miezi 10 ndenge lakini miezi kumi hakuna madawa kazi hakuna ajira zimesimama matatizo tu.Tumpe ushirikiano. Jamaa anatupeleka pazuri sana. Sipati picha miezi 10 Ndege mbili..ina maana miaka 10 ndege 22
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Twiga wa Asia(Asian Tigers)[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Hii bangi niliovuta leo sijui ya Kagera imenifanya nipate tetemeko la lugha.
Ujenzi wa Nyumba Bukoba kwa kipindi hiki bado mpaka tetemeko liishe. Nyumba zitabomoka tena. Subiri miezi mitatu.Uongo mtupu! Magufuli mkumbatia Mafisadi hadi leo hii yuko kimya kuhusu ufisadi wa MV Ufisadi ya bilioni 8 ambayo haikutembea hata wiki mbili sasa iko juu ya mawe. Magufuli anayekwepa na kuogopa kutia neno lolote kuhusu wizi mkubwa wa Escrow bilioni 321 zilizokwapuliwa na mwizi na fisadi Rugemarila kwa kushirikiana na Kikwete aliyebariki wizi ule kwa kudai kwamba "pesa zile hazikuwa za umma." Magufuli ambaye yuko kimya kuhusu hukumu ya Tanesco kutakiwa kulipa $148 million. Magufuli ambaye alikuwa mstari wa mbele kuzuia ripoti ya tume ya Wabunge kuhusu ufisadi wa Lugumi wa $37 billion. Magufuli ambaye nchi imeshamshinda anabaki kwenda kuonea wafanyakazi wa Bandari na JKN Airport.
Magufuli mwenye roho mbaya sana ambaye ni wiki ya tano sasa hajatia mguu kule Kagera kwenda kuwafariji wahanga wa tetemeko. Magufuli ambaye amekusanya zaidi ya bilioni 15 lakini hataki kutwambia kiasi halisi kilichokusanywa na ni akina nani waliochangia huku akiendelea kuzishikilia pesa hizo wakati wahanga wakiendelea kulala nje, kutokuwa na chakula wala maji safi kwa wiki tano sasa. Acheni kutufanya Watanzania majuha bhana! Eti anajenga nchi! hakuna ajira zaidi ya mwaka sasa, promotion kazuia zaidi ya mwaka sasa, uchumi wa nchi unayumba. Kwa kipindi cha miezi 8 tu tangu aingie madarakani amepaisha deni la Taifa kwa 55.8% sawa na trilioni 24 na hivyo kuliongeza deni la Taifa kutoka 43 trillion hadi 67 trillion na bado anataka kuendelea kukopa kwa speed ya kutisha! Uongo wenu pelekeni mtaa wa Lumumba.
Miaka 20 Chadema haina ofisi hata mojamiezi 10 ndenge lakini miezi kumi hakuna madawa kazi hakuna ajira zimesimama matatizo tu.
swissme
miezi 10 ndenge lakini miezi kumi hakuna madawa kazi hakuna ajira zimesimama matatizo tu.
swissme
Very poor conclusion!! Ni mpango upi ambao unaonyesha ununuzi wa ndege mbili kila mwaka?Tumpe ushirikiano. Jamaa anatupeleka pazuri sana. Sipati picha miezi 10 Ndege mbili..ina maana miaka 10 ndege 22
Unalinganisha cdm na utendaji wa serikali? Umekosea sana. Kumbuka pia kuwa siyo kila anayeikosoa serikali ni mwanachama wa cdm.Miaka 20 Chadema haina ofisi hata moja
Bona unatuchanganya?? "Hivi tiger ndo twiga?..mimi naona ungemwita "simba milia"Twiga wa Asia....(Asian Tigers).
List ya 450,000 inazidi kupata membersTwiga wa Asia....(Asian Tigers). Huyo ndio Magufuli buana!!!
mimi ni baba yako ukibisha nenda kapime dnaHabari ya lockup?
Acheni umbea. na uchochezi nyie madogo
Miaka 20 Chadema haina ofisi hata moja
kwa nataka msaada umuWe jamaa leo post zako zina walakini Kuna moja umesema ETI jamii forum haipo salama 100 post yenyewe fupi fupi hata haijadiliki.. Rekebisha Hilo swala usiwe na haraka Sana tulia upange hoja KUMBUKA humu wapo watu WENYE uelewa utasaidiwa Sana ukiwa na nidhamu kwenye ku post
Binafsi nimefurahishwa na kasi ya Dkt. Magufuli. Naamini wapo pia wengi wanaoungana nami katika furaha hii. Magufuli ameanza kwa kasi ambayo kama ataimaintain, Tanzania haimalizi miaka mitano itakuwa tayari ni nchi yenye kipato cha kati.
Hata hivyo wapo baadhi yetu ambao wanakejeli kasi hiyo. Hao kwangu ni watu waliozoea ubwete na bora liende!. Wanamwona Magufuli kuwa ni mtu atakayekuwa kauzibe kwao!
Wapigaji wote, wavivu wote na wazee Wa madili wote watamchukia Magufuli ila mi niseme na niwaombe tu kwamba tumpe support huyu jamaa kiukweli atatufikisha mahali Fulani!
Tuwafichue wote wanapanga kumhujumu (najua wanajulikana), tuwakatae kwani hawana nia njema na taifa letu.