Alvajumaa
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 5,039
- 6,253
Mafia ipo pwani, RufijiHivi Zanzibar ina visiwa vingapi maana nilikua nafikir ni unguja na pemba.
Hiyo mafia ipo wapi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mafia ipo pwani, RufijiHivi Zanzibar ina visiwa vingapi maana nilikua nafikir ni unguja na pemba.
Hiyo mafia ipo wapi??
Mafia sio kisiwa cha zanzibarHivi Zanzibar ina visiwa vingapi maana nilikua nafikir ni unguja na pemba.
Hiyo mafia ipo wapi??
Ndio maana ya msemo WA kitu haramu watu kuita Kasa hiyo!! Since 1994Na hii kesi kama ya 4 hivi toka mimi nasikia mkasa wa huyu mdudu kuua watu
Atakua mtamu tuu ila hajazidi vitu vitamu vinavyofanya mpaka watu wauane...Mtamu sana huyo mdudu, usione Watu wanakufa. Yani mtamu.
kuna huyo halaf na mwengine anaitwa bunju ukikosea kumchuna mkampika mnakufa kama kunusa.Mtamu sana huyo mdudu, usione Watu wanakufa. Yani mtamu.
pweza tena?? huyo seafood ni mtam sana sjawah kula kasa lakini pweza weeeeee analiwa na mikia yake, tena kwanza umpige alainike ndio umpike utakavyoYaani mtu unakulaje kasa sijui pweza
Mafia ni sehemu ya mkoa wa Pwani. Sio Zanzibar.Hivi Zanzibar ina visiwa vingapi maana nilikua nafikir ni unguja na pemba.
Hiyo mafia ipo wapi??
Huyo bunju yupo kama mdudu nashangaa watu wanakulakuna huyo halaf na mwengine anaitwa bunju ukikosea kumchuna mkampika mnakufa kama kunusa.
Vitu vitamu saa nyingine vina changamotoMtamu sana huyo mdudu, usione Watu wanakufa. Yani mtamu.
Kwanini kwa sasa sio salama, ina maana siku za nyuma kasa alikuwa salama. Inakuaje anawaua na ni walaji wazoefu wa seafoods vyenye sumu wanajuaJamii ya wavuvi waache kujifanya vichwa ngumu wakubali tu kwa sasa kitoweo hicho si salama tena.
Hao Kasa wanakuaje watamu, halafu watu wakila wanakufa? Ufafanuzi tafadhali. Maana sisi wengine tuko milimani huku.Ila kasa mtamu sana, nahisi wavuvi Huwa wanapata mtihani wa nafsi wakimvua, unawaza nimle...nisimle.
Mungu awalaze pema waliotangulia.....waliobaki wapate afya.
Kasa ,bunju na mkunga hao Wana species mbalimbali kama hauna utaalamu nao usije ukala ..wapo wenye sumu na wasio na sumu aisee ni hatar haswa bunju anakuondoa Maisha dk 5 hazifiki.kuna huyo halaf na mwengine anaitwa bunju ukikosea kumchuna mkampika mnakufa kama kunusa.
Inawezekana hao kasa wapo jamii nyingi wapo wanaoliwa na wengine hawaliwi na ili kuwagundua inahitaji ujuzi wa wale wanaowajua vyema na ukizingatia kasa ni miongoni mwa viumbe vilivyopo hatarini kutoweka duniani basi uenda wale wanaoliwa wamebaki wachache sasa wale wenzangu na mie kwa sababu ya uchu wao wanajikamatia tu na kuwafakamia pasipo tahadhari ndio maana nikasema waachane na kitoweo hicho.Kwanini kwa sasa sio salama, ina maana siku za nyuma kasa alikuwa salama. Inakuaje anawaua na ni walaji wazoefu wa seafoods vyenye sumu wanajua