Haya ndio mambo yanayofanya Rais JPM kuchukiwa
1. Kuhamasisha ulipaji kodi kwa vitendo na kujitegemea.
2. Kuhamasisha watanzania kufanya kazi zilizo na tija kwa taifa.
3. Kupinga ubadhirifu wa mali, ufisadi, na uzembe makazini.
4. Kupiga marufuku siasa zisizokuwa na tija kwa taifa.
5. Kuboresha miundombinu ya nchi kama barabara, reli, viwanja vya ndege, mashule n.k
6. Kudhibiti uwizi wa mali za uma kama madini, mafuta na pia kupitia upya mikataba yote ya hovyo iliyoingiwa na viongozi wenye tamaa.
7. Kupiga vita uuzwaji na matumizi ya madawa ya kulevya kwa vitendo.
8. Kuhamasisha Ujenzi wa viwanda sababu ndio msingi wa uchumi wa nchi yeyote ile duniani.
9. Kupiga vita kwa vitendo ujangili na uharibifu wa nyara za serikali nchini kwote.
10. Kuwahamasisha watanzania kufanya kazi na kuwa na nidhamu katika matumizi ya ela.
Haya ni mambo machache yanayofanywa na Rais JPM yanayoleta yeye kuchukiwa na wahusika wa hayo mambo.
Hivyo kama wewe ni mmoja wa unayofanya hayo mambo lazima utamchukia Rais JPM.
In Our Time Let Us Do Good
Sent using
Jamii Forums mobile app