Mafingaimekuwa makao makuu ya wilaya ya mufindi miaka mingi Sana hadi Sasa ilitakiwa iwe na hotel zenye hadhi za kutosha cha ajabu inakuja kuzidiwa na miji ambayo haijawai kuwa hata makao makuu ya wilaya mfano makambako na tunduma hii miji imekuwa kwa nguvu zao wenyewe wametumia fursa za jiografia za maeneo Yao mji uliotendea haki makao makuu ni iringa alafu una shangaa mtu analinganisha iringa na mafinga hii inatakiwa ishindane na kitwiru na ipogoro kwa kwel