Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Nimtake ananisaidia nini?Sema wewe ndio humtaki!
.
Sasa kutomtaka wewe haimanishi wanachi wote wa tz hawamtaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimtake ananisaidia nini?Sema wewe ndio humtaki!
.
Sasa kutomtaka wewe haimanishi wanachi wote wa tz hawamtaki
🤣 🤣 🤣 atakuwa anapita humo humo 5K kwa mweziYule mkuu wa wilaya mpya wa Kongwa ana Phd, na alikuwa analipwa laki tano kwa mwezi pale Lumumba. Sijajua wew wanakulipaje ndugu?
Mhe mbona hunijibu na unaashiria kuanza kunikashfuKunywa chai ulale mkuu
Naona huelewiMhe mbona hunijibu na unaashiria kuanza kunikashfu
Ndo nieleweshe MheNaona huelewi
Kwa hiyo unakubali kuwa rais ameminya demokrasia na sasa analazimika kujirekebisha kutokana na shinikizo la kimataifa?Moja ya madai makubwa ya upinzani ni kusema kuwa kuna kubinywa kwa Uhuru wa kujieleza na kukusanyika, Magufuli ameijibu Dunia Jana kwamba Tanzania wanaruhusiwa kufanya tu hata ujinga
Dunia imenyamazishwa kimya na Magufuli jana hawajui waanzie wapi maana mchezo hunoga pale mgogoro unapotengenezwa
Sasa iwe marufuku tena kwa mabeberu na makuwadi wao kumponda Rais Magufuli kuhusu Demokrasia amekuwa baba wa Demokrasia mjenga nchi mwanamapinduzi wa kiuchumi
Mkuu usijitoe ufahamu, unajua kabisa jiwe hapendwi na wengi, sio wote, ila wengi. hata yeye mwenyewe analijua hiloSema wewe ndio humtaki!
.
Sasa kutomtaka wewe haimanishi wanachi wote wa tz hawamtaki
Umelewa wanzuki?Moja ya madai makubwa ya upinzani ni kusema kuwa kuna kubinywa kwa Uhuru wa kujieleza na kukusanyika, Magufuli ameijibu Dunia Jana kwamba Tanzania wanaruhusiwa kufanya tu hata ujinga
Dunia imenyamazishwa kimya na Magufuli jana hawajui waanzie wapi maana mchezo hunoga pale mgogoro unapotengenezwa
Sasa iwe marufuku tena kwa mabeberu na makuwadi wao kumponda Rais Magufuli kuhusu Demokrasia amekuwa baba wa Demokrasia mjenga nchi mwanamapinduzi wa kiuchumi
Wengi kwa takwimu zipi?Mkuu usijitoe ufahamu, unajua kabisa jiwe hapendwi na wengi, sio wote, ila wengi. hata yeye mwenyewe analijua hilo
Ni mapema mno kusema hivyo, labda ni sababu ya msiba wa mzee wetu Mkapa, tusubiri na tuone, tusije kuhukumu na sisi tukahukumiwa.Sasa Magu amepevuka kisiasa.
Sina takwimu mkuu, ila kama umeishi Tanzania tangu 2015 basi hauzihitaji kujua.Wengi kwa takwimu zipi?
Nikajua wanamujua hadi huku nanjilinji? Kumbe kwa wafadhili,,basi swa.Kabla ya pyuu pyuu ni wachache sana walimfahamu Tundu Lissu duniani lakini J3 tulimuona kuanzia Al-Jazeera, BBC, VoA, Sauti ya Ujerumani. Kwakweli jina la Mungu lihimidiwe.
Kama Ni kweli Atakuwa amebalehe Sasa kisiasaSasa Magu amepevuka kisiasa.
Ni mapema mno kusema hivyo, labda ni sababu ya msiba wa mzee wetu Mkapa, tusubiri na tuone, tusije kuhukumu na sisi tukahukumiwa.
Hii inatakiwa iwe kwenye damu!Hilo halina shaka kwani Rais Dr John Pombe Magufuli hutafuta sababu ya kumfanya afanye zaidi na kwa hakika Msiba huu wa Hayati Benjamin William Mkapa unampa Magufuli nguvu na ari ya aina yake ya kutekeleza.
Kila la kheri ....
Lala Salama BWM
Kama wewe ulivyopataKwaiyo na wewe ume pata cha kuandika sa ?
SUBIRI KIDOGO