mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Ili tujiajiri kama Dr. Kitilya Mkumbo.thanks kwa kuuonyesha upeo wako wa kiakili kwani tunasoma ili tuajiriwe au tunasoma ili kupata maarifa ya kusavaivu katika maisha yetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili tujiajiri kama Dr. Kitilya Mkumbo.thanks kwa kuuonyesha upeo wako wa kiakili kwani tunasoma ili tuajiriwe au tunasoma ili kupata maarifa ya kusavaivu katika maisha yetu
WALISHA YAMALIZA HAYA YOTE NA WAKAKUSAIDIA LAKINI HUKUSAIDIKA SASA WANAONA BORA WACHEZEE MAPESA YAONchi gani ilishaachana na miundo mbinu?
Jitihada za kuwekeza hadi kwenda Mars zinaendelea achilia kwenye afya ambako ikiwezekana watu waishi miaka mia 2.
Kwamba wengi ngumu mno kufahamu? Tushawishi. Kama huwezi hukuwahi kusikia "wengi wape?"
Ebooo usitufokee!
WALISHA YAMALIZA HAYA YOTE NA WAKAKUSAIDIA LAKINI HUKUSAIDIKA SASA WANAONA BORA WACHEZEE MAPESA YAO
Very right!Mkuu nimekusoma chukua soda kwa mangi ushushie nitalipa, baadhi wanapinga wanasahau kua bila miondo mbinu iliyo imara uzalishaji utakua na changamoto nyingi ikwemo kushindwa kurahisisha muzunguko wa uzarishaji wenyewe, utafikaje sehemu husika kama mazingira sio rafiki?.
Mpe takor kabisaKwa ambao wamewahi kuishi ughaibuni wanatambua hili ya kwamba huko ughaibuni mambo ya serekali kuu kujihusisha na ujenzi wa miundombinu ilishapita miaka mingi mno mabara bara yapo tayari reli za uhakika zipo tayari umeme wa uhakika upo tayari feeder road za kuunganisha vijiji na barabara kuu zipo tayari.
Hivyo serekali zao masuala ya kubeba au kutumia bajeti zao kwa ajili ya ya miundombinu zilishamalizika wanachofanya ni kumaintain kila wakati kunapotokea dosari the way Rais wetu anapotupeleka HONGERA SANA JPM wengi hawana upeo wa kuona hili and I am sure muda sio mrefu bajeti zetu hazitaelekezwa tena huko kwenye miundo mbinu bali zitaelekezwa katika kuboresha zaidi huduma za jamii ikiwa ni pamoja na kushusha riba za mabenki kufikia 5% na mengine mengine mengi mno mazuri.
bia ndio zitaweza nisaidia siowapi namba ya simu?
Wewe unalewa harufu ya mavi asubuhi asubuhi maana pombe huwezi kupata asubuhi!!Watanzania Wazalendo wamemteua Ndugu John Joseph Pombe Magufuli kuwa #MzalendoNamba01 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Pamoja na uteuzi huo unaoanza mara moja Ndugu Magufuli ataendelea kushikilia nyadhifa nyingine alizonazo kwa mujibu wa Katiba.
Uteuzi huo wa kihistoria umezingatia mchango wake mkubwa katika kutetea na kulinda Rasilimali za nchi yetu dhidi ya unyonyaji wa mabeberu, vita dhidi ya ufisadi na utetezi wa wanyonge
K.n.y Watanzania WazalendoView attachment 1546433
Sambamba na uteuzi huo mashetani pia yamemteua kuwa mshindi bora wa tuzo ya utekaji, uuaji na udikteta bora wa africa na dunia kwa kipindi cha 2015-2020Watanzania Wazalendo wamemteua Ndugu John Joseph Pombe Magufuli kuwa #MzalendoNamba01 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Pamoja na uteuzi huo unaoanza mara moja Ndugu Magufuli ataendelea kushikilia nyadhifa nyingine alizonazo kwa mujibu wa Katiba.
Uteuzi huo wa kihistoria umezingatia mchango wake mkubwa katika kutetea na kulinda Rasilimali za nchi yetu dhidi ya unyonyaji wa mabeberu, vita dhidi ya ufisadi na utetezi wa wanyonge
K.n.y Watanzania WazalendoView attachment 1546433
Huo utopolo wenu tutaupatia kazi nyingine hapo octoba ila Rais ni Tundu Lissu najua mkisikia jina hilo unajiharishia huko mliko mkubwa mpka mdogo.Watanzania Wazalendo wamemteua Ndugu John Joseph Pombe Magufuli kuwa #MzalendoNamba01 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Pamoja na uteuzi huo unaoanza mara moja Ndugu Magufuli ataendelea kushikilia nyadhifa nyingine alizonazo kwa mujibu wa Katiba.
Uteuzi huo wa kihistoria umezingatia mchango wake mkubwa katika kutetea na kulinda Rasilimali za nchi yetu dhidi ya unyonyaji wa mabeberu, vita dhidi ya ufisadi na utetezi wa wanyonge
K.n.y Watanzania WazalendoView attachment 1546433
Magufuli ni Mzalendo Namba 1 wa Chato na sio wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Watanzania Wazalendo wamemteua Ndugu John Joseph Pombe Magufuli kuwa #MzalendoNamba01 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.