Hata Idd Amin alipoingia Uganda, alikuwa na malengo makubwa na Uganda! Na ndio maana haikushangaza kuona Amin akinyang'anya biashara za wageni na kuwapa Waganda huku akiamini umaskini wa Waganda umetokana na wageni!!!!
Kilichobaki ni history and to make a long history short, Amin ndo most monster president aliywahi kutokea Afrika Mashariki!!!
So, hoja sio malengo ya Magufuli bali ni kwa namna gani amejipanga kufikia malengo hayo! Kama amepanga kufikia through brutaality, ukandamizaji uhuru na haki na mambo mengine kama hayo, then go to hell na hayo malengo yenu kwa sababu, at the end hayatafikiwa kwa sababu, viongozi wengi wanaofuata staili hiyo wanakuwa failure!
Kilichobaki ni history and to make a long history short, Amin ndo most monster president aliywahi kutokea Afrika Mashariki!!!
So, hoja sio malengo ya Magufuli bali ni kwa namna gani amejipanga kufikia malengo hayo! Kama amepanga kufikia through brutaality, ukandamizaji uhuru na haki na mambo mengine kama hayo, then go to hell na hayo malengo yenu kwa sababu, at the end hayatafikiwa kwa sababu, viongozi wengi wanaofuata staili hiyo wanakuwa failure!