Applicant
JF-Expert Member
- Feb 12, 2020
- 1,962
- 1,751
[emoji16][emoji16]mruhusu aje huko halafu mnakaribisha sehemu yenye corona virus
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16]mruhusu aje huko halafu mnakaribisha sehemu yenye corona virus
Fanya hivyo ndugu Secretary of Foreign affairs
Ombi lako linafanyiwa kaziFanya hivyo ndugu Secretary of Foreign affairs
I am looking forward to hearing from u
You seeThe real Pompeo doea not think as you do
Mbona mnatumia nguvu nyingi sana kujiita Rais wa wanyonge ,,kwa iyo wasiokuwa wanyonge hawana Rais hapo ndipo mnapoleta matabaka Rais wa wanyonge na je wale wenye nguvu hawana. Kama Mazuri yapo yaacheni yajitangaze yenyewe. Ngumu kumezaJapokua kuna watu hawakukubali, lakini mimi nasema mzee we chapa kaziii! Waache waongeee'. We chapa kazi ukimaliza unaenda zako kuota jua juu ya mawe unawacheki tu.
Watakuelewa tuu, wapo ambao akili zao zinachukua mda kukubali kitu, time will tell.
Sasa wanakupandikizia chuki kwa wananchi, wanadai eti kwasababu ya corona utaahirisha uchaguzi, lakini umewaumbua.
You're all welcome to the meeting with me and My Director of Federal Bureau Of Investigation (FBI)
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga ni mjukuu wa uoga yule aliyemzaa chuki ambae ni binamu yake na unafikuJapokua kuna watu hawakukubali, lakini mimi nasema mzee we chapa kaziii! Waache waongeee'. We chapa kazi ukimaliza unaenda zako kuota jua juu ya mawe unawacheki tu.
Watakuelewa tuu, wapo ambao akili zao zinachukua mda kukubali kitu, time will tell.
Sasa wanakupandikizia chuki kwa wananchi, wanadai eti kwasababu ya corona utaahirisha uchaguzi, lakini umewaumbua.
You're all welcome to the meeting with me and My Director of Federal Bureau Of Investigation (FBI)
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hojaJapokua kuna watu hawakukubali, lakini mimi nasema mzee we chapa kaziii! Waache waongeee'. We chapa kazi ukimaliza unaenda zako kuota jua juu ya mawe unawacheki tu.
Watakuelewa tuu, wapo ambao akili zao zinachukua mda kukubali kitu, time will tell.
Wewe wasema!