Mafao wanayopata wenza wa viongozi wakuu wastaafu ni kufuru

Mafao wanayopata wenza wa viongozi wakuu wastaafu ni kufuru

Wazazi wetu wa kiswahili hawakupenda kujishughulisha na siasa wakaamua kuwa wapiga kura na sio wapigwa kura mbaya zaidi wakawa wanapewa tisheti na kofia na kushindishwa kwenye jua wakiwasikiliza wagombea .

Hivyo tulalamike ila tusilalamike sana .
 
Kila siku kiguu na njia kuomba misaada na mikopo huku na kule alafu kumbe ni kwa ajili ya kughalamia maisha yao ya anasa 🤔🤔 tulimkosea nini Mungu sisi waswahili hadi akatuacha tuingie kwenye mdomo wa shetani ccm 🤔🤔
 
Africa ujamaa ulitufaa zaidi, kuna jamii flani za watu zipo tofauti na wengine, mifumo ya kibepari tuwaachie wazungu.
Kweli, lakini huu ujinga wala hauhusiani na ubepari. Siamini kama kuna nchi ya kibepari wanaokubali upumbavu kama huu.
 
Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, salaam. Mimi mmoja wa watu nilikuwa nakufuatilia sana na kukubali kisiasa, toka ukiwa waziri awamu za nyuma, Rais, na sasa Rais mstaafu.

Kwa sasa unlikuwa unafit sana nafasi ya Elder Statesman, mwanasiasa mwandamizi nchini, ambaye kwa uzoefu wake kulitumikia Taifa ungetumika kama point of reference kwa mambo yote nchini , kisiasa na kiuchumi.

Lakini cheo hiki cha Elder Statesman kina gharama ya kuishi above controversy, yaani mtu asiwe na figisu zozote.

Tuje kwenye kichwa cha mada.
Umetudissapoint mzee, tena sana. Muswada uliopitishwa na Bunge, kwa msukumo mkubwa wa mke wako Bi. Salma Kikwete, wananchi hawakuufurahia.

Hiyo ni kuutumia vibaya umaarufu wa Jakaya Mrisho Kikwete.

Kwamba umaarufu wa Kikwete umetumika kujilimbikizia mali, hilo halijakaa vizuri. Siingii kwenye uchambuzi wa mafao yenyewe, lakini kiuhalisia kuutumia umaarufu wa jina la Kikwete kujilimbikizia mali, ambazo ni kodi za wananchi, sipepesi macho huo ni ufisadi wa fedha za umma.

Namalizia kwa kusema, sijui kama suala la mafao ya wake za viongozi, kama lilivyosukumwa na mama Salma lilipita chujio la familia ya Kikwete? Na je? Kikwete anaweza tokea hadharani kutetea hilo?

Wasalaam mzee Kikwete, bado una muda wa kudhibiti mihemuko ndani ya familia yako.
 
Salma ni mke halali wa Kikwete ana haki zote za kutumia mali za mme wake na jina la mme wake kwa sababu ni mme wake...


Masahihisho na nyongeza:

"Ila linapokuja katika mali za umma zinazotokana na kodi wanazolipa wananchi Hana mamlaka hayo"
 
Hiyo ni kuutumia vibaya umaarufu wa Jakaya Mrisho Kikwete.

Kwamba umaarufu wa Kikwete umetumika kujilimbikizia mali, hilo halijakaa vizuri.
Siingii kwenye uchambuzi wa mafao yenyewe, lakini kiuhalisia kuutumia umaarufu wa jina la Kikwete kujilimbikizia mali, ambazo ni kodi za wananchi, sipepesi macho huo ni ufisadi wa fedha za umma.

Namalizia kwa kusema, sijui kama swala la mafao ya wake za viongozi, kama lilivyosukumwa na mama Salma, je? Je, lilipita chujio la familia ya Kikwete?
Na je? Kikwete anaweza tokea hadharani kutetea hilo?
Hiyo familia haijawahi kuwa na mshipa wa aibu
 
Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, salaam.
Mimi mmoja wa watu nilikuwa nakufuatilia sana na kukubali kisiasa, toka ukiwa waziri awamu za nyuma, Rais, na sasa Rais mstaafu.

Kwa sasa unlikuwa unafit sana nafasi ya Elder Statesman, mwanasiasa mwandamizi nchini, ambaye kwa uzoefu wake kulitumikia Taifa ungetumika kama point of reference kwa mambo yote nchini , kisiasa na kiuchumi.

Lakini cheo hiki cha Elder Statesman kina gharama ya kuishi above controversy, yaani mtu asiwe na figisu zozote.

Tuje kwenye kichwa cha mada.
Umetudissapoint mzee, tena sana.
You are not in control of your wife.
Mswaada uliopitishwa na bunge, kwa msukumo mkubwa wa mke wako Salma Kikwete, wananchi hawakuufurahia.

Hiyo ni kuutumia vibaya umaarufu wa Jakaya Mrisho Kikwete.

Kwamba umaarufu wa Kikwete umetumika kujilimbikizia mali, hilo halijakaa vizuri.
Siingii kwenye uchambuzi wa mafao yenyewe, lakini kiuhalisia kuutumia umaarufu wa jina la Kikwete kujilimbikizia mali, ambazo ni kodi za wananchi, sipepesi macho huo ni ufisadi wa fedha za umma.

Namalizia kwa kusema, sijui kama swala la mafao ya wake za viongozi, kama lilivyosukumwa na mama Salma, je? Je, lilipita chujio la familia ya Kikwete?
Na je? Kikwete anaweza tokea hadharani kutetea hilo?

Wasalaam mzee Kikwete, bado una muda wa kudhibiti mihemuko ndani ya familia yako.
Ule ni uroho kwa kweli ana njaa gani hadi atake kulipwa na hela za umma kwenye nchi masikini kama hii pale kajivunjia heshima,
Maana milele na milele hao wake za viongozi watakuwa wanakula hadi wanatapika hata yeye akiondoka hapa duniani huku wananchi wakisulubiwa na umasikini
Sio sawa kabisa
 
Zaidi ya Bilioni 80 za NHIF zimetumika na wastaafu huku hawaichangii.
Huku wana mafao makubwa,hela ,zao zina kazi gani?
 
kwa hiyo ulikuwa unamuona ni “elder statesman?” basi kazi unayo, duh …
 
Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, salaam. Mimi mmoja wa watu nilikuwa nakufuatilia sana na kukubali kisiasa, toka ukiwa waziri awamu za nyuma, Rais, na sasa Rais mstaafu.

Kwa sasa unlikuwa unafit sana nafasi ya Elder Statesman, mwanasiasa mwandamizi nchini, ambaye kwa uzoefu wake kulitumikia Taifa ungetumika kama point of reference kwa mambo yote nchini , kisiasa na kiuchumi.

Lakini cheo hiki cha Elder Statesman kina gharama ya kuishi above controversy, yaani mtu asiwe na figisu zozote.

Tuje kwenye kichwa cha mada.
Umetudissapoint mzee, tena sana. Muswada uliopitishwa na Bunge, kwa msukumo mkubwa wa mke wako Bi. Salma Kikwete, wananchi hawakuufurahia.

Hiyo ni kuutumia vibaya umaarufu wa Jakaya Mrisho Kikwete.

Kwamba umaarufu wa Kikwete umetumika kujilimbikizia mali, hilo halijakaa vizuri. Siingii kwenye uchambuzi wa mafao yenyewe, lakini kiuhalisia kuutumia umaarufu wa jina la Kikwete kujilimbikizia mali, ambazo ni kodi za wananchi, sipepesi macho huo ni ufisadi wa fedha za umma.

Namalizia kwa kusema, sijui kama suala la mafao ya wake za viongozi, kama lilivyosukumwa na mama Salma lilipita chujio la familia ya Kikwete? Na je? Kikwete anaweza tokea hadharani kutetea hilo?

Wasalaam mzee Kikwete, bado una muda wa kudhibiti mihemuko ndani ya familia yako.
MODS naomba muirudishe hii mada kama mada inayojitegemea.
Maudhui ya hii mada ni kwa mh Kikwete kushindwa kum control mke wake na si mafao yenyewe.
Hivi ni vitu viwili tofauti.
Atajitokeza mtoto wa Rais naye akataka mafso ya watoto, kwa kodi za umma.
Thats my argument.
MODS irudisheni please.
 
Dah, na wanavyochelewa kufa Sasa nguchiro hawa, just imagine hadi mjane wa Nyerere na Amani Karume hadi Leo wapo tuh, sisi pangu pakavu ndo tunakufa, ni nani kwani Huwa anaandaa huu upuzi wa hayo MALIPO?
 
Back
Top Bottom