Hulda-Tamarri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 1,412
- 1,669
Mbona madude ya ajabu hivi?View attachment 2549206
👆Bunju anakuwa kama chura fulani na ana miba kibao
View attachment 2549203
👆mkunga kama nyoka wapo wanatishia kinoma Kuna wengine ni jamii ya nyoka wa bahari ukileta Tamaa ukafiria mkunga ukamla ndo kwisha habari yako...Kuna wavuvi wanagonjwa na wale nyoka bahari wakifiria ni mkunga
Dah!Kobe wa baharini
[emoji23]Ipo burigi chato.
Hana baya na mtu
[emoji23][emoji23][emoji23] nzi kafia kwenye kidonderMtamu sana huyo mdudu, usione Watu wanakufa. Yani mtamu.
Haswa mboo.Atakua mtamu tuu ila hajazidi vitu vitamu vinavyofanya mpaka watu wauane...
Kobe hiloKasa ni samaki au Kobe boss[emoji3]
Kula kobe weweeeeKichefuchefu kabisa
Itakua ana sumu kali sana huyo kiumbe...na jamaa hata hawajishughulishi kujua aina ya sumu iliyopo humo wakishatangaza basi...Samaki woote hao kasa wa kazi gani? Nilienda likizo kijijini wakaleta nyama ya kasa niliwakatalia nikasema bora nile wali na kachumbari tuu.
Ndugu yangu hii nchi wee acha tuu, si umesikia huko Musoma chuo hakina wanafunzi miaka kibao na watu wanachukua mshahara vizuri tuu.Kwa hiyo ishu ya kasa hao watafiti wanaona marehemu hana akili.Itakua ana sumu kali sana huyo kiumbe...na jamaa hata hawajishughulishi kujua aina ya sumu iliyopo humo wakishatangaza basi...
Duh
Hizo picha hadi mwili umetetemeka.View attachment 2549206
[emoji115]Bunju anakuwa kama chura fulani na ana miba kibao
View attachment 2549203
[emoji115]mkunga kama nyoka wapo wanatishia kinoma Kuna wengine ni jamii ya nyoka wa bahari ukileta Tamaa ukafiria mkunga ukamla ndo kwisha habari yako...Kuna wavuvi wanagonjwa na wale nyoka bahari wakifiria ni mkunga
Miaka yote hiyo wangewapa hayo madarasa watumie kwa shule za msingi au kituo cha Afya sema Nchi hii watu wengi wana udumazi sio bure...Ndugu yangu hii nchi wee acha tuu, si umesikia huko Musoma chuo hakina wanafunzi miaka kibao na watu wanachukua mshahara vizuri tuu.Kwa hiyo ishu ya kasa hao watafiti wanaona marehemu hana akili.