Mafataki yanayopigwa kila siku na Ubalozi wa Marekani ni kero

Mabeberu Hayatupendi Sasa Hivi Yanatukera
 
Nenda ubalozi, katoe malalamiko yako ukifikia muulizie Sargent Tyrone tailor !
Mwambie umeelekezwa na na mimi!
Hakikisha una credentials muhimu
 
Ni sawa sawa na wakazi wa Pugu Kinyamwezi kunako dampo la Jiji.
 
Wanafukuza wamachinga, mbu na nzi.
 
Hapo wapo nchini Marekani na wanaendeshwa na sheria za Marekani, hakuna wa kuwaingilia!
 
Nawe waambie wale walioko marekani wapige pembe za ng'ombe iwe sawa.
 
Kwa hiyo wanajikuta wao nani hadi wafyatue mafataki ndani ya nchi ya watu.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…