uliza hela za kujenga UDOM zimetoka wapi.
Uliza hela za kujenga daraja la kigamboni zimetoka wapi and maby more.
Mizigo mingibe imesababishwa na JK tusimsingizie JPM
Ukisikia mtu kaacha mzigo,angekua kaacha deni kubwa na ndan hakuna hela.
Jk kaacha deni kawaida,jpm.alipoingia akajigamba hela ipo.
Jk aliacha bajet ya mwaka anakusanya tilion 19 na alikua anakadilia matumizi ya tilion 21-22.
Huyo unaemtetea amepokea nchi ikiwa inakusanya.tilion 19 kwa mwaka akasema hela tunayo,akaanza kuvuluga matajili na vitisho kwa wenye pesa/ na wafanya biashara wakubwa.
Wakati anafanya hayo amesahau.kwamba kiwango cha kukusanya pesa kitashuka matokeo yake anakadilia bajet ya tilion 29.5.
Na tayali ameanzisha miladi.mikubwa kabisa kwa mpigo.
Matokeo yake anaongeza deni wakati huohuo anajisifu.yeye ni tajili.
YAAN,,.SAWASAWA LEO JAMAA YAKO.ANAKUJA KUKUKOPA HELA KUA ANASHIDA HALAFU UNAKUTANANAE TAANI NA BIA MKONONI HUKU ANAJIGAMBA KUA NI TAJILI NA HATA WEWE ULIEMKOPESHA.ANAKUTISHA.
kwa haraka hapa ndipo.serkali ya magu ndipoilipo teleza.
Na nakwambia asipokua makini atakabidhi nchi ikiwa hoi kabisa.
Deni limepanda mala 2 ya jk,kodi imekua kubwa mtaani.
Lakini bado maisha ndio yanazidi kua magumu.kabisa.