I don't disagree but i was not yet born during that time.Thats how we felt over 40 years ago, during the Mwalimu era.
Wewe msukule na picha ya "mungu"...wako mweupe Triump kwenye avatar...vipi hujaona waafrika...au ndo unafurahi kutawaliwa naye.Kwani ukiandika kiswahili hatutajua unasoma ng'ambo!? Jitambue ewe mtumwa wa ukoloni mamboleo.
Kwi kwi kwi kwi kwi!! Aisee umenichekesha sana kwa hiyo mitusi. Haya ngoja niweke picha ya Shein ama Mseveni ufurahi sawa mrembo!?Wewe msukule na picha ya "mungu"...wako mweupe Triump kwenye avatar...vipi hujaona waafrika...au ndo unafurahi kutawaliwa naye.
hivi kuficha ujinga wako umeshindwa kabisa??dah!Kwani ukiandika kiswahili hatutajua unasoma ng'ambo!? Jitambue ewe mtumwa wa ukoloni mamboleo.
Haya subiri niweke ya mm.. wako M7hivi kuficha ujinga wako umeshindwa kabisa??dah!
Ebu toa kwanA hiyo picha ya avatar yako ya Donald Trump.
Aah Mshana jr, usimyime sifa yake rais wetuZimebaki story
Bange hutengeneza misukule hatari sana na ipo siku mtawala nyama hao viongozi wenuKwi kwi kwi kwi kwi!! Aisee umenichekesha sana kwa hiyo mitusi. Haya ngoja niweke picha ya Shein ama Mseveni ufurahi sawa mrembo!?
Thats how we felt over 40 years ago, during the Mwalimu era.
Dah...huu ndio wivu wa kijinga! Omba tafsiri sio mbaya, maana Kiswahili na Kiingereza zote ni lugha za TaifaKwani ukiandika kiswahili hatutajua unasoma ng'ambo!? Jitambue ewe mtumwa wa ukoloni mamboleo.
Mjinga ni huyo dada yako aliyetekwa na ukoloni mamboleo. Huwezi leta habari ya kumsifu raisi wetu mwenye mapenzi mema na wananchi wake kwa lugha ya Kikoloni. Angalia hata Facebook page ya Zuma uone Wasouth tena waliokaa na wazungu karne kwa karne wakiposti kwa lugha ya kwao. Trump huyo ndo baba wa majipu yote ya Africa na namkubali kama ninavyomkubari Magufuri, Arsenal,Barca na Yanga. Huyo hata ukifuatilia anakosoma hawezi tumia jina la asili yake. Nakupa changamoto wewe popoma. Tafuta majina ya Wasouth ama Wabotswana uone kama utapata jina la Kikoloni huko. Unaweza kuta kati ya 10 mmoja ndo anatumia jina la kikoloni. Jitambuehivi kuficha ujinga wako umeshindwa kabisa??dah!
Ebu toa kwanA hiyo picha ya avatar yako ya Donald Trump.
Simnyimi la hasha lakini huko tuendako tukakutana na hali ngumu sana hasa yeye kwakuwa vita anayopigana ni yake binafsi na hana support ya jeshi ya kisiasa na kimkakati (ccm and organs)kashfa za TRA kashfa za meter za mafuta na huko kwingine alikopita, mgomo wa chini kwa chini wa mawaziri wake kugoma/kupuuzia/kukataa kurudisha fomu za maadili mpaka walipochimbwa mkwara si dalili njema hata kidogoAah Mshana jr, usimyime sifa yake rais wetu