Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,168
- 10,810
Kasukari tu kanamtoa knockout![emoji16][emoji16][emoji16] View attachment 1446157
wewe si unataka lockdown??
hapa tu haipo!!! kwani sukari nyingi si inatoke nje ya nchi
huko nje nani anazalisha??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasukari tu kanamtoa knockout![emoji16][emoji16][emoji16] View attachment 1446157
Wao wanaingia kwetu?Kweli katuletea heshima. Ndiyo maana hata kitaifa kidogo cha Zambia kimetupiga ban kuingia nchini kwao. Hata Malawi kwa kutudharau watatupiga ban kuingia Malawi
Ndio maana sisi sio Zambia. Tungeweza kuwapiga ban pia nini kunatuzuia.Kweli katuletea heshima. Ndiyo maana hata kitaifa kidogo cha Zambia kimetupiga ban kuingia nchini kwao. Hata Malawi kwa kutudharau watatupiga ban kuingia Malawi
Kila mtu anaruhusiwa kuona anavyoona. Watu sasa hivi wanaondoa lock down, obvious hawa nao soon aidha wataondoa au watatamka kisiasa na watu wataendelea kupita. This is Africa not EuropeTunapata heshima au ndio tunaonekana mandorobo
tyari tushaanza kufungiwa mipaka tushaonekana wapuuzi, cryl kule south juzi ndio alimuona mzee ndorobo kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wachumi wanaweza kukujuza zaidi nini kinatokea wakati kama huuna hakuna lockdown
kungekuwa na lockdown ingekuwaje??
Wanaingia ndiyo. Kwani kipimo cha covid mnacho?
Mtawezaje kuwapiga ban na kipimo hamna?Ndio maana sisi sio Zambia. Tungeweza kuwapiga ban pia nini kunatuzuia.
Solution zao eventually zitarudi kuwa kama zetu. Mhemuko.
Nategemea utaenda pande zote kufikikiria hicho unachosema. Tulianza vipi na tumefikaje tulipo. Hivyo, usipojitoa ufahamu utajua kwamba kama tungehitaji maamuzi hayo tungekuwa mbele ya wote wanaofunga leo. Si kipaumbeleMtawezaje kuwapiga ban na kipimo hamna?
Ongeza kufikiria nduguWanaingia ndiyo. Kwani kipimo cha covid mnacho?
Mbwa hawapo hapa, pole sana. Bado hakuna mbwa anayeshiriki Jamii forum. Hata wewe sio mbwa kwa sababu hatuwezi ongea na mbwaWe mbwa weka mafanikio ya watz sio ya magufuli. Mafanikio ya magufuli yako chato sio tanzania
Mbwa ni yule anayesifia ujinga. Badala ya kuelezea mafaniko ya watz anaelezea mafanikio ya magufuli huu ni ufala wa hali ya juu sanaMbwa hawapo hapa, pole sana. Bado hakuna mbwa anayeshiriki Jamii forum. Hata wewe sio mbwa kwa sababu hatuwezi ongea na mbwa
Ili niwe mjinga kama wewe?On
Ongeza kufikiria ndugu
Katika kupambana an corona inatupasa tukabiliane na ugonjwa Kwa kujikinga na kuzingatia masharti sio kujifungia ndani, tunaambiwa na WHO kuwa tutaendwlea kuishi na corona miezi mingi zaidi, sasa tukae ndani hadi lini! Haiwezekani ila yatupasa tuendelee na shughuli zetu za kutafuta rizikiWewe bado hujaona vifo na utakapofiwa ndio utaweka siasa zako kando na kuelewa kuwa serikali inacheza na maisha ya watu.