Mafanikio ya Utawala wa Jakaya Kikwete ndani ya Miaka 10

Hili jamaa mwamba sana, lkn namuombea kwa Mungu tu asonge mbele ki afya! yaaani jakaya yaaaaani Baba wewe ni Mutu ya watu hakika Mungu akujalie afya njema na alikuchagua haswa hkn njia nyingine tuna kukumbuka sana naomba Mola sana sana wanao wabebe hulka yako mwenendo na Tabia yako

Mungu akulinde akutunze vyema Baba!!! na kila mutu asema Amiiiinaaa!!!
 
Poa! Ila JPM ana msimamo , hayumbishwi , katika kipindi chote ulishaona nidhamu kazini kama awamu hii?
Huwezi sifia awamu hii kwa kuponda awamu iliyopita. Nidhamu unaipima vipi? JPM na JK hawafanani ila wote wameitoa nchi sehemu moja kwenda nyingine bila kujali nani kafanya zaidi.
 
Asante sana. Hata ukimpa jiwe miaka mingine 10 hatoweza kufanya hayo, sijui ni mradi gani wa jiwe ulio mkubwa umekamilika hadi sasa lakini hizo kelele zake utafikiri anafanya jambo ambalo viongozi waliopita hawakulifanya.
Miradi ya Jiwe ni SGR, Stiglers Gorge na ATCL.

Na kabakiza miaka 3 tu, halafu yote imeFLOP.

Halafu ana roho ya Uharibifu, akigusa kitu lazima kiharibike: Korosho, Ajira, Mbaazi, Elimu, Bunge, mahakama et al
 
Sijaona kanda ya ziwa ilipata nini tukumbushane.
 
Na miradi mingi aliyoifanya ndiyo imepelekea mifuko ya hifadhi ya jamii kufilisika,hivi vikokotoo tunaletewa ni makosa yaliyofanywa na JK.
 
Umeasahau Ujenzi wa majengo ya nyumba za kuishi katika kambi za jeshi
 
Na miradi mingi aliyoifanya ndiyo imepelekea mifuko ya hifadhi ya jamii kufilisika,hivi vikokotoo tunaletewa ni makosa yaliyofanywa na JK.
Siokweli.
Kosa alilofanya jpm kaanza na matumiz makumwa kuliko anacho pata.

Sawa kulipwa mshahala wa laki 1,matu miz ya laki na 80.
Lazima ufeli.
Na ndio maana hata hiyo miladi anayo anzisha sio bora na haitaisha.

Wakati anaingia alijigamba nchi imehalibiwa na sasa anakoendea ndio ataiacha ameivuluga kuliko wakati ote uliopita.
 
uliza hela za kujenga UDOM zimetoka wapi.
Uliza hela za kujenga daraja la kigamboni zimetoka wapi and maby more.

Mizigo mingibe imesababishwa na JK tusimsingizie JPM
 
uliza hela za kujenga UDOM zimetoka wapi.
Uliza hela za kujenga daraja la kigamboni zimetoka wapi and maby more.

Mizigo mingibe imesababishwa na JK tusimsingizie JPM
Ukisikia mtu kaacha mzigo,angekua kaacha deni kubwa na ndan hakuna hela.

Jk kaacha deni kawaida,jpm.alipoingia akajigamba hela ipo.
Jk aliacha bajet ya mwaka anakusanya tilion 19 na alikua anakadilia matumizi ya tilion 21-22.

Huyo unaemtetea amepokea nchi ikiwa inakusanya.tilion 19 kwa mwaka akasema hela tunayo,akaanza kuvuluga matajili na vitisho kwa wenye pesa/ na wafanya biashara wakubwa.

Wakati anafanya hayo amesahau.kwamba kiwango cha kukusanya pesa kitashuka matokeo yake anakadilia bajet ya tilion 29.5.

Na tayali ameanzisha miladi.mikubwa kabisa kwa mpigo.
Matokeo yake anaongeza deni wakati huohuo anajisifu.yeye ni tajili.
YAAN,,.SAWASAWA LEO JAMAA YAKO.ANAKUJA KUKUKOPA HELA KUA ANASHIDA HALAFU UNAKUTANANAE TAANI NA BIA MKONONI HUKU ANAJIGAMBA KUA NI TAJILI NA HATA WEWE ULIEMKOPESHA.ANAKUTISHA.


kwa haraka hapa ndipo.serkali ya magu ndipoilipo teleza.
Na nakwambia asipokua makini atakabidhi nchi ikiwa hoi kabisa.

Deni limepanda mala 2 ya jk,kodi imekua kubwa mtaani.
Lakini bado maisha ndio yanazidi kua magumu.kabisa.
 
uliza hela za kujenga UDOM zimetoka wapi.
Uliza hela za kujenga daraja la kigamboni zimetoka wapi and maby more.

Mizigo mingibe imesababishwa na JK tusimsingizie JPM
Kwa ufupi magu.hana wachumi wazuri ingawa wengi walisema hashauliki.
Hivyo ndivyo ilivyo.

Pesa kidogo matumiz makubwa.
 
Hizi namba ndizo zitawaondoa CCM madarakani mwaka 2025;
29,30 na 37.
 
Ilikuwaje tukampeleka ICC?? Soma comments zenu kipindi hicho alafu linganisha na Sasa mnavyosema. Kisha jipigeni kifuani na kusema "sisi ni wajinga"
 
Unafki utawaangamiza.
Huyu jk mliompeleka ICC leo ndio unamsifia hivyo? Soma comments zenu kipindi hicho kwenye huu uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…