Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Twiga wa Asia(Asian Tigers)[emoji15] [emoji15] [emoji15]

Hii bangi niliovuta leo sijui ya Kagera imenifanya nipate tetemeko la lugha.
 
Reactions: BAK
Ujenzi wa Nyumba Bukoba kwa kipindi hiki bado mpaka tetemeko liishe. Nyumba zitabomoka tena. Subiri miezi mitatu.
 
Tumpe ushirikiano. Jamaa anatupeleka pazuri sana. Sipati picha miezi 10 Ndege mbili..ina maana miaka 10 ndege 22
Very poor conclusion!! Ni mpango upi ambao unaonyesha ununuzi wa ndege mbili kila mwaka?
Be objective.
 
Yaani MTU akitoa maoni yake watu wanajua atakua Chadema!
 
Mheshimiwa raid akienda Kagera ndio Nyumba zitainuka zenyewe nn maana ya Kuwait's NA mawaziri,raisi amefika kupitia hao NA bado anafuatilia kinachoendelea kule.Tunaolaumu tumechangia nini Kagera toa boriti kwako ndio uone kibanzi kwa mwenzio hata raia wa kawaida anamwakilisha raisi timiza wajibu wako kama raia .Acha kulaumu NA kutafuta dosari tujenge nchi yetu.
 
Asian Tiger au East African kitten? Don't count you chickens before they hatch, people!
 
Kabla ya uchaguzi wa oct 25 watanzania wengi walitaka kiongozi atakae weza kuleta mabadiliko kwenye nchi yetu,sio mabadiliko tu pia walitaka kiongozi mwenye maamuzi magumu na yaliyo sahihi.Hivi watanzania hayo mabadiliko tuliyokua tunayataka unafikiri ni nani yangemgusa zaidi ya sisi wenyewe wananchi
Leo hii mkulu anafanya mabadiliko mbalimbali kwenye system lakini hao hao watanzia waliokuwa wanataka mabadiliko wanamchukia mkulu
Mkulu anafanya maamuzi magumu lakini hao hao watanzania wanamuita dikteta
Ni wazi kwamba haya mabadiliko yatamgusa kila mmoja kinachotakiwa ni sisi watanzania kukubali kubadilika ili nchi isonge mbele,na tuumpe muda mkulu maana kuna mambo mengi yalikua yameoza inabidi afanye mabadiliko kwanza ili nchi iende mbele.......na tusimuukumu ndani ya mwaka mmoja tusubiri paka 2020 ndo tuanze kumuukumu
 
Kwa mwendo wa serikali ya Dr Jpm ipo siku kila post ya jamii forum itakuwa ni ya kumpongeza Jpm
 
We jamaa leo post zako zina walakini Kuna moja umesema ETI jamii forum haipo salama 100 post yenyewe fupi fupi hata haijadiliki.. Rekebisha Hilo swala usiwe na haraka Sana tulia upange hoja KUMBUKA humu wapo watu WENYE uelewa utasaidiwa Sana ukiwa na nidhamu kwenye ku post
 
kwa nataka msaada umu
 

# Ipo siku !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…