Kabla ya kutaja majina yao taja kwanza ni jimbo gani hilo wanafuata miezi 9? Maana lipo moja tuHuo ni mwandiko ni wa mdada ( Nahisi namjua ) . Na kama jina lake ninaanizwa na D na aliefunga ndoa nae liaanziwa na βD. Alfau jana wamefunga ndoa. Basi ni hao hoa (wapo arusha)
Nimeona jina langu kwenye moja ya majibu hapo
Kwa ndoa zenu ambazo hamuachani ni sawa kabisaWakuu
Kikawaida mafundisho ya ndoa za kikatoliki hua kati ya wiki 2 mpaka mwezi 1 lakini katika jimbo XXX (Jimbo katoliki) na parokia zake zote hali ni tofauti kabisa mafundisho ya ndoa ni lazima uhudhurie kwa miezi 9. Watu wamelalama kuhusu hili lakini askofu wala hana habari sana paroko atakwambia kama hujarizika na utaratibu hama Makanisa mengine.
Since utii ndio nguzo ya ukatolikii watu inabidi tuwe wapole tutii...yaani unahudhuria mafundisho mpaka unaweza kuachana bure na mchumba wako mkiwa bado mpo kwenye mafundisho.
Lakini vijana wa hovyo hovyo wamebuni mbinu ya kukwepa miezi hiyo ya mufundisho. Ambayo sitaisema Ili kama paroko au askofu husika akisoma mada hii asigundue siri za kamboπ
___
Unaweza kujiuliza miezi tisa yote hiyo wanafundishwa vitu gani???
Wanafundisha vitu viiiingi sana, hadi wanasaikolojia kama Carl Jung na Maria Montessori wanawasoma. Baadhi ni topic zifundishwazo
Halafu kuna mtihani na nilazima ufaulu... Nongekua na soft copy ningewawekea mjisomee.
- Saikolojia, hasa maswala ya Personalities
- Reproduction
- Genetics
- Malezi ya mtoto from prenatal to postnatal Stage
- Uzazi wa mpango
- Sheria za ndoa KiKatiba
- Sheria za ndoa Kikanisa
- Jinsi ya kumuandaa na kumlizisha mwenza wako kitandani π€£π€£π€£πππ
- Nk.......
Chini hapo nitaweka baadhi ya maswali yanayoulizwa kwenye paper.
Wakuu swala hili ni swa kweli jamani kufuata mafundisho kwa muda wote huo?????View attachment 2737753
View attachment 2737755
Hata mwenye ndoa hawezi kufundisha maisha ya ndoa....ndoa haina formula ni vile mtavyoishi na kubebeana mapungufuKatoliki ndoa mnafundishwa ndoa na mapdri wasioo
Wabajua nini? Kuhusu ndoa ? Utafundishwa mafundisho ya ndoa na asiyejua ndoa?
Sina private detail. Lkn ni arusha hiiKabla ya kutaja majina yao taja kwanza ni jimbo gani hilo wanafuata miezi 9? Maana lipo moja tu
Wazazi hawa hawa wanaogombana mbele za watoto?? Kuna vitu mzazi hataweza kukuambia. Kama hiyo kumuandaa mwanamkeMimi naamini, Mafundisho sahihi, ya kina na yanayoweza kushikwa na wahusika yapo kwenye familia zao huko wahusika waliko lelewa na kukulia toka kwa wazazi na walezi wao malezi ya toka udogo mpaka utu uzima wa kuoa/kuolewa
Haya ya kanisa ni kama nyongeza tuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kah hadi notes
mtaachana nyie
Kachukua pts 5 zote ππ€£πnimecheka sana
View attachment 2737768
Si ni kama nyongeza bali hayana tija ni kuchelewesheana maisha tuuMimi naamini, Mafundisho sahihi, ya kina na yanayoweza kushikwa na wahusika yapo kwenye familia zao huko wahusika waliko lelewa na kukulia toka kwa wazazi na walezi wao malezi ya toka udogo mpaka utu uzima wa kuoa/kuolewa
Haya ya kanisa ni kama nyongeza tuu.
Askofu: Mimba ni nini?
MIMI: Mimba ni Mtoto
Askofu: βοΈ
Mizimu ndio nini ?Ndoa ni agano la Mungu...
Sasa ukute mume na mke na maagano yao ya mizimu na uchawi alafu wakutane na agano ambalo ni la Mungu..
Vita inaanza kuinuka...
Haya kuna kuoa mke au kuolewa na mume ambaye sio wako...
Wafundishe watu wawe na macho ya Rohoni ili wapate watu sahihi...
Pia na wao wawe na macho ya Rohoni na wasibakie kufundisha vya mwili tu...
Ifike mahali waone kiroho watu wakija kutaka kuoana wanajua hawafai wakataze..
Kuna visivoonekana kwa macho ya nyama mpaka macho ya Rohoni..
Hakika kabisaaa yaan.Hata mwenye ndoa hawezi kufundisha maisha ya ndoa....ndoa haina formula ni vile mtavyoishi na kubebeana mapungufu