Mafao wanayopata wenza wa viongozi wakuu wastaafu ni kufuru

Mafao wanayopata wenza wa viongozi wakuu wastaafu ni kufuru

Huyo Mama Salma Kikwete angetuhurumia kidogo.

Huyo anakula hizo "kufuru zote" hapo juu, bado anaongezea posho za bungeni, mshahara wa ubunge, na kiinua mgongo kinachofikia milioni 200 baada ya miaka mitano ya ubunge wake kwisha.

Huyu kama akijua mbinu za uwekezaji anaweza kuitwa bilionea siku sio nyingi, lakini kama ndio zile akili zetu za ngomani, anaweza akawa ndio kwanza anawaza 2025 atarudi vipi bungeni aendelee kutukamua wajinga.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Huyo wa Msoga achana naye.
 
Kufuru inafikiwa baada ya vigezo vipi?

Je, mlinganisho wa mafao na posho umefanywa na nchi zipi?
====================
Hivi majuzi tu watu walikuwa wakilalamika Mama Maria Nyerere katelekezwa- Mama yetu wa Taifa alisota sana-sasa amepata mafao stahiki mnataka myaondoe?

Mnasahau manufaa yanayopatikana ya muda mrefu.

Kutoa mafao na posho kwa Viongozi hao na wenza kunaweza kuwavutia wagombeaji wa Urais ambao hawatakuwa na mawazo ya kuingia madarakani na kuanza kuchota mabilioni wakianza kufikiria misoto aliyopata Rais Nyerere na Mama Maria miaka ya nyuma.

Vilevile, tukichukulia mafao hayo kama uwekezaji, yaani Investment in stability.

Utaona inaweza kuwakatisha tamaa viongozi wa zamani kutafuta mamlaka kwa njia zisizo za kidemokrasia au kuingilia chaguzi alaimradi wanaoenda kuchaguliwa watakuwa wakiwapendlea katika Biashara zao n.k

Nafikiri tusubiri tuone manufaa au hasara ya marekebisho ya sheria baada ya miaka 15 hivi.
 
kwa sisi ambao baba zetu walifariki mapema na kutuacha na mzazi mmoja tena asiye na ajira joto lajiwe tunalijua..

jamani unyonge mnyongeni ila haki yake mpeni aheni wapate hiyo hela hawa wake wa viongozi hizo pesa hawali peke yao wanamsululu wa wananchi wanawagongea kuja kuwaomba msaada hapo bado vikundi vya wanawake wenzake vinamuangalia yeye..

mfano mama maria bibi yetu yule pale watoto na wajukuu wote analea pale wapo nyumbani wanategemea mafao hayo ndio waishi.
alafu ingekuwa hayo mafao yamewafanya kuwa matajiri wakubwa hapo ningesema sawa ila wengi wao wanaishi kawaida tu. hawana makuu wamama wa watu.
mimi kwa hili naipongeza serikali sana sisi.
Tumzungumzie mama Salma kikwete na Bibi sitti mwinyi na Bibi khadija..

Mme wa salma yupo na anadeal kibao tu..
Watoto wake (Japo sio wa kuwazaa) wapo na hata Ridhiwani Ni Mbunge na Naibu waziri..

Yeye mwenyewe ni Mbunge na Anapokea pesa iliyotakata tu..

Twende kwa sitti na Hadija..
Wana wao ni Wabunge na Wengine mawaziri na Hata Rais pia wanaye (Hussein,Abasi na Abdallh mwinyi)

Walikuwa wanahitaji booster za nini????
 
Kumbe nchi hii ina hela sijui inashindwa nini kuwapa manesi walimu na maaskari hela zao zote wakistaafu mpaka serikali inaanza kusumbuka kubuni sheria ya ajabu ajabu iitwayo kikokotoo!Ambacho kimepelekea hao wastaafu kupata mafao ya aibu
 
Tanzania = Tanganyika + Zanzibar 🙏

• Mke wa Mwl, Julius K. Nyerere, Maria Nyerere.
• Wake wa Ali H. Mwinyi, Sitti na Khadija Mwinyi.
• Mke wa Benjamin W. Mkapa, Anna Mkapa
• Mke wa Jakaya M. Kikwete, Salma Kikwete
• Mke wa John P. Magufuli, Janeth Magufuli
• Mume wa Samia S. Hassan, Hafidh Ameir

Kwa mujibu wa The Political Service Retirement Benefits Act [CAP. 225] kila mwezi hawa watalipwa 60% ya mshahara wa Rais aliyepo madarakani.

Kama Rais aliyepo madarakani anapokea TZS 50,000,000 kwa mwezi, mwenza wa Rais atalipwa malipo/mafao ya TZS 30,000,000 kila mwezi.

Rais akistaafu, mwenza/wenza wake atapokea/watapokea (kwa mkupuo) 25% ya mshahara wa Rais alioupokea wakati wote akiwa madarakani.

Mfano, kama Rais alikaa madarakani kwa kipindi cha miaka 10, akalipwa TZS 4,000,000,000, mwenza wake atalipwa TZS 1,000,000,000 kwa mkupuo.

Pamoja na malipo hayo ya fedha, pia wenza hawa sita (6) wa Marais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania watapata mafao mengine kama ilivyoelekezwa;

1. Nyumba ambayo Rais alipewa na alikuwa akiitumia kama makazi baada ya kustaafu itakuwa mali yake halali baada ya mume/mke wake (Rais) kufariki.

2. Atapokea posho ya matengenezo ya kila mwezi katika maisha yake yote akiwa hai kiasi ambacho ni sawa na 60% ya mshahara wa Rais aliye madarakani.

3. Mke/mume wa Rais atatibiwa ndani na nje ya Tanzania, na matibabu yake yatagharamiwa na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

4. Mjane wa Rais mstaafu atapata huduma ya magari mawili, na dereva wawili kufanya shughuli zake za kila siku. Serikali inalipia gharama za mafuta.

5. Magari anayopewa mjane wa Rais yatabadilishwa baada ya miaka 5. Kuna maintenance allowance. 60% ya mshahara wa Rais aliye madarakani kila mwezi

6. Malipo ya fedha kulipa mishahara kwa kiwango cha kima cha chini cha mishahara ya watumishi kwa; dereva, mpishi, mfua nguo na mtunza bustani

7. Mke/mume wa Rais atapata huduma ya usafiri kwa gharama za serikali hadi mahali pa kuishi kwa maisha yake yote hadi pale ambapo kifo kitawatenganisha.

8. Mke/mume na watoto wanapata ulinzi kutoka Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) kutokana na mabadiliko yaliyofanywa katika Sheria ya Usalama wa Taifa.

9. Gharama za mazishi ya mke/mume wa Rais yatakuwa chini ya serikali. Serikali ya Tanzania itagharamia kwa 100% msiba wa mwenza wa Rais

10. Mjane wa Makamu wa Rais, anapata stahiki kama za mjane wa Rais isipokuwa tofauti yake ni moja, atapata gari moja la Serikali na dereva mmoja.

#Martin Maranja Masese #Termus #DevOps
Pesa za Madini, Pesa za Utalii, Pesa za Bandari zinaishia mifukoni na Familia zao tu.

Tumepigwa
 
Huu sasa ndo uvunjifu wa amani

Why?

1. Cheo cha u Rais kitatafutwa kwa gharaama yeyote hata kwa damu, sio utumishi tena ni serious unfairness.

2. Hii unfairness itawauma wazalendo wa kweli walio kwenye mfumo, watainuka wasalitu.

3. Huwezi tesa watu mda wote kwa dhuluma, elastic limit itafikiwa tu na watu wataondokwa na hofu.

4. Mungu Hapendi dhuluma na watu wakilalamika sana atapitisha fagio/azabu.

........ angalieni hii kiburi ya ccm
 
Huu sasa ndo uvunjifu wa amani

Why?

1. Cheo cha u Rais kitatafutwa kwa gharaama yeyote hata kwa damu, sio utumishi tena ni serious unfairness.

2. Hii unfairness itawauma wazalendo wa kweli walio kwenye mfumo, watainuka wasalitu.

3. Huwezi tesa watu mda wote kwa dhuluma, elastic limit itafikiwa tu na watu wataondokwa na hofu.

4. Mungu Hapendi dhuluma na watu wakilalamika sana atapitisha fagio/azabu.

........ angalieni hii kiburi ya ccm

Watanzania wengi masikini, huduma za kijamii sehemu nyingi azijafika, wazazi wanajifungua kwa shida sana vijijini, umeme shida, matozo kibao bila ya msingi.

Itafika kipindi kwa ugumu wa maisha watu watakuwa awana tena ofu wala woga, tuombe sana mungu. Masikini ndo wanapata shida sana hicho kidogo chao wanakitafuta kinakatwa kodi, mara tozo mara sijui nn.

Masikini ndo milija ya kuwalisha matajili ndomana miaka yote masikini anaendelea kunyonywa bila huruma.
 
Mume nae katupiga kwenye mikataba ya gas bado ana share zake kwenye makampuni ya madini kama ile ya kule Arusha, kama ni baraka tu, hii familia imebarikiwa hapa duniani, sujui huko mbinguni..

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Hapa duniani wamefunga mkataba na shetani ndo maana wanamuua yeyote anayetishia ama kuongilia maslahi yao
 
Tanzania = Tanganyika + Zanzibar [emoji120]

• Mke wa Mwl, Julius K. Nyerere, Maria Nyerere.
• Wake wa Ali H. Mwinyi, Sitti na Khadija Mwinyi.
• Mke wa Benjamin W. Mkapa, Anna Mkapa
• Mke wa Jakaya M. Kikwete, Salma Kikwete
• Mke wa John P. Magufuli, Janeth Magufuli
• Mume wa Samia S. Hassan, Hafidh Ameir

Kwa mujibu wa The Political Service Retirement Benefits Act [CAP. 225] kila mwezi hawa watalipwa 60% ya mshahara wa Rais aliyepo madarakani.

Kama Rais aliyepo madarakani anapokea TZS 50,000,000 kwa mwezi, mwenza wa Rais atalipwa malipo/mafao ya TZS 30,000,000 kila mwezi.

Rais akistaafu, mwenza/wenza wake atapokea/watapokea (kwa mkupuo) 25% ya mshahara wa Rais alioupokea wakati wote akiwa madarakani.

Mfano, kama Rais alikaa madarakani kwa kipindi cha miaka 10, akalipwa TZS 4,000,000,000, mwenza wake atalipwa TZS 1,000,000,000 kwa mkupuo.

Pamoja na malipo hayo ya fedha, pia wenza hawa sita (6) wa Marais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania watapata mafao mengine kama ilivyoelekezwa;

1. Nyumba ambayo Rais alipewa na alikuwa akiitumia kama makazi baada ya kustaafu itakuwa mali yake halali baada ya mume/mke wake (Rais) kufariki.

2. Atapokea posho ya matengenezo ya kila mwezi katika maisha yake yote akiwa hai kiasi ambacho ni sawa na 60% ya mshahara wa Rais aliye madarakani.

3. Mke/mume wa Rais atatibiwa ndani na nje ya Tanzania, na matibabu yake yatagharamiwa na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

4. Mjane wa Rais mstaafu atapata huduma ya magari mawili, na dereva wawili kufanya shughuli zake za kila siku. Serikali inalipia gharama za mafuta.

5. Magari anayopewa mjane wa Rais yatabadilishwa baada ya miaka 5. Kuna maintenance allowance. 60% ya mshahara wa Rais aliye madarakani kila mwezi

6. Malipo ya fedha kulipa mishahara kwa kiwango cha kima cha chini cha mishahara ya watumishi kwa; dereva, mpishi, mfua nguo na mtunza bustani

7. Mke/mume wa Rais atapata huduma ya usafiri kwa gharama za serikali hadi mahali pa kuishi kwa maisha yake yote hadi pale ambapo kifo kitawatenganisha.

8. Mke/mume na watoto wanapata ulinzi kutoka Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) kutokana na mabadiliko yaliyofanywa katika Sheria ya Usalama wa Taifa.

9. Gharama za mazishi ya mke/mume wa Rais yatakuwa chini ya serikali. Serikali ya Tanzania itagharamia kwa 100% msiba wa mwenza wa Rais

10. Mjane wa Makamu wa Rais, anapata stahiki kama za mjane wa Rais isipokuwa tofauti yake ni moja, atapata gari moja la Serikali na dereva mmoja.

#Martin Maranja Masese #Termus #DevOps
Kama wenye nchi tumekubaliana na hali, kwa nini watu wasile mema ya nchi....
 
Tanzania = Tanganyika + Zanzibar [emoji120]

• Mke wa Mwl, Julius K. Nyerere, Maria Nyerere.
• Wake wa Ali H. Mwinyi, Sitti na Khadija Mwinyi.
• Mke wa Benjamin W. Mkapa, Anna Mkapa
• Mke wa Jakaya M. Kikwete, Salma Kikwete
• Mke wa John P. Magufuli, Janeth Magufuli
• Mume wa Samia S. Hassan, Hafidh Ameir

Kwa mujibu wa The Political Service Retirement Benefits Act [CAP. 225] kila mwezi hawa watalipwa 60% ya mshahara wa Rais aliyepo madarakani.

Kama Rais aliyepo madarakani anapokea TZS 50,000,000 kwa mwezi, mwenza wa Rais atalipwa malipo/mafao ya TZS 30,000,000 kila mwezi.

Rais akistaafu, mwenza/wenza wake atapokea/watapokea (kwa mkupuo) 25% ya mshahara wa Rais alioupokea wakati wote akiwa madarakani.

Mfano, kama Rais alikaa madarakani kwa kipindi cha miaka 10, akalipwa TZS 4,000,000,000, mwenza wake atalipwa TZS 1,000,000,000 kwa mkupuo.

Pamoja na malipo hayo ya fedha, pia wenza hawa sita (6) wa Marais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania watapata mafao mengine kama ilivyoelekezwa;

1. Nyumba ambayo Rais alipewa na alikuwa akiitumia kama makazi baada ya kustaafu itakuwa mali yake halali baada ya mume/mke wake (Rais) kufariki.

2. Atapokea posho ya matengenezo ya kila mwezi katika maisha yake yote akiwa hai kiasi ambacho ni sawa na 60% ya mshahara wa Rais aliye madarakani.

3. Mke/mume wa Rais atatibiwa ndani na nje ya Tanzania, na matibabu yake yatagharamiwa na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

4. Mjane wa Rais mstaafu atapata huduma ya magari mawili, na dereva wawili kufanya shughuli zake za kila siku. Serikali inalipia gharama za mafuta.

5. Magari anayopewa mjane wa Rais yatabadilishwa baada ya miaka 5. Kuna maintenance allowance. 60% ya mshahara wa Rais aliye madarakani kila mwezi

6. Malipo ya fedha kulipa mishahara kwa kiwango cha kima cha chini cha mishahara ya watumishi kwa; dereva, mpishi, mfua nguo na mtunza bustani

7. Mke/mume wa Rais atapata huduma ya usafiri kwa gharama za serikali hadi mahali pa kuishi kwa maisha yake yote hadi pale ambapo kifo kitawatenganisha.

8. Mke/mume na watoto wanapata ulinzi kutoka Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) kutokana na mabadiliko yaliyofanywa katika Sheria ya Usalama wa Taifa.

9. Gharama za mazishi ya mke/mume wa Rais yatakuwa chini ya serikali. Serikali ya Tanzania itagharamia kwa 100% msiba wa mwenza wa Rais

10. Mjane wa Makamu wa Rais, anapata stahiki kama za mjane wa Rais isipokuwa tofauti yake ni moja, atapata gari moja la Serikali na dereva mmoja.

#Martin Maranja Masese #Termus #DevOps
Kabla Samia hajatoka Madarakani wata extend hadi kwa Mke/Mme wa Waziri mkuu, Mkuu ww majeshi,IGP, Jaji mkuu, Spika wa Bunge na Mawaziri
 
Back
Top Bottom