ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Watu wanajipigia kwa jina la sheria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya kumwagaAisee Kumbe Tz pesa ipo
Sasa mbona Walimu hawatupatii pesa?Ya kumwaga
Bila kua fisadi utoboi mwalimu[emoji4]Hawa watu wanatuona wajinga sn, mwalimu amesota miaka 43 anapokea milioni 25 na monthly pension laki na nusu
Hakuna aiseeTanganyika haijielewi...sidhani kama nchi ya zenji Kuna kufuru hizi!!
Alafu kunawatu wanasema tunabunge la wananchi??!!
Ni kweli aiseeBila kua fisadi utoboi mwalimu[emoji4]
Ha ha ha....jf bhana[emoji1787][emoji1787]Hakuna first gentlemen labda first marioo
Chukua Chako mapema (CCM)[emoji4]Ni kweli aisee
🤣🤣🤣 aiseeChukua Chako mapema (CCM)[emoji4]
huyo mama sumu kabisa na mashavu yake kama vitumbua.Ndio maana wanahimiza sana maskini walipa kodi watunze amani ili waendelee kufaidi wasivyovitolea jasho.
Kama mke wa rais mstaafu analipwa mke wa Kikwete anatafuta nini bungeni! Wanakula na kukwangua sufuria kabisa.
Coment za kijinga hizi, Vipi watu mfano wanao chukua Rushwa, wanaruhusu hadi Madawa ya Binadamu au mifugo yalio Expire yanaingia kwenye mzunguko wa kuuzwa na sisi sisi tunaedna kununua ba kutumia. Siioendi hii Serikali ila siwezi shangilia upigaji, kuna upigaji unidhuru mimi moja kwa moja. Tuache ujinga.Mimi ndiyo maana nasema siku zote; ukipata nafasi ya kuiibia hii serikali, wewe iba tu! Na ukipata mwanya wa kukwepa kodi, usijiulize mara mbili! Wewe kwepa tu. Maana hakuna namna nyingine.
Haiwezekani watu wachache waishi kama wako peponi, halafu wale walio wengi waishi kama wako jehanamu.
Mkiambiwa kuandamana hamtaku, kulalamika hakusaidii kitu mkuu na hakuna Mabadiliko yalio wahi kuletwa na kulalamikahuyo mama sumu kabisa na mashavu yake kama vitumbua.
ndiye wa kwanza kuomba bungeni malipo kwa wake za wastaafu.
Sio nyani, wanawaona mazazera, wao sio wajinga, wanajua fika wanatawala MazezetaWanatuona nyani.