Statistics
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 3,666
- 7,788
Furaha sio mpwa wa Mwendazake. Furaha mama yake yupo soko la chato kwenye kona ya kusini magh!
Mama yake magu na bibi ya furaha ni marafiki.
Mama yake magu na bibi ya furaha ni marafiki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kalinde kaburi kwenu chatoPole kwa jaziba [emoji856] na plain brain!.
wale waliobomolewa nyumba kimara ila mwanza zikaachwa wanasemaje kwani?Hayati Magufuli hakuwa na ukabila, udini wala ukanda bali alizingatia sifa za wateule na namna alivyowafahamu kiutendaji.
Pale Kawe aligombea ubunge mtoto wa dada yake Magufuli akawa namba 1 na Pascal Mayalla akawa wa 176 lakini hayati Magufuli hakumpendelea mpwa wake akapitishwa Gwajima.
Hata Joseph Magufuli watu wamemjua siku ya msiba ila Magufuli angekuwa na upendeleo Joe angeweza kuwa mbunge au na wadhifa wowote mkubwa kama akina Merinyo.
Niishie hapo.
Nawatakia Utatu Mtakatifu wenye baraka!
Sijui Leo umeenda chooni kweli?Hayati Magufuli hakuwa na ukabila, udini wala ukanda bali alizingatia sifa za wateule na namna alivyowafahamu kiutendaji.
Pale Kawe aligombea ubunge mtoto wa dada yake Magufuli akawa namba 1 na Pascal Mayalla akawa wa 176 lakini hayati Magufuli hakumpendelea mpwa wake akapitishwa Gwajima.
Hata Joseph Magufuli watu wamemjua siku ya msiba ila Magufuli angekuwa na upendeleo Joe angeweza kuwa mbunge au na wadhifa wowote mkubwa kama akina Merinyo.
Niishie hapo.
Nawatakia Utatu Mtakatifu wenye baraka!
Ameelewa ulanzi na ugimbi aliyekosa teuzi labda akutakaSijui Leo umeenda chooni kweli?
Doto James
Heri James
Furaha James
Ruth Joseph
Hao ni watoto?
± na sukuma Gang
Leo ccm wapo pekee yao kuanzia balozi, Diwani, mbunge still hakuna maendeleo.Na mimi naishia hapa.
NB: Mungu huwa anaona mbali sana. Na kazi yake siku zote haina makosa.View attachment 1802361
Ahsante mkuu!Furaha sio mpwa wa Mwendazake. Furaha mama yake yupo soko la chato kwenye kona ya kusini magh!
Mama yake magu na bibi ya furaha ni marafiki.
Hata hili pia watakupinga tu😡!Hayati Magufuli hakuwa na ukabila, udini wala ukanda bali alizingatia sifa za wateule na namna alivyowafahamu kiutendaji.
Pale Kawe aligombea ubunge mtoto wa dada yake Magufuli akawa namba 1 na Pascal Mayalla akawa wa 176 lakini hayati Magufuli hakumpendelea mpwa wake akapitishwa Gwajima.
Hata Joseph Magufuli watu wamemjua siku ya msiba ila Magufuli angekuwa na upendeleo Joe angeweza kuwa mbunge au na wadhifa wowote mkubwa kama akina Merinyo.
Niishie hapo.
Nawatakia Utatu Mtakatifu wenye baraka!
Jf ni jukwaa huru.Wote tuanzishe mada ila hizi za huyu ndugu huwa ni below IQ 0.00000001 mpaka aibu na ndio stearing w kuanzisha mada hapa JF , yaani JF hawataki waanzisha mada critic , intelligent , logic , wanataka mada nyepesi nyepesi zisizo na kichwa Wala miguu mada critic , intelligent, wanafuta ,haya Jiwe alisema ulaya ni kwa mabeberu mbona watoto wake wote wako huko na wengine wanasomea huko ? Hizi mada uchwara ndio JF wanazipenda .
Ushamba ni changamoto ya kanda ya ziwa, mkinuna poaHakuna rais aliyekuwa mbaguzi waziwazi Kama Jpm...
Kwa mara ya kwanza umeandika pambaf!Hayati Magufuli hakuwa na ukabila, udini wala ukanda bali alizingatia sifa za wateule na namna alivyowafahamu kiutendaji.
Pale Kawe aligombea ubunge mtoto wa dada yake Magufuli akawa namba 1 na Pascal Mayalla akawa wa 176 lakini hayati Magufuli hakumpendelea mpwa wake akapitishwa Gwajima.
Hata Joseph Magufuli watu wamemjua siku ya msiba ila Magufuli angekuwa na upendeleo Joe angeweza kuwa mbunge au na wadhifa wowote mkubwa kama akina Merinyo.
Niishie hapo.
Nawatakia Utatu Mtakatifu wenye baraka!