Ni lini Shilingi haijawahi poteza thamani dhidi ya Dola? Tafuta thamani ya Dola 2015 harafu uke uangalie 2020 ulete jibu au miaka yote ya nyuma.
Hiyo imekuwa trend ya uchumi wa Tanzania Kwa mda mrefu sana Sasa.
Mwisho Shilingi kupoteza thamani haona athari zozote za kuhimiza uchumi.Mnatakiwa kujielimisha maana ya Uchumi kabla ya kupayuka.
Lugha rahisi ya kuelezea uchumi kupungua ni kupungua Kwa uzalishaji,swali.uzalishaji umepungua? Jibu ni hapana.Kiwango.cha mikopo kwenda sekta binafsi kiko Juu kuliko wakati wowote katika haistoria ya Tanzania ndio sababu husikii Benki zikipata hasara Wala mikopo chechefu kama ya awamu ya 5
View attachment 2746147