiki tutafakari kazi alizofanya Rais wetu, tusiweke siasa mbele, uzalendo kwanza, Apewe miaka mingine 5 ili atimize ahadi alizoziahidi kwa Watanzania, japo mengi ameyafanya, naamini atafanya mambo makubwa zaidi 2020-2025
 
Wazee wenye madaraka makubwa watayaacha madaraka muda si mrefu. Vijana tujifunze kusimamia tunayoamini, sio kutumika kuwajeruhi wengine ili wazee wetu (mabwana wakubwa wetu) wakiondoka tubaki salama.
 
Mkuu, kwa kupitia vigezo vipi ili akapate kulinganishwa na wengine?
 
Mkuu, kwa kupitia vigezo vipi ili akapate kulinganishwa na wengine?
kuna mambo mengi ameyafanya, si kila jambo litangazwe kwenye vyombo vya habari, nahakika wengi mnafahamu isipokuwa imani mliowekewa na viongozi wenu kuwa kila jambo nilakupinga, hiyo si nzuri, kubadilika si lazima mwaka uwe mpya, mafanikio ya Magufuli yanatosha kutofautisha yeye na wengine.
 
kuna mambo mengi ameyafanya, si kila jambo litangazwe kwenye vyombo vya habari, nahakika wengi mnafahamu isipokuwa imani mliowekewa na viongozi wenu kuwa kila jambo nilakupinga, hiyo si nzuri, kubadilika si lazima mwaka uwe mpya, mafanikio ya Magufuli yanatosha kutofautisha yeye na wengine.
Mkuu kuwa wazi ili wote tuwe huru kupima mafanikio yake. Kumbuka huyu ni Rais wa JMT, na wala hamilikiwi na CCM peke yake tu, bali na Watanzania wote bila kujali milengo yao ya kiitikadi.
 
Back
Top Bottom