Mafia: Watu 7 wafariki dunia baada ya kula nyama ya Kasa

Mafia: Watu 7 wafariki dunia baada ya kula nyama ya Kasa

please come again hapo kwenye mkunga, mtaam mimi huyo nimemla sana tu sjadhurika labda nimekula asie na sum hao bunju na kasa sijawah kuwala na sitarajii
Yeap kuna jamii hata wavuvi wanajua vizuri na wanauza wale wasio na sumu
..Maziwani sidhani Kama wapo ila baharini wapo ambao kama mkunga ila ni nyoka wa baharini ukienda kweny mikoko unawakuta sana.

Kwa kawaida wavuvi wanwajua ndo maana ukienda sehemu za bahari hao mkunga sumu na bunju utakuta wametupwa baada ya kuchambua Wal wazuri na kuondoka nao...Sasa mtu anakuja anaokota akidhani kwamba labda wavuvi wamawasahau ndo hapo kama hatoharisha ni kifo...

Ukienda sehemu wanapovua kwa usawa wa bahari utakuta haswa bunju wapo kibao wametupwa wale weny sumu..

Mzee mmoja alikuwa kusema eti wale bunju hata awe na sumu wanamkataa kweny koromea wanatoa Yale maji meusi yote mpaka anakuwa safi halafu wanakula, ila za kuambiwa lazima uchanganye na zako🤣
 
Mtamu sana huyo mdudu, usione Watu wanakufa. Yani mtamu.
Mtamu Ila anaua ukimla, pata utamu alafu pata na kifo km bonus ukimla jiandae na wewe kuliwa na mchwa
Screenshot_20230313-195052.png
 
Mpaka muda huu watu sita wamefariki dunia baada ya kula nyama ya kasa kisiwani Mafia wakiwemo watoto wawili ambao ni ndugu huku baba yao na mama yao wakiwa wapo hospital hapa Mafia wamelazwa.

Taarifa zinakuja sababu bado huduma inaendelea watu ni wengi waliokula taarifa inakuja ishazikawa miili ya watu watatu, bado watatu.
Hawa watu wa pwani tatizo ni nini wanakula Manyama ya hovyo kama wachina na zinawaletea madhara? Kwani Kitimoto, mbuzi, ngombe na Kuku hawapo huko hadi wale Kobe?
 
Kuna mtu alinambia shida ya hawa wadudu kuna mmea wakila ndipo nawe ukawakamata ndio balaa linaanzia hapo.
 
Yeap kuna jamii hata wavuvi wanajua vizuri na wanauza wale wasio na sumu
..Maziwani sidhani Kama wapo ila baharini wapo ambao kama mkunga ila ni nyoka wa baharini ukienda kweny mikoko unawakuta sana.

Kwa kawaida wavuvi wanwajua ndo maana ukienda sehemu za bahari hao mkunga sumu na bunju utakuta wametupwa baada ya kuchambua Wal wazuri na kuondoka nao...Sasa mtu anakuja anaokota akidhani kwamba labda wavuvi wamawasahau ndo hapo kama hatoharisha ni kifo...

Ukienda sehemu wanapovua kwa usawa wa bahari utakuta haswa bunju wapo kibao wametupwa wale weny sumu..

Mzee mmoja alikuwa kusema eti wale bunju hata awe na sumu wanamkataa kweny koromea wanatoa Yale maji meusi yote mpaka anakuwa safi halafu wanakula, ila za kuambiwa lazima uchanganye na zako🤣
kwa mara ya kwanza nakula mkunga nilikua zanzibar tena akiwa mbichi nikaitwa njoo uone naenda nakuta amejaa kwenye dish nikapiga kelele huyu si chatu naambiwa ni samaki analiwa wakamkaanga nikaambiwa nionje nikala tangu hapo nimekua mlafi kweli lakini usinipe nimuandae wewe muandae mie nije kula tu


kuna sehemu pia nilienda hii kwa tanga ndio nakuta wanawachuna hao mabunju lakini huyo sjabahatika kumla na sitaki kabisa mana tayar ninastory za kutosha kumhusu hata kipindi niko zenji walimvua kasa wakaniuliza unakula kasa nikawaambia hapana yule ni kama kobe waligawana mtaa mzima sikula huyo bunju watu wanamla sana bila kuogopa

kuliko kula bunju heri nile mirindi na tondo
 
Back
Top Bottom