Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,171
- 34,394
so tofauti yao ni kua huyo kasa anaogelea baharini kobe yeye ni nchi kavu tu?? au wanarangi tofautiNi Kobe wa baharini (sea turtle)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
so tofauti yao ni kua huyo kasa anaogelea baharini kobe yeye ni nchi kavu tu?? au wanarangi tofautiNi Kobe wa baharini (sea turtle)
Kuna Kobe wa nchi kavu na WA majini. Wapo pia wa maji baridi ukienda Serengeti kwenye madimbwi unaweza kuwaona ila ni wadogo Kwa umbo. Rangi zinatofautianaso tofauti yao ni kua huyo kasa anaogelea baharini kobe yeye ni nchi kavu tu?? au wanarangi tofauti
tuconclude kwa kusema wote ni kobe tofauti ni majina na mmoja anaogelea baharini mwengine mtoni lakini wote wanaogeleaKuna Kobe wa nchi kavu na WA majini. Wapo pia wa maji baridi ukienda Serengeti kwenye madimbwi unaweza kuwaona ila ni wadogo Kwa umbo. Rangi zinatofautiana
Picha ya dodojiDodoji ndio kama farasi
Umejuaje mkuuHaswa mboo.
Hao si wana kaharufu kama mkojo wakipikwa😬😁😁😁Utamu wa taa huujui weye alafu hawana miba
Mwenye kiharufu ni papa, labda Ndo maana na nanihiii ikaitwa papa🤣Hao si wana kaharufu kama mkojo wakipikwa😬😁😁😁
DahMwenye kiharufu ni papa, labda Ndo maana na nanihiii ikaitwa papa🤣
hahaha mzee wa kilindoni jitahidi kuandika kwa utulivuMpaka muda huu watu sita wamefariki dunia baada ya kula nyama ya kasa kisiwani Mafia wakiwemo watoto wawili ambao ni ndugu huku baba yao na mama yao wakiwa wapo hospitali hapa Mafia wamelazwa.
Taarifa zinakuja sababu bado huduma inaendelea watu ni wengi waliokula taarifa inakuja ishazikawa miili ya watu watatu, bado watatu.
Pia soma > Kwanini watu wanakula Kasa licha ya wengine kufa kwa sumu waliyonayo?
Nathani ni huyo maana niliwahi kula mahali yaani ilibidi niwaulize wanyeji mchuzi umeingia mafuta ya taa kwa kweli sikuendelea na chakula kile.Mwenye kiharufu ni papa, labda Ndo maana na nanihiii ikaitwa papa🤣
anaomba tumuombee nae ni mmoja wa walio mla kasahahaha mzee wa kilindoni jitahidi kuandika kwa utulivu
hahahahaanaomba tumuombee nae ni mmoja wa walio mla kasa
heri kama hujambo, uache kula vitu havieleweki next time mkimvua kasa mtupeni hukohuko baharini uroho wenu utawaponza tena na tenanaendelaea vyema ila mwili hauna nguvu
Haya makobee ni ulafii tuu
Hata kiswahili chako kinaonesha upo vzr umekamiliza.!Na unaweza kuta ni degree holder wewe tena UDSM.
Elimu za sasa hizi dah...
Kwa ukiambiwa zanzibar ni visiwa vitatu utakubali, au ukiambia mafia ni mkoa wa pwani utakubali...
Upo upo yaani hauna unalolijua
Daah chakula kizuri kabisa hicho Pweza wewe urudishe chenji?pana kaa wa baharini nao wanaliwa pia..Halafu kuna binadamu wenzetu wanakula!
Nyie , tule tu nyama za ng'ombe na kuku inatosha.
Pweza tu nikiona mtu anakula huwa najisikia kuruudisha chenji.