Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Hayati Magufuli hakuwa na ukabila, udini wala ukanda bali alizingatia sifa za wateule na namna alivyowafahamu kiutendaji.

Pale Kawe aligombea ubunge mtoto wa dada yake Magufuli akawa namba 1 na Pascal Mayalla akawa wa 176 lakini hayati Magufuli hakumpendelea mpwa wake akapitishwa Gwajima.

Hata Joseph Magufuli watu wamemjua siku ya msiba ila Magufuli angekuwa na upendeleo Joe angeweza kuwa mbunge au na wadhifa wowote mkubwa kama akina Merinyo.

Niishie hapo.

Nawatakia Utatu Mtakatifu wenye baraka!
wale waliobomolewa nyumba kimara ila mwanza zikaachwa wanasemaje kwani?
 
Hayati Magufuli hakuwa na ukabila, udini wala ukanda bali alizingatia sifa za wateule na namna alivyowafahamu kiutendaji.

Pale Kawe aligombea ubunge mtoto wa dada yake Magufuli akawa namba 1 na Pascal Mayalla akawa wa 176 lakini hayati Magufuli hakumpendelea mpwa wake akapitishwa Gwajima.

Hata Joseph Magufuli watu wamemjua siku ya msiba ila Magufuli angekuwa na upendeleo Joe angeweza kuwa mbunge au na wadhifa wowote mkubwa kama akina Merinyo.

Niishie hapo.

Nawatakia Utatu Mtakatifu wenye baraka!
Sijui Leo umeenda chooni kweli?

Doto James
Heri James
Furaha James
Ruth Joseph


Hao ni watoto?
± na sukuma Gang
 
Mkurugenzi aliyemtwanga risasi mtu kanisani,Kalemani,Dotto na Herry James,bintie wa Morogoro,nk kwa uchache ukiona huyo bonge kakosa teuzi labda akutaka.
 
Msukuma aliyekosa teuzi zama zile atokaa apate tena.Alileta ukabila na udini nchi huku waislamu wakibaguliwa Shehe Ponda akafunua mdomo yakamkuta ya kukaa ndani miezi.Kaskazini ilichukiwa sio kwa teuzi wala maendeleo.
 
Hayati Magufuli hakuwa na ukabila, udini wala ukanda bali alizingatia sifa za wateule na namna alivyowafahamu kiutendaji.

Pale Kawe aligombea ubunge mtoto wa dada yake Magufuli akawa namba 1 na Pascal Mayalla akawa wa 176 lakini hayati Magufuli hakumpendelea mpwa wake akapitishwa Gwajima.

Hata Joseph Magufuli watu wamemjua siku ya msiba ila Magufuli angekuwa na upendeleo Joe angeweza kuwa mbunge au na wadhifa wowote mkubwa kama akina Merinyo.

Niishie hapo.

Nawatakia Utatu Mtakatifu wenye baraka!
Hata hili pia watakupinga tu😡!
 
Wote tuanzishe mada ila hizi za huyu ndugu huwa ni below IQ 0.00000001 mpaka aibu na ndio stearing w kuanzisha mada hapa JF , yaani JF hawataki waanzisha mada critic , intelligent , logic , wanataka mada nyepesi nyepesi zisizo na kichwa Wala miguu mada critic , intelligent, wanafuta ,haya Jiwe alisema ulaya ni kwa mabeberu mbona watoto wake wote wako huko na wengine wanasomea huko ? Hizi mada uchwara ndio JF wanazipenda .
 
Wote tuanzishe mada ila hizi za huyu ndugu huwa ni below IQ 0.00000001 mpaka aibu na ndio stearing w kuanzisha mada hapa JF , yaani JF hawataki waanzisha mada critic , intelligent , logic , wanataka mada nyepesi nyepesi zisizo na kichwa Wala miguu mada critic , intelligent, wanafuta ,haya Jiwe alisema ulaya ni kwa mabeberu mbona watoto wake wote wako huko na wengine wanasomea huko ? Hizi mada uchwara ndio JF wanazipenda .
Jf ni jukwaa huru.

Utataseka sana manka!
 
Sasa nani alimkataza kumweka bungeni mtoto wake ?.Uamuzi wake. tu
 
Ukabila na upendeleo wa Magufuli ulikuwa wa kisayansi ni mpaka uwe umesoma shule zote za chekechea,msingi,na uwe umesoma vidato vyote sambamba na degrees zote ndipoutakapoweza kuuona ukabila na upendeleo wa Magufuli.
 
Hayati Magufuli hakuwa na ukabila, udini wala ukanda bali alizingatia sifa za wateule na namna alivyowafahamu kiutendaji.

Pale Kawe aligombea ubunge mtoto wa dada yake Magufuli akawa namba 1 na Pascal Mayalla akawa wa 176 lakini hayati Magufuli hakumpendelea mpwa wake akapitishwa Gwajima.

Hata Joseph Magufuli watu wamemjua siku ya msiba ila Magufuli angekuwa na upendeleo Joe angeweza kuwa mbunge au na wadhifa wowote mkubwa kama akina Merinyo.

Niishie hapo.

Nawatakia Utatu Mtakatifu wenye baraka!
Kwa mara ya kwanza umeandika pambaf!
(As differing from ujinga)
 
Back
Top Bottom