Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Ninamkumbuka mzee kingunge alisema huyu alistahili kuwa mnyampala wa Barabara na si vinginevyo sasa yametimia
 
  • Thanks
Reactions: Gut
Ni kweli kabisa. Tuko nyuma kwa sababu ya kuleana. Hatuna nidhamu ya kazi wala nidhamu ya maisha. Tunaishi kwa kubabaisha tu. Tumekuwa wachuuzi wa bidhaa za nje ikiwemo mitumba. Hatufanyi uzalishaji wa bidhaa. Polisi barabarani wanakula rushwa kama sala yao. Nenda pale kibaha maili moja uone namna polisi wenye vitambi wanavyokimbilia mabasi ya abiria kutoka mikoani yanavyoingia stendi. Konda wanaweka rushwa kwenye ratiba za mabasi na polisi wanachukua 'posho' hizo haramu. Watu hawafanyi kazi ofisini ......eti wanakweda kunywa chai........... cai Ukiigia .....gia nyi gB
Hufanyi wewe tu na akili zako za kujipendekeza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna ubishi kutokana na kazi nzuri anayoifanya rais wetu mpendwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ndugu John Pombe Magufuli ya kututumikia Watanzania kwa uadilifu na weledi wa hali ya juu kuelekea Tanzania mpya, kuna kila sababu rais wetu mpendwa apewe cheo cha "sir".

Kusimamia uadilifu serikalini, mapambano ya ufisadi na rushwa, kuimarisha uchumi wa nchi, maboresho ya elimu na afya , ujenzi wa miundombinu ni baadhi ya mafanikio ya rais wetu mpendwa John Pombe Magufuli.


Kwa sasa Watanzania wengi wanaunga mkono juhudi za rais wetu katika ujenzi wa Taifa imara la Tanzania lenye kutumia rasilimali zake kwa maendeleo ya Taifa.

Hivyo ni wakati sasa Mamlaka ya Malkia wa Uingereza wampe
cheo cha " sir" kwani anasifa zote za kupewa heshima hii.
If you are Stupid, u will always praise stupidity.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa katika bwana

Mungu ni mwema sana maana wengi hatukutegemea kama nchi yetu tungepata rais bora wa kutufanyia kaz usiku na mchana kama magufur

Magufur sisi wanyonge hatuna cha kukulipa lakin mungu pekee ndo atayekulipa, endelea kutufanyia kaz baba

Wanyonge tunakupenda sana

Chadomo wanakuchukia sana mzee

Acha mafisad wajinyonge

Magufur juu


LONDON BABY

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kweli ile kasi ya kubomoa nyumba za akina mama wajane without compensation kule kimara na kibamba is the best ever. Haijawahi kutokea hata siku moja. Bravooooooooo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tundu lissu amekuwa akimtuhumu Mh rais kwamba ni dikteta uchwara huku akikamatwa mara kadhaa kwa uchochozi na matamko mbalimbali yanayohatarisha amani ya nchi hii

Hakika Lissu anajua wazi rais si dikteta kama anavyolopoka kwenye media, Magufuli angekuwa na hata chembe ya udikteta hakika hii nchi isingekuwa na Lissu tena
angefungwa jela au ponea yake angeishi ughaibuni (mkimbizi wa siasa)

Hivyo basi Tundu Lissu wacha kumchokonoa Rais, kwa sasa yuko bize na tanzania ya viwanda na uchumi wa kati.


D.A "Mwanaume mashine"
 
*

1. *JPM amerejesha nidhamu ya fedha habari za kutumia fedha kuleta ubabe hakuna, maneno nitakupiga nikulipe imebaki historia.*

2. *JPM amerejesha nidhamu kwenye ofisi za umma, tabia za watumishi wa umma kujimilikisha ofisi za umma imebaki historia, kauli toka ofisini kwangu, nipo ofisini tumezisahau.*

3. *JPM amekomesha tabia ya wanaCCM kadhaa kutumia chama kama mwamvuli wa kukopa kodi, kupiga madili na kuleta ubabe mtaani.*

4. *JPM amekomesha mtandao wa kupeana vyeo serikali, tabia ya kutumia watu na pesa kupata nafasi serikali imepotea rasmi*.

5. *JPM amefanya vizuri kwenye sekta ya miundombinu na usafirishaji , amethubutu kufanya mambo mazito kwenye reli, barabara, anga, nk*

6. *Kupitia JPM sasa uongozi ni kutumikia watu siyo kuvuma pesa kama ilivyokuwa sasa wabunge, madiwani, mawaziri, nk wanaishi kama viongozi siyo wafanyabiashara , kufikia 2020 wanasiasa wafanyabiashara watajiweka pembeni.*

7. *Kupitia JPM viongozi wamekuwa wasikivu kwa wananch, tabia ya viongozi hasa wanasiasa kujiona miungu imebaki historia.*

8. *JPM amevunja mwiko wa tabia ya kudhani watu fulani wa familia ndiyo special kuteuliwa ktk nafasi za kiserikali, kupitia JPM kupata uteuzi ni uwezo siyo historia ya familia*.

9. *JPM amethubutu kutazama utapeli tunaofanyiwa kwenye sekta ya madini, angalau ameunda tume kuchunguza usafirishaji wa Udongo kwenda ughaibuni hili siyo japo la mzaha.*

10. *JPM amekomesha ujangili sasa matukio ya ujangili yamepotea kabla Tanzania ilikuwa inakwenda kupoteza tembo na Wanyama wengine muhimu sasa Wanyama wetu wapo salama.*

11. *JPM amekomesha matumizi ya hovyo ya kodi zetu , semina za kulipana fedha hovyo hakuna, safari za kutengeneza kupiga pesa hakuna, manunuzi ya kisanii hakuna , kipindi hiki viongozi na watendaji wa serikali wanaheshimu kodi zetu.*


12. *JPM amethubutu kupambana na dawa za kulevya kwa vitendo hili siyo jambo dogo ukizingatia nguvu ya wauza dawa za kulevya.*

13. *JPM ameendeleza vema vita dhidi ya rushwa kuanzia kwenye chama (CCM) mpaka Taasisi za serikali , siyo jambo dogo kukomesha rushwa kwenye siasa zetu za Afrika yeye ameonesha njia kwenye uchaguzi wa wabunge wa EAL.*

14. *JPM amekomesha mtandao wa ufisadi BANDARINI enzi hizo bandari yetu ilikuwa chimbo la kujipatia utajiri wa kifisadi sasa BANDARINI amesafisha.*

15. *JPM amekomesha tabia ya viongozi kupeana tenda za serikali kihuni na kifisadi, kandarasi sasa zinatolewa kwa kufuata utaratibu kiasi cha kupunguza ufisadi kwenye halmashauri zetu.*

16. *JPM amerejesha uadilifu kwenye sekta ya afya, pamoja na changamoto za uhaba wa dawa, wataalam wa afya na vifaa angalau madaktari na wauguzi wana kauli nzuri zenye faraja kwa wagonjwa hata rushwa sekta ya afya siyo kama enzi zile.*

17. *JPM ameleta utaratibu mzuri wa viongozi kutoka ofisini kwenda mtaani kutazama matatizo ya wananch kuliko Kutegeana kusoma ripoti tu.*

18. *JPM amerejesha thamani ya elimu kwa kuteua wasomi ktk nafasi mbali mbali kuliko awali watu waliteuliwa kwa mazoea, sasa maprofesa, madaktari na wasomi kwa ujumla ndiyo viongozi wa wizara zetu*

19. *JPM amekomesha mtandao wa makundi kwenye chama na serikali sasa mtandao wa kupeana ukurugenzi wa halmashauri, UDC, URC, ukatibu wa chama, ukurugenzi wa mashirika ya umma umepotezwa hili siyo jambo dogo.*

*20. JPM amekomesha matapeli wenye mwamvuli wa uwekezaji waliojimilikisha ardhi kubwa nchini huku watanzania wakikosa maeneo ya kulima.*

_Tanzania ni yetu_
_Magufuli chaguo letu_
 
WkTI HUOHUO YYEE HANA HIYO NIDHAMU ANAPITA NA SANDARUSI ANAGAWA PESA ZA UMA HOVYO
 
Pesa za Umma kwa matumizi ya Umma au binafsi? Huenda anagawa mshahara wake usimuhukumu.
 
Awamu ya tano Sheria sio kipaumbele, wanajenga Nchi kwa akili zao kichwani,

Kesi zako mahakamani, huku Serikali wanafanya yao wayatakayo, Mwanasheria akitetea anaepingana au kutuhumiwa na Serikali sio mzalendo.

Ukihoji mchochezi, katiba inakuruhusu kuhoji,

Sheria Awamu hii tupa kule.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom