Mafao wanayopata wenza wa viongozi wakuu wastaafu ni kufuru

Mafao wanayopata wenza wa viongozi wakuu wastaafu ni kufuru

IMEANDIKWA.

24 “Ndipo akawaambia wale waliokuwa wamesimama karibu, ‘Mnyang'anyeni fungu lake la fedha, mkampe yule mwenye kumi.’
25 “Wakamwambia, ‘Bwana, mbona; tayari anayo mafungu kumi!’
26 “Akawajibu, ‘Nawaambia kwamba kila aliye na kitu, ataongezewa. Lakini yule asiye na kitu, hata alicho nacho atanyang'anywa.
 
Kitendo cha kuandika huu uzi martin masese🚮.. ikabdi nifatilie. Jinga sana jamaa. Anapenda kuamsha hisia watu.
 
kwa sisi ambao baba zetu walifariki mapema na kutuacha na mzazi mmoja tena asiye na ajira joto lajiwe tunalijua..

jamani unyonge mnyongeni ila haki yake mpeni aheni wapate hiyo hela hawa wake wa viongozi hizo pesa hawali peke yao wanamsululu wa wananchi wanawagongea kuja kuwaomba msaada hapo bado vikundi vya wanawake wenzake vinamuangalia yeye..

mfano mama maria bibi yetu yule pale watoto na wajukuu wote analea pale wapo nyumbani wanategemea mafao hayo ndio waishi.
alafu ingekuwa hayo mafao yamewafanya kuwa matajiri wakubwa hapo ningesema sawa ila wengi wao wanaishi kawaida tu. hawana makuu wamama wa watu.
mimi kwa hili naipongeza serikali sana sisi.
NIMEKUELEWA AFU KAMA SIJAKUELWA YANI.Au sisi ndo tumezoe umaskini na shida zake afu tukiwaona maskini wapya/wengine tunawaonea huruma Ili hali sisi wenyewe ndo walewale[emoji851]

Joto la jiwe la kuishi na mzazi moja asiye na ajira afu awemwanamke unalielwa vizuri tu, lakini tuwaache wenza wa viongozi wapokee hiyo mipesheni ya kutosha kisa wanategemewa na ndugu zao na vikoba vya wamama, zisipunguzwe Ili zije na huku kwetu ila pia ata zikiletwa wahuni wanaweza wakabumiana nazo juu Kwa juu. na hapohapo hao viongozi na wenza wao wakati wauongozi walipokea mishahara na miposho yakutosha yakuwawezesha wafanye mambo makubwa tu hapo tusiseme kuwa walikuwa wanafinya bahadhi ya minoti katika tawala zao (Kwa maana hatuna uhakika).

Basi tuseme wamewasaidi wenza wao kufanya kazi kubwa ya kuliletea maendeleo hili Taifa lakini Taifa lenyewe Kila siku lawama nyingi tena kubwa juu ya ya mambo yaleyale umeme,maji,elimu(madarasa n.k),usafirishaji,Afya n.k yani haijawahi kutokea kusema Sasa hivi kidogo hizi huduma zinauhafadhari, basi hizi huduma zinaelemewa sababu ya uongezekaji wa watu ila serikali haiwezi kukadiria uongezekaji wa watu Ili kupanga vizuri huduma za kijamii(Geography 2 A-level Population).Nauongezekaji wa watu sio tz tu ata huko kwengineko India,China,marekani n.k wao wanafanyanye kuhimili changamoto za uongezekaji wa watu.

Raisi au mwenza wake kuishi katika mazingira ya hovyo sio kweli ila tunaweza kupunguza jiuo migharama watu wenyewe wanakuwa wamesha zeeka

Ila ndo hivyo tutaishia tu kulalamikia humu kubadili hatuwezi.kama tumesalitiwa hivi au mleta Uzi muhongo.
 
Huu sasa ndo uvunjifu wa amani

Why?

1. Cheo cha u Rais kitatafutwa kwa gharaama yeyote hata kwa damu, sio utumishi tena ni serious unfairness.

2. Hii unfairness itawauma wazalendo wa kweli walio kwenye mfumo, watainuka wasalitu.

3. Huwezi tesa watu mda wote kwa dhuluma, elastic limit itafikiwa tu na watu wataondokwa na hofu.

4. Mungu Hapendi dhuluma na watu wakilalamika sana atapitisha fagio/azabu.

........ angalieni hii kiburi ya ccm
Sema serikalini kuna pesa ,ebu fikiria mbunge anahonga mpaka pikipiki 60 , wengine wanatoa magari kabisa kwa pesa zao hata magari 10.

Hizo pesa wanatoa wapi ?Uhalisia kwa haraka kila mbunge kibongo bongo hawa ambao ni Mawaziri ni mabilionea .

Serikalini kunalipa unapiga easy money tu ,hawatoweza kutosheka hata kidogo.
 
Huyu kama akijua mbinu za uwekezaji anaweza kuitwa bilionea siku sio nyingi, akawaajiri vijana wa kitanzania, lakini kama ndio zile akili zetu za ngomani, anaweza akawa ndio kwanza anawaza 2025 atarudi vipi bungeni aendelee kutukamua wajinga.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Wanasiasa ni ngumu kujua biashara na kanuni zake ama sivyo uchumi wa nchi ungekuwa vilevile kwa kupitia biashara kubwa za wanasiasa .
 
Dah! Comments zimeshiba sana katika huu Uzi[emoji123] watu mnamwagika ileile yani na ni dhairi vifua vinauchungu ila pia comments zinaonesha swali kuwa "nani atamfunga paka kengengele?"
 
Tukiambiwa tuandamane tunatoka? Sikiliza hawa Watawala wanafanya haya yote kwa sababu wanajua fika wanaongiza aina ipi ya watu
Ndio maana nikasema mtaji mkubwa wa hawa watawala ni huu ujinga wetu wa tanzania kisiwa cha amani, tudumishe amani., tukidai haki, askari wanakubali kutumika kisiasa, nao siku hiyo wanajidai wanafanya usafi 😂🤣
 
Coment za kijinga hizi, Vipi watu mfano wanao chukua Rushwa, wanaruhusu hadi Madawa ya Binadamu au mifugo yalio Expire yanaingia kwenye mzunguko wa kuuzwa na sisi sisi tunaedna kununua ba kutumia. Siioendi hii Serikali ila siwezi shangilia upigaji, kuna upigaji unidhuru mimi moja kwa moja. Tuache ujinga.

Barabarani hatutaki kutoka tumekaa kuandamania Jf,
Changia maoni yako. Acha kupangia watu cha kuchangia humu jukwaani. Kama hujaridhishwa na maoni yangu, pita kushoto.
 
Tanzania = Tanganyika + Zanzibar 🙏

• Mke wa Mwl, Julius K. Nyerere, Maria Nyerere.
• Wake wa Ali H. Mwinyi, Sitti na Khadija Mwinyi.
• Mke wa Benjamin W. Mkapa, Anna Mkapa
• Mke wa Jakaya M. Kikwete, Salma Kikwete
• Mke wa John P. Magufuli, Janeth Magufuli
• Mume wa Samia S. Hassan, Hafidh Ameir

Kwa mujibu wa The Political Service Retirement Benefits Act [CAP. 225] kila mwezi hawa watalipwa 60% ya mshahara wa Rais aliyepo madarakani.

Kama Rais aliyepo madarakani anapokea TZS 50,000,000 kwa mwezi, mwenza wa Rais atalipwa malipo/mafao ya TZS 30,000,000 kila mwezi.

Rais akistaafu, mwenza/wenza wake atapokea/watapokea (kwa mkupuo) 25% ya mshahara wa Rais alioupokea wakati wote akiwa madarakani.

Mfano, kama Rais alikaa madarakani kwa kipindi cha miaka 10, akalipwa TZS 4,000,000,000, mwenza wake atalipwa TZS 1,000,000,000 kwa mkupuo.

Pamoja na malipo hayo ya fedha, pia wenza hawa sita (6) wa Marais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania watapata mafao mengine kama ilivyoelekezwa;

1. Nyumba ambayo Rais alipewa na alikuwa akiitumia kama makazi baada ya kustaafu itakuwa mali yake halali baada ya mume/mke wake (Rais) kufariki.

2. Atapokea posho ya matengenezo ya kila mwezi katika maisha yake yote akiwa hai kiasi ambacho ni sawa na 60% ya mshahara wa Rais aliye madarakani.

3. Mke/mume wa Rais atatibiwa ndani na nje ya Tanzania, na matibabu yake yatagharamiwa na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

4. Mjane wa Rais mstaafu atapata huduma ya magari mawili, na dereva wawili kufanya shughuli zake za kila siku. Serikali inalipia gharama za mafuta.

5. Magari anayopewa mjane wa Rais yatabadilishwa baada ya miaka 5. Kuna maintenance allowance. 60% ya mshahara wa Rais aliye madarakani kila mwezi

6. Malipo ya fedha kulipa mishahara kwa kiwango cha kima cha chini cha mishahara ya watumishi kwa; dereva, mpishi, mfua nguo na mtunza bustani

7. Mke/mume wa Rais atapata huduma ya usafiri kwa gharama za serikali hadi mahali pa kuishi kwa maisha yake yote hadi pale ambapo kifo kitawatenganisha.

8. Mke/mume na watoto wanapata ulinzi kutoka Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) kutokana na mabadiliko yaliyofanywa katika Sheria ya Usalama wa Taifa.

9. Gharama za mazishi ya mke/mume wa Rais yatakuwa chini ya serikali. Serikali ya Tanzania itagharamia kwa 100% msiba wa mwenza wa Rais

10. Mjane wa Makamu wa Rais, anapata stahiki kama za mjane wa Rais isipokuwa tofauti yake ni moja, atapata gari moja la Serikali na dereva mmoja.

#Martin Maranja Masese #Termus #DevOps
MABADILIKO YA SHERIA YA MAFAO YA VIONGOZI NA FAMILIA ZAO:

Jina la sheria - THE POLITICAL SERVICE RETIREMENT BENEFITS ACT, (CAP. 225)

"THREAD"

BADILIKO 1:

Ongezeko la kifungu kipya cha 9A ambacho hakipo kwenye sheria kinachotaja mafao ya mke/mume wa rais mstaafu. Baada ya rais kustaafu, mwenza/wenza wake atapokea kiasi cha fedha (kwa mkupuo) sawa na 25% ya mshahara wa rais alioupokea katika kipindi chote alichokuwa madarakani. Yaani, kama rais alikaa madarakani kwa miaka 10, akalipwa mshahara wa TZS 3B, basi mwenza wake atalipwa TZS 750M, fedha ambayo inalipwa kwa mkupuo.

BADILIKO 2:

Kwenye kifungu cha 11 kinachohusu mafao ya mjane wa rais mstaafu (survivor's pension) ambapo kwa sasa kila mwezi mjane hulipwa 40% ya mshahara wa rais aliye madarakani. Asilimia imeongezwa na sasa mjane atalipwa 60%. Mfano kama rais anapokea TZS 30M kwa mwezi, basi mjane wa rais atalipwa TZS 18M kila mwezi.

BADILIKO 3:

Ongezeko la kifungu kipya cha 12A ambacho hakipo kwenye sheria kinachotaja mafao ya mke/mume wa makamu wa rais mstaafu. Baada ya makamu wa rais kustaafu, mwenza/wenza wake atapokea kiasi cha fedha (kwa mkupuo) sawa na 25% ya mshahara wa makamu wa rais alioupokea katika kipindi chote alichokuwa madarakani. Yaani, kama makamu wa rais alikaa madarakani kwa miaka 10, akalipwa mshahara wa TZS 2B, basi mwenza wake atalipwa TZS 500M, fedha ambayo inalipwa kwa mkupuo.

BADILIKO 4:

Kufutwa kwa kifungu cha 13 ambapo makamu wa rais anapofariki akiwa madarakani, au baada ya kustaafu (kabla hajalipwa mafao yake), mwenza wake, atalipwa (survivor's pension) sawa na 40% ya mshahara wa makamu wa rais aliye madarakani, na stahiki nyingine zilizoelezwa kwenye jedwali la sheria hiyo, ikiwemo nyumba, matibabu na mengine mengi. (kifungu hiki kimefutwa).

Kifungu kipya cha 13 ambapo makamu wa rais anapofariki akiwa madarakani, au baada ya kustaafu (kabla hajalipwa mafao yake), wategemezi wake (dependants) watalipwa kiasi cha fedha sawa na mshahara wote wa makamu wa rais alioupokea wakati akiwa madarakani. Mfano, kama makamu wa rais alikaa madarakani kwa miaka 10, akalipwa TZS 2B kama mshahara, basi wategemezi wake watalipwa kiasi hiko cha TZS 2B kama pension. Ifahamike, kwa mujibu wa sheria hii, neno "dependants" limefafanuliwa kwenye kifungu cha 4, na maana yake ni mke au wake, mume, watoto (ambao walikuwa ni tegemezi kwa marehemu), pamoja na wazazi wa marehemu (wategemezi).

Pia, mke wa marehemu (makamu wa rais) atalipwa fedha (survivor's pension) kila mwezi sawa na 40% ya mshahara wa wa makamu wa rais aliye madarakani kwa sasa. Pia, atapata stahiki nyingine zilizotajwa kwenye jedwali la sheria hii.

BADILIKO 5:

Kifungu cha 14 kimeongezwa kifungu kidogo cha "4" kinachotoa haki ya "msaidizi wa kazi" mmoja kwa mtu aliyewahi kuwa Waziri Mkuu kabla ya sheria hii kutungwa. Hapa tunazungumzia Mawaziri wakuu wastaafu wakati wa Mwalimu.

BADILIKO 6:

Ongezeko la kifungu kipya cha 14A ambacho hakipo kwenye sheria ya sasa> Kifungu hiki kinataja mafao ya mke/mume wa Waziri Mkuu mstaafu. Baada ya Waziri Mkuu kustaafu, mwenza/wenza wake atapokea kiasi cha fedha (kwa mkupuo) sawa na 25% ya mshahara wa Waziri Mkuu alioupokea katika kipindi chote alichokuwa madarakani. Mfano, kama Waziri Mkuu ameshika madaraka kwa miaka 10, akalipwa mshahara wa TZS 1B, basi mwenza wake atalipwa TZS 250M, fedha ambayo inalipwa kwa mkupuo (lump sum).

BADILIKO 7:

Kifungu cha 15(2) kimefanyiwa nyongeza ya neno "granted monthly", ambapo kwa sheria ya sasa, kifungu hiki kinamtaja mjane wa Waziri Mkuu kupokea kiasi cha fedha 40% ya mshahara wa Waziri Mkuu aliye madarakani. Kilichoongezeka ni kwamba, hiki kiasi atakuwa analipwa KILA MWEZI.

BADILIKO 8:

Kifungu cha 18(2) kimefanyiwa nyongeza ya neno "granted monthly", ambapo kwa sheria ya sasa, kifungu hiki kinamtaja mjane wa Spika wa Bunge kupokea kiasi cha fedha 40% ya mshahara wa Spika aliye madarakani kwa sasa. Kilichoongezeka ni kwamba, hiki kiasi atakuwa analipwa KILA MWEZI.

BADILIKO 9:

Badiliko la JEDWALI la sheria hii linalotaja nyongeza ya mafao ya viongozi.

1. Rais mstaafu ameongezewa idadi ya magari kutoka magari 2, sasa atapata magari 3 yasiyopungua uzito wa tani 3 (yaani hawezi pewa Corola, bali ni gari kubwa kama V8 n.k, ambapo atapewa magari mapya kila baada ya miaka 5.

2. Rais mstaafu ameongezewa idadi ya madereva toka 2 na sasa atapewa 3.

3. Sheria ya sasa inataja gharama za mazishi kwa rais mstaafu tu, nyongeza iliyowekwa ni gharama ya mazishi kwa mwenza wake. Yaani kama rais mstaafu atafiwa na mke/mume wake, basi Serikali itagharamia mazishi hayo.

4. Makamu wa Rais mstaafu ameongezewa idadi ya magari kutoka gari 1, sasa atapata magari 2 yasiyopungua uzito wa tani 3 ambapo atapewa magari mapya kila baada ya miaka 5.

5. Makamu wa Rais mstaafu ameongezewa idadi ya madereva toka 1 na sasa atapewa madereva 2.

6. Makamu wa Rais atajengewa nyumba ya kifahari. Ikumbukwe, kwa sheria ya sasa, ni Rais mstaafu pekee ndiye anajengewa nyumba.

7. Sheria ya sasa inataja gharama za mazishi kwa Ma
 
MABADILIKO YA SHERIA YA MAFAO YA VIONGOZI NA FAMILIA ZAO:

Jina la sheria - THE POLITICAL SERVICE RETIREMENT BENEFITS ACT, (CAP. 225)

"THREAD"

BADILIKO 1:

Ongezeko la kifungu kipya cha 9A ambacho hakipo kwenye sheria kinachotaja mafao ya mke/mume wa rais mstaafu. Baada ya rais kustaafu, mwenza/wenza wake atapokea kiasi cha fedha (kwa mkupuo) sawa na 25% ya mshahara wa rais alioupokea katika kipindi chote alichokuwa madarakani. Yaani, kama rais alikaa madarakani kwa miaka 10, akalipwa mshahara wa TZS 3B, basi mwenza wake atalipwa TZS 750M, fedha ambayo inalipwa kwa mkupuo.

BADILIKO 2:

Kwenye kifungu cha 11 kinachohusu mafao ya mjane wa rais mstaafu (survivor's pension) ambapo kwa sasa kila mwezi mjane hulipwa 40% ya mshahara wa rais aliye madarakani. Asilimia imeongezwa na sasa mjane atalipwa 60%. Mfano kama rais anapokea TZS 30M kwa mwezi, basi mjane wa rais atalipwa TZS 18M kila mwezi.

BADILIKO 3:

Ongezeko la kifungu kipya cha 12A ambacho hakipo kwenye sheria kinachotaja mafao ya mke/mume wa makamu wa rais mstaafu. Baada ya makamu wa rais kustaafu, mwenza/wenza wake atapokea kiasi cha fedha (kwa mkupuo) sawa na 25% ya mshahara wa makamu wa rais alioupokea katika kipindi chote alichokuwa madarakani. Yaani, kama makamu wa rais alikaa madarakani kwa miaka 10, akalipwa mshahara wa TZS 2B, basi mwenza wake atalipwa TZS 500M, fedha ambayo inalipwa kwa mkupuo.

BADILIKO 4:

Kufutwa kwa kifungu cha 13 ambapo makamu wa rais anapofariki akiwa madarakani, au baada ya kustaafu (kabla hajalipwa mafao yake), mwenza wake, atalipwa (survivor's pension) sawa na 40% ya mshahara wa makamu wa rais aliye madarakani, na stahiki nyingine zilizoelezwa kwenye jedwali la sheria hiyo, ikiwemo nyumba, matibabu na mengine mengi. (kifungu hiki kimefutwa).

Kifungu kipya cha 13 ambapo makamu wa rais anapofariki akiwa madarakani, au baada ya kustaafu (kabla hajalipwa mafao yake), wategemezi wake (dependants) watalipwa kiasi cha fedha sawa na mshahara wote wa makamu wa rais alioupokea wakati akiwa madarakani. Mfano, kama makamu wa rais alikaa madarakani kwa miaka 10, akalipwa TZS 2B kama mshahara, basi wategemezi wake watalipwa kiasi hiko cha TZS 2B kama pension. Ifahamike, kwa mujibu wa sheria hii, neno "dependants" limefafanuliwa kwenye kifungu cha 4, na maana yake ni mke au wake, mume, watoto (ambao walikuwa ni tegemezi kwa marehemu), pamoja na wazazi wa marehemu (wategemezi).

Pia, mke wa marehemu (makamu wa rais) atalipwa fedha (survivor's pension) kila mwezi sawa na 40% ya mshahara wa wa makamu wa rais aliye madarakani kwa sasa. Pia, atapata stahiki nyingine zilizotajwa kwenye jedwali la sheria hii.

BADILIKO 5:

Kifungu cha 14 kimeongezwa kifungu kidogo cha "4" kinachotoa haki ya "msaidizi wa kazi" mmoja kwa mtu aliyewahi kuwa Waziri Mkuu kabla ya sheria hii kutungwa. Hapa tunazungumzia Mawaziri wakuu wastaafu wakati wa Mwalimu.

BADILIKO 6:

Ongezeko la kifungu kipya cha 14A ambacho hakipo kwenye sheria ya sasa> Kifungu hiki kinataja mafao ya mke/mume wa Waziri Mkuu mstaafu. Baada ya Waziri Mkuu kustaafu, mwenza/wenza wake atapokea kiasi cha fedha (kwa mkupuo) sawa na 25% ya mshahara wa Waziri Mkuu alioupokea katika kipindi chote alichokuwa madarakani. Mfano, kama Waziri Mkuu ameshika madaraka kwa miaka 10, akalipwa mshahara wa TZS 1B, basi mwenza wake atalipwa TZS 250M, fedha ambayo inalipwa kwa mkupuo (lump sum).

BADILIKO 7:

Kifungu cha 15(2) kimefanyiwa nyongeza ya neno "granted monthly", ambapo kwa sheria ya sasa, kifungu hiki kinamtaja mjane wa Waziri Mkuu kupokea kiasi cha fedha 40% ya mshahara wa Waziri Mkuu aliye madarakani. Kilichoongezeka ni kwamba, hiki kiasi atakuwa analipwa KILA MWEZI.

BADILIKO 8:

Kifungu cha 18(2) kimefanyiwa nyongeza ya neno "granted monthly", ambapo kwa sheria ya sasa, kifungu hiki kinamtaja mjane wa Spika wa Bunge kupokea kiasi cha fedha 40% ya mshahara wa Spika aliye madarakani kwa sasa. Kilichoongezeka ni kwamba, hiki kiasi atakuwa analipwa KILA MWEZI.

BADILIKO 9:

Badiliko la JEDWALI la sheria hii linalotaja nyongeza ya mafao ya viongozi.

1. Rais mstaafu ameongezewa idadi ya magari kutoka magari 2, sasa atapata magari 3 yasiyopungua uzito wa tani 3 (yaani hawezi pewa Corola, bali ni gari kubwa kama V8 n.k, ambapo atapewa magari mapya kila baada ya miaka 5.

2. Rais mstaafu ameongezewa idadi ya madereva toka 2 na sasa atapewa 3.

3. Sheria ya sasa inataja gharama za mazishi kwa rais mstaafu tu, nyongeza iliyowekwa ni gharama ya mazishi kwa mwenza wake. Yaani kama rais mstaafu atafiwa na mke/mume wake, basi Serikali itagharamia mazishi hayo.

4. Makamu wa Rais mstaafu ameongezewa idadi ya magari kutoka gari 1, sasa atapata magari 2 yasiyopungua uzito wa tani 3 ambapo atapewa magari mapya kila baada ya miaka 5.

5. Makamu wa Rais mstaafu ameongezewa idadi ya madereva toka 1 na sasa atapewa madereva 2.

6. Makamu wa Rais atajengewa nyumba ya kifahari. Ikumbukwe, kwa sheria ya sasa, ni Rais mstaafu pekee ndiye anajengewa nyumba.

7. Sheria ya sasa inataja gharama za mazishi kwa Ma

Asante kwa ufafanuzi kuhusu sheria. Emanueli misalaba
 
Tanzania = Tanganyika + Zanzibar 🙏

• Mke wa Mwl, Julius K. Nyerere, Maria Nyerere.
• Wake wa Ali H. Mwinyi, Sitti na Khadija Mwinyi.
• Mke wa Benjamin W. Mkapa, Anna Mkapa
• Mke wa Jakaya M. Kikwete, Salma Kikwete
• Mke wa John P. Magufuli, Janeth Magufuli
• Mume wa Samia S. Hassan, Hafidh Ameir

Kwa mujibu wa The Political Service Retirement Benefits Act [CAP. 225] kila mwezi hawa watalipwa 60% ya mshahara wa Rais aliyepo madarakani.

Kama Rais aliyepo madarakani anapokea TZS 50,000,000 kwa mwezi, mwenza wa Rais atalipwa malipo/mafao ya TZS 30,000,000 kila mwezi.

Rais akistaafu, mwenza/wenza wake atapokea/watapokea (kwa mkupuo) 25% ya mshahara wa Rais alioupokea wakati wote akiwa madarakani.

Mfano, kama Rais alikaa madarakani kwa kipindi cha miaka 10, akalipwa TZS 4,000,000,000, mwenza wake atalipwa TZS 1,000,000,000 kwa mkupuo.

Pamoja na malipo hayo ya fedha, pia wenza hawa sita (6) wa Marais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania watapata mafao mengine kama ilivyoelekezwa;

1. Nyumba ambayo Rais alipewa na alikuwa akiitumia kama makazi baada ya kustaafu itakuwa mali yake halali baada ya mume/mke wake (Rais) kufariki.

2. Atapokea posho ya matengenezo ya kila mwezi katika maisha yake yote akiwa hai kiasi ambacho ni sawa na 60% ya mshahara wa Rais aliye madarakani.

3. Mke/mume wa Rais atatibiwa ndani na nje ya Tanzania, na matibabu yake yatagharamiwa na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

4. Mjane wa Rais mstaafu atapata huduma ya magari mawili, na dereva wawili kufanya shughuli zake za kila siku. Serikali inalipia gharama za mafuta.

5. Magari anayopewa mjane wa Rais yatabadilishwa baada ya miaka 5. Kuna maintenance allowance. 60% ya mshahara wa Rais aliye madarakani kila mwezi

6. Malipo ya fedha kulipa mishahara kwa kiwango cha kima cha chini cha mishahara ya watumishi kwa; dereva, mpishi, mfua nguo na mtunza bustani

7. Mke/mume wa Rais atapata huduma ya usafiri kwa gharama za serikali hadi mahali pa kuishi kwa maisha yake yote hadi pale ambapo kifo kitawatenganisha.

8. Mke/mume na watoto wanapata ulinzi kutoka Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) kutokana na mabadiliko yaliyofanywa katika Sheria ya Usalama wa Taifa.

9. Gharama za mazishi ya mke/mume wa Rais yatakuwa chini ya serikali. Serikali ya Tanzania itagharamia kwa 100% msiba wa mwenza wa Rais

10. Mjane wa Makamu wa Rais, anapata stahiki kama za mjane wa Rais isipokuwa tofauti yake ni moja, atapata gari moja la Serikali na dereva mmoja.

#Martin Maranja Masese #Termus #DevOps
Mkuu Termux katika uhalisia wa uchumi wa nchi yetu,

1. Je jambo hili lililopita ni haki lifanyike hasa wake au waume wa hawa watu, Rais, Makamu wa Rais, Waziri mkuu, na Spika?

2. Je vipi kuhusu wake wa wastaafu wengine? Jaji mkuu, Mwanasheria mkuu wa serikali, CDF, IGP, Mkurugenzi wa usalama wa taifa, wake wa Mawaziri, Wabunge, Madaktari, Wanajeshi nk nk, kwani hawa si Watanzania? Je hawajalitumikia taifa hawa?

3. Kwa nini mafao yatolewe kwa wake/ waume wa Spika, Rais, Makamu wa rais, Waziri mkuu, hawa Watanzania wengine kwa nini wasipewe?
4. Kazi gani kuumbwa na gumu wamefanya huku taifa likiwa na matatizo lukuki yanaenda serikali moja kwenda nyingine wameshindwa kutatua,
Umeme tu miaka 60 umewashinda, katiba kongwe ya 1977 hawataki kukubali mazingira ya ipatikane inayoendana na muda,
Sukari shida.
Salma Kikwete, Tulia Ackson na Samia wamewakosea adabu Watanzania kwa hili wake wawastaafu kupewa mafao.
 
Mkuu Termux katika uhalisia wa uchumi wa nchi yetu jambo

1. Je ni haki lifanye hasa wake au waume wa hawa Rais, Makamu wa Rais, Waziri mkuu, na Spika?

2. Je vipi kuhusu wake wa wastaafu wengine? Jaji mkuu, Mwanasheria mkuu wa serikali, CDF, IGP, Mkurugenzi wa usalama wa taifa, wake wa Mawaziri, Wabunge, Madaktari, Wanajeshi nk nk, kwani hawa si Watanzania? Je hawajalitumikia taifa hawa?

3. Kwa nini mafao yatolewe kwa wake/ waume wa Spika, Rais, Makamu wa rais, Waziri mkuu, hawa Watanzania wengine kwa nini wasipewe?
4. Kazi gani kuumbwa na gumu wamefanya huku taifa likiwa na matatizo lukuki yanaenda serikali moja kwenda nyingine wameshindwa kutatua,
Umeme tu miaka 60 umewashinda, katiba ya kongwe ya 1977 hawataki kukubali mazingira ya ipatikane inayoendana na muda,
Sukari shida.
Salma Kikwete, Tulia Ackson na Samia wamewakosea adabu Watanzania kwa hili wake wawastaafu kupewa mafao.

Vijana tunatakiwa tupambanie kesho ya watoto wetu waje kuishi kwa usawa, maana tanzania ni ya watanzania wote, sio mali ya ukoo flani au kabila flani.
Kwa mimi nadhani democras tunge waachia wenyewe wazungu tu, turudi ktk ujamaa. Ni ka system cha upigaji tu
 
Tanzania = Tanganyika + Zanzibar 🙏

• Mke wa Mwl, Julius K. Nyerere, Maria Nyerere.
• Wake wa Ali H. Mwinyi, Sitti na Khadija Mwinyi.
• Mke wa Benjamin W. Mkapa, Anna Mkapa
• Mke wa Jakaya M. Kikwete, Salma Kikwete
• Mke wa John P. Magufuli, Janeth Magufuli
• Mume wa Samia S. Hassan, Hafidh Ameir

Kwa mujibu wa The Political Service Retirement Benefits Act [CAP. 225] kila mwezi hawa watalipwa 60% ya mshahara wa Rais aliyepo madarakani.

Kama Rais aliyepo madarakani anapokea TZS 50,000,000 kwa mwezi, mwenza wa Rais atalipwa malipo/mafao ya TZS 30,000,000 kila mwezi.

Rais akistaafu, mwenza/wenza wake atapokea/watapokea (kwa mkupuo) 25% ya mshahara wa Rais alioupokea wakati wote akiwa madarakani.

Mfano, kama Rais alikaa madarakani kwa kipindi cha miaka 10, akalipwa TZS 4,000,000,000, mwenza wake atalipwa TZS 1,000,000,000 kwa mkupuo.

Pamoja na malipo hayo ya fedha, pia wenza hawa sita (6) wa Marais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania watapata mafao mengine kama ilivyoelekezwa;

1. Nyumba ambayo Rais alipewa na alikuwa akiitumia kama makazi baada ya kustaafu itakuwa mali yake halali baada ya mume/mke wake (Rais) kufariki.

2. Atapokea posho ya matengenezo ya kila mwezi katika maisha yake yote akiwa hai kiasi ambacho ni sawa na 60% ya mshahara wa Rais aliye madarakani.

3. Mke/mume wa Rais atatibiwa ndani na nje ya Tanzania, na matibabu yake yatagharamiwa na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

4. Mjane wa Rais mstaafu atapata huduma ya magari mawili, na dereva wawili kufanya shughuli zake za kila siku. Serikali inalipia gharama za mafuta.

5. Magari anayopewa mjane wa Rais yatabadilishwa baada ya miaka 5. Kuna maintenance allowance. 60% ya mshahara wa Rais aliye madarakani kila mwezi

6. Malipo ya fedha kulipa mishahara kwa kiwango cha kima cha chini cha mishahara ya watumishi kwa; dereva, mpishi, mfua nguo na mtunza bustani

7. Mke/mume wa Rais atapata huduma ya usafiri kwa gharama za serikali hadi mahali pa kuishi kwa maisha yake yote hadi pale ambapo kifo kitawatenganisha.

8. Mke/mume na watoto wanapata ulinzi kutoka Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) kutokana na mabadiliko yaliyofanywa katika Sheria ya Usalama wa Taifa.

9. Gharama za mazishi ya mke/mume wa Rais yatakuwa chini ya serikali. Serikali ya Tanzania itagharamia kwa 100% msiba wa mwenza wa Rais

10. Mjane wa Makamu wa Rais, anapata stahiki kama za mjane wa Rais isipokuwa tofauti yake ni moja, atapata gari moja la Serikali na dereva mmoja.

#Martin Maranja Masese #Termus #DevOps
Kusema ukweli, hii ni Double standard hii imefanyika.
1. Aliyepeleka. Mswaada Bungeni.

2. Aliyekubali mswaada ujadiliwe na kupitishwa.

3. Aliyeusaini huu mswaada na kuwa sheria.
Basi wake wa Askari, Madaktari, Waalimu kwenye nchi hii nao wakistaafu waume au wake zao wapewe nao mafao ni double standard wanafanya.
Halafu fedha ya kodi kuendesha bajeti ya nchi haitoshi, utawakuta wanazurura huko kuzungusha mabakuli kuomba misaada kwa wahisani, wakipewa matumizi yenyewe ni ovyoo kabisa.
 
ukipata chansi mtanzania mwenzangu piga hela vyovyote vile jela ni kwa wote hawa mafisi wamejihalalishia ufisadi kupitia sheria ***** kwa kazi gani walipwe pesa hizo.
 
kwa sisi ambao baba zetu walifariki mapema na kutuacha na mzazi mmoja tena asiye na ajira joto lajiwe tunalijua..

jamani unyonge mnyongeni ila haki yake mpeni aheni wapate hiyo hela hawa wake wa viongozi hizo pesa hawali peke yao wanamsululu wa wananchi wanawagongea kuja kuwaomba msaada hapo bado vikundi vya wanawake wenzake vinamuangalia yeye..

mfano mama maria bibi yetu yule pale watoto na wajukuu wote analea pale wapo nyumbani wanategemea mafao hayo ndio waishi.
alafu ingekuwa hayo mafao yamewafanya kuwa matajiri wakubwa hapo ningesema sawa ila wengi wao wanaishi kawaida tu. hawana makuu wamama wa watu.
mimi kwa hili naipongeza serikali sana sisi.
Acha kutetea ujinga.Huu ujinga uko kwenye nchi za kijinga.Na utetezi wako niwakijinga.Pesa za walipa kodi toka lini zikatakiwa kutumika kulisha extended family ya mtu.
 
Back
Top Bottom