Apo cpafaham boss wangu, jazia na mshkak at m1 nkupate vzur..ila Kama inahucka na poltcs, daah Apo umepotea mkuu..not my thing kabisa, since day uno🤣Haya mkuu wangu nisalimie Migombani street hapo.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apo cpafaham boss wangu, jazia na mshkak at m1 nkupate vzur..ila Kama inahucka na poltcs, daah Apo umepotea mkuu..not my thing kabisa, since day uno🤣Haya mkuu wangu nisalimie Migombani street hapo.....
Haya mkuu nilidhani uko maeneo jirani na hao "wazee wa mafataki"Apo cpafaham boss wangu, jazia na mshkak at m1 nkupate vzur
Ni sawa sawa na wakazi wa Pugu Kinyamwezi kunako dampo la Jiji.Ubalozi ni nchi nyingine kabisaaa bwasheee .....
Majirani wa hapo...Regency,Migombani Street,bonde la mpunga wajue/watambue kuwa wanaishi mpakani....jirani zao hao ni nchi nyingine....daah sasa sijui wagonjwa watalielewa hilo ?!!
Ndio hivyo mkuu.....
Wanafukuza wamachinga, mbu na nzi.Wagwaniiii
Ebhana serikali mbona inafumbia macho hawa jamaa wa ubalozi wa Marekani leo ni siku ya 4 mfululizo wanapiga mabomu sjui mafataki mda mwingne milio kama ya bunduki.
Hii ni kero kwa wananchi bhana kuna wagonjwa bhana mitaani huku mnazingua aisee.
Haya mkuu nilidhani uko maeneo jirani na hao "wazee wa mafataki"
Kwa wakulungwa uko ndugu, myuyani nafkaje mm😒Haya mkuu nilidhani uko maeneo jirani na hao "wazee wa mafataki"
Si wote wakulungwa mkuu....kuna Msasani bonde la mpunga,Maandazi Road na Mikocheni Uswazi kaka....kote huko ni jirani na huo ubalozi 🤣Kwa wakulungwa uko ndugu, myuyani nafkaje mm😒
Huyu mleta post atakuwa mgeni DarMkuu miaka yote tumeishi nao hao jamaa kwa mtindo huo huo.. iweje Leo uone kero!!!
Hakka😆Si wote wakulungwa mkuu....kuna Msasani bonde la mpunga,Maandazi Road na Mikocheni Uswazi kaka....kote huko ni jirani na huo ubalozi 🤣
Acha wenge ww darasa la kwanza nmeanza dar mpk sec afu sio mgeni msasani ww lbda ww ndo mkoromijeHuyu mleta post atakuwa mgeni Dar
Tushapoa mkuuPoleni sana...