Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
daaahMsisimko utapata nikinyonya nipples...kukojoa nikinyonya pipi yako😋
[emoji28][emoji28] nakuja na scania fasta!Mbeya uyole,unisindikize hospital ya maranatha mwanjelwa.Uwe na gari Ili Tiba ianzie humo
[emoji28][emoji28]naona umeanza kupona!Nimecheka jamani...nimesahau na ugonjwa
Kuolewa sio shida, ameshindwa kukulea mtoto mzuri kama wewe mpaka unaumwa mafua huyo hafai; njoo huku, shida zako zote ni za kwangu 😀 😀Niache bhana,mie nimeolewa🤒
Hapa uko sehemu sahihi, lazima utoe lita tatu 😀😀🤣🤣🤣Afu mie huwa sikojoi kabisa
Mafua (common cold) yanasababishwa na virus mara nyingi ni influenza family ni airborne disease yanaambukizwa Kwa njia ya hewaYaan hata kupika nimeshindwa....mambo siyo mambo... Kichwa kinauma,naona Kuna dalili ya kikohozi.....wanaosema Bora uumwe mafua kuliko Nini sijui....ndugu yangu yanakuwa hayajakukamata aisee.[emoji1784][emoji3062]
Hivi mafua Lazima huambukizwe? Au huwa yanakuja tu automatically? Simaanishi namhisi mtu,nauliza tu[emoji134]
Asante, nimekuelewa mkuuMafua (common cold) yanasababishwa na virus mara nyingi ni influenza family ni airborne disease yanaambukizwa Kwa njia ya hewa
Mode of transmission ni kupitia droplets mtu akicheka ,akipiga chafya ,akikohoa hayo matone
Unaweza kupata directly endapo hizo droplets za mate au kamasi zikiluka na kufikia kwako moja Kwa moja
Piah indirectly Kwa kugusa sehemu ambayo Ina hao species then ukajigusa maeneo ya puan na mdomoni
NB hayana utofauti ni njia zamaambukiz za COVID
Ebu njoo upate ukuni wa kaskazini ufurahie maisha, achana na hao wasiojua umuhimu wako mpaka unaugua mafua mafua 😀 😀🤣🤣🤣Kwahiyo kuchepuka sikuhizi ni ruksa?
Nimefunzwa na wazee walionitangulia, kama mwanaume sitakiwi kumuacha mwanamke yeyote ateseke; I am here 2 stay with beautiful ladiesNiacheee🤒