Mafanikio ya Rais Samia kwa 3 years ni yapi? Nijue nikae sawa

I will be short .
Naomba watu wanipe . Mafanikio ya mama . Kwamba Leo akitoka tutamkumbuka ?? kwa kuweka maisha ya mtanzania kuwa mepesi ??
 

Attachments

  • JamiiForums-424167386.jpg
    29.3 KB · Views: 1
Kiongozi aliyeleta mafanikio katika hii Nchi ni Nyerere pekee,wengine hao mafanikio yanatokana mabadiliko ya kimazingira ya siasa za Dunia na naturally
Tuweke kwanza determinants za mafanikio halafu ndio tuje kueleza mafanikio ya kila Kiongozi.

Mafanikio yanapimwa vipi? maana kuna watu wataleta ushahidi wa hotuba badala ya mafanikio na data kutoka vyanzo sahihi.
 
Certified Hater 🤣😅😅😅😅
 
Ni wa kuachwa kama alivyo mimi sisomagi post zake nikishaona jina napita mbio hata hiyo comment yake hapo juu sijasoma chochote
Huyu ni mshenzi mmoja ukimzingatia kila siku utakua unajichumia dhambi tu
 
Mafanikio ya mama Samia tunayona sisi wa Kizimkazi. Njoo Kizimkazi uone jinsi mama anavyoupiga mwingi
 
[emoji2956]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
I will be short,

Naomba watu wanipe . Mafanikio ya mama. Kwamba Leo akitoka tutamkumbuka ?? kwa kuweka maisha ya mtanzania kuwa mepesi?
1. Ndugai kujiuzulu uspika!
2. Kurejesha mikutano ya hadhara!
3. Mijadala ya bandari!
4. Uhamisho wa Wamasai!

Kwangu hayo ni makubwa sana!
 
I will be short,

Naomba watu wanipe . Mafanikio ya mama. Kwamba Leo akitoka tutamkumbuka ?? kwa kuweka maisha ya mtanzania kuwa mepesi?
Nakutajia chache:
1. Kuongezeka kwa makusanyo ya kodi. Kutoka 800bn -1tn wakati wa magu hadi 2-3tn sasa.
2. Kuweza kukamilisha au kukaribia kukamilisha miradi yote mikubwa aliyoianzisha magu.
3. Kujenga miradi mikubwa ya maji kila mkoa, wilaya, kata na vijiji kupitia mtue mwanamke/mama ndoo
4. Barabara nyingi za lami kuifungua nchi zimejengwa na zinaendelea kujengwa.
5. Wastaafu wanapata mafao yao ndani ya siku 40 badala ya miaka miwili au zaidi wakati wa magu. Hongera sana Mhe. Rais na psssf kwa hili wazee wetu sasa wana amani ya moyo.
6. Kukua kwa demokrasia nchini tofauti na ilivyokuwa awamu ya tano..
7. Wanafunzi kuanzia primary hadi form SHIKSH wanasoma buuure kabisa
8. Niendeleeee????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…