Mafao wanayopata wenza wa viongozi wakuu wastaafu ni kufuru

daah too sad kwamba kuna watu kama wew mnaishi na Mungu anawapa hewa!
 
Salma kikwete ni mwanamke mbinafsi na mwenye roho mbaya sana
 
Hii maana yake kuwa waliopo madarakani wanaogopa sana maisha wanayoishi watanzania wa kawaida. Kwa hiyo wanahakikisha kuwa wanakomba kila kitu.
 
Hakuna baraka yoyote,wamevuna laana kubwa sana na maisha ya starehe waliyonayo yatageuka kuwa kilio na kusaga meno baada ya maisha ya hapa duniani. Rejea habari ya tajiri na maskini Lazaro kwenye Biblia takatifu.
 
Tatizo ni moja tu hata ukiishije halafu baadaye tutakufa tu !
And once we die we die forever πŸ™„
Wengine wanakosa panadol πŸ™„

Mimi nashauri waongezewe marupurupu πŸ˜³πŸ‘
 
Mama nyerere ana miaka zaidi ya ishirini na tani toka mmewe amefariki, na analipwa, kwa nini watumishi wa umma walipwe miaka kumi na mbili tu baada ya kustaafu, ataishije baada ya muda huo huku amechoka zaidi, hii Sheria ya mafao ikoje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…