share
JF-Expert Member
- Nov 22, 2008
- 6,064
- 10,468
Kurembua macho.I will be short,
Naomba watu wanipe . Mafanikio ya mama. Kwamba Leo akitoka tutamkumbuka ?? kwa kuweka maisha ya mtanzania kuwa mepesi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kurembua macho.I will be short,
Naomba watu wanipe . Mafanikio ya mama. Kwamba Leo akitoka tutamkumbuka ?? kwa kuweka maisha ya mtanzania kuwa mepesi?
Nyie ndio mnaopataga laana za kujitafutia
Niambie tu.. Toka atawale mvua ya maana imenyesha lini na wapi..?? Wakulima wanalia wafanyabiashara wanalia.. Hakuna mavuno..Nyie ndio mnaopataga laana za kujitafutia