mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,736
Low I.Q,magufuli ni product ya uchaguzi acha washindane akiwashawishi achaguliwe hizo audio clips ni uvunjifu wa katiba wazi ,hamna kitu cha kutisha humo pia ni akili mbovu ulazimishe watu wakukubali hata manabii na mitume walipingwa na wengine wakasulubiwa
Acha wa Tanzania wenyewe wapime hamna haja ya kutumia nguvu kubwa hivi,ni dalili ya kutojiamini na uoga
Kumbe magufuli ndio maana anaomba tumuombee?[emoji1787][emoji3]
Acha wa Tanzania wenyewe wapime hamna haja ya kutumia nguvu kubwa hivi,ni dalili ya kutojiamini na uoga
Kumbe magufuli ndio maana anaomba tumuombee?[emoji1787][emoji3]