Ni kweli sio fedha zake ila zilikuwepo lakini badala ya kufanya mambo kama hayo wapo waliozitafuna tu na kutunyonya.mleta mada anaonekana hajafika hata kigali.. anyway hizo pesa hakutoa mfukoni kwake
Peponi unaenda sababu umejenga madaraja?ni bonge la mega structure.
vyombo vinapishana tu.
mzee alikuwa anaona mbali kwa sababu hii ni solution ya vizazi na vizazi.
namshangaa mama anayatoa jela majizi.
JPM peponi!
mleta mada anaonekana hajafika hata kigali.. anyway hizo pesa hakutoa mfukoni kwake
Huko hauendwi kwa kipimo cha kujenga hilter naye alijenga sana kama ni kigezo hicho watakuwa wote na hitler,mussolin na stalinni bonge la mega structure.
vyombo vinapishana tu.
mzee alikuwa anaona mbali kwa sababu hii ni solution ya vizazi na vizazi.
namshangaa mama anayatoa jela majizi.
JPM peponi!
Ushambaa haswaa si msambaa huyo n'goshiiiUshamba mzigo.
Maza anajenga daraja kubwa la busisi na reli kutoka isaka to mwanza bila kuteka kuteka wala kuua angalau tu hata kifaranga cha kuku cha mpinzani.Kwahiyo dhambi ya mauaji atasahemewa kwakuwa amejenga daraja ?
Yule mzee alikuwa na roho chafu zaidi ya Ibilisi mwenyewe.
Maza anajenga daraja kubwa la busisi na reli kutoka isaka to mwanza bila kuteka kuteka wala kuua angalau tu hata kifaranga cha kuku cha mpinzani.
Humjui Mungu hata chembe.Ni bonge la mega structure.
Vyombo vinapishana tu.
Mzee alikuwa anaona mbali kwa sababu hii ni solution ya vizazi na vizazi.
Namshangaa mama anayatoa jela majizi.
JPM peponi!
Hilo daraja la Busisi ni project ya Magufuli.Maza anajenga daraja kubwa la busisi na reli kutoka isaka to mwanza
Umemkumbuka jambazi mwenzako? Ndiyo imetoka hiyo nenda Chato kutambika!Ni bonge la mega structure.
Vyombo vinapishana tu.
Mzee alikuwa anaona mbali kwa sababu hii ni solution ya vizazi na vizazi.
Namshangaa mama anayatoa jela majizi.
JPM peponi!
Tatizo ni usimamizi mkuu hata kama pesa haikuwa yake ila kuisimamia tu!Yaani wewe ni bonge moja la jinga...
Hustahili kuishukuru serikali kwa kutimiza wajibu wake.
Kama mwananchi mlipa kodi na bosi wa serikali unapaswa kujiuliza je kilichofanyika kimefanyika kwa ufasaha? Na kama kimefanyika Dar je maeneo mengine ya nchi yenye mahitaji kama hayo yatafikiwa lini?
Kwanza una matatizo mawili ya msingi.Ni bonge la mega structure.
Vyombo vinapishana tu.
Mzee alikuwa anaona mbali kwa sababu hii ni solution ya vizazi na vizazi.
Namshangaa mama anayatoa jela majizi.
JPM peponi!
Ila isipotimiza wajibu wake unatakiwa kuishutumu?Yaani wewe ni bonge moja la jinga...
Hustahili kuishukuru serikali kwa kutimiza wajibu wake.
Kama mwananchi mlipa kodi na bosi wa serikali unapaswa kujiuliza je kilichofanyika kimefanyika kwa ufasaha? Na kama kimefanyika Dar je maeneo mengine ya nchi yenye mahitaji kama hayo yatafikiwa lini?
Daraja limeanza kujengwa huu ni mwaka wa pili na pia reli ya Mwanza Isaka ilisha aanza kujengwa toka mwaka janaMwendakuzimu alikuwa mbinafsi sana, alituaminisha hatatokea rais mwngne wa kujenga reli na madaraja, lkn cha ajab hata kabla mzoga wake funza hawajaumaliza, maza Huyo tayari kaanza kujenga daraja kubwa la busisi na reli kutoka isaka to mwanza.