Kiongozi aliyeleta mafanikio katika hii Nchi ni Nyerere pekee,wengine hao mafanikio yanatokana mabadiliko ya kimazingira ya siasa za Dunia na naturally
wewe ndio huna akili nyerere lini alileta maendeleo nchi hii weww unaonekana enzi za nyerere hujazaliwa. mimi nina miaka 67 sasa hivi enzi za nyerere maisha yalikuwa ya kijela, dawa ya mswaki mnapewa kibali kila kaya dawa ya mswaki 1 kilo ya sukari sabuni ya kufulia miche 2 kila kaya kwa kibali ndio uende duka la serikali RTC ukanunue tena kwa foleni dukani walikuwa wanauza unga wa ugali uliitwa unga wa yanga mchungu sana hayo ndio yalikuwa maisha ukiwa na TV wewe jela mpaka ukakatie kibali upewe kadi kama kadi za gari watu wadhulumiwa nyumba zao na kupewa NHC na watu wengi walifariki kwa mawazo nyumba zilijengwa kabla ya uhuru wakaja wahindi kudhulumiwa weww ulikuwa wapi?