Mafundisho ya ndoa miezi tisa ni sahihi?

Mafundisho ya ndoa miezi tisa ni sahihi?

Mkuu,natamani ungetaja Jimbo nihamasisha watu waende kufunga Ndoa Huko.Somo mnalopewa hapo nisomo kubwa sana.Lakini Pia mapokuwa Darasani na mwenza wako mnafahamiana zaidi kitabia haiba etc.Cha muhimu ni kufahamu kwamba miezi 9 sio mingi hasa ukizingatia huyo mtu utaishi naye maisha yako yote....Hongera sana Baba Askofu na Maparoko.

Hao Maparoko wanaowaa nafasi ya kutoroka huo utaratibu Baba Askofu anawanonya
 
Wakuu
Kikawaida mafundisho ya ndoa za kikatoliki hua kati ya wiki 2 mpaka mwezi 1 lakini katika jimbo XXX (Jimbo katoliki) na parokia zake zote hali ni tofauti kabisa mafundisho ya ndoa ni lazima uhudhurie kwa miezi 9. Watu wamelalama kuhusu hili lakini askofu wala hana habari sana paroko atakwambia kama hujarizika na utaratibu hama Makanisa mengine.

Since utii ndio nguzo ya ukatolikii watu inabidi tuwe wapole tutii...yaani unahudhuria mafundisho mpaka unaweza kuachana bure na mchumba wako mkiwa bado mpo kwenye mafundisho.

Lakini vijana wa hovyo hovyo wamebuni mbinu ya kukwepa miezi hiyo ya mufundisho. Ambayo sitaisema Ili kama paroko au askofu husika akisoma mada hii asigundue siri za kambo😅
___
Unaweza kujiuliza miezi tisa yote hiyo wanafundishwa vitu gani???
Wanafundisha vitu viiiingi sana, hadi wanasaikolojia kama Carl Jung na Maria Montessori wanawasoma. Baadhi ni topic zifundishwazo
  • Saikolojia, hasa maswala ya Personalities
  • Reproduction
  • Genetics
  • Malezi ya mtoto from prenatal to postnatal Stage
  • Uzazi wa mpango
  • Sheria za ndoa KiKatiba
  • Sheria za ndoa Kikanisa
  • Jinsi ya kumuandaa na kumlizisha mwenza wako kitandani 🤣🤣🤣🏃🏃🏃
  • Nk.......
Halafu kuna mtihani na nilazima ufaulu... Nongekua na soft copy ningewawekea mjisomee.
Chini hapo nitaweka baadhi ya maswali yanayoulizwa kwenye paper.

Wakuu swala hili ni swa kweli jamani kufuata mafundisho kwa muda wote huo?????View attachment 2737753
NI SAHIHI TENA IWE MWAKA KABISA, KAMA TOPIC ZENYEWE NI HIZI👇👇.
Unalalamika unawahi wapi wakati mtaenda kuishi Daima na Milele😅
  • Saikolojia, hasa maswala ya Personalities
  • Reproduction
  • Genetics
  • Malezi ya mtoto from prenatal to postnatal Stage
  • Uzazi wa mpango
  • Sheria za ndoa KiKatiba
  • Sheria za ndoa Kikanisa
  • Jinsi ya kumuandaa na kumlizisha mwenza wako kitandani
 
Unamchaguaje mtu ambaye tayari ana mwenyewe? Huo ni uvurugaji, mungu hapendi😀
Tell this to King David, alimpenda wa wenyewe akamaua mume. Mungu akambariki kabisa mtoto alliyetokana na huyo mwanamke akaja kua mtu tajiri na mwenye hekima kibao. King Solomon.
So kwa case yako...hakuna ubaya🏃🏃
 
Tell this to King David, alimpenda wa wenyewe akamaua mume. Mungu akambariki kabisa mtoto alliyetokana na huyo mwanamke akaja kua mtu tajiri na mwenye hekima kibao. King Solomon.
So kwa case yako...hakuna ubaya🏃🏃
Kikubwa ushampata mwingine, ni jambo jema sana
 
Nachojua mafundisho yanafanyika siku za weekend tu.

Na ukweli kizazi cha sasa ndoa zimekuwa changamoto bora utaratibu huu uwepo ili wakukata tamaa mapema aache maana kama umeshindwa kuhudhuria semina miezi tisa tena ya mafunzo ya kukusaidia usingeweza kuishi na mwanamke au mwanaume.
Swala ni muda siyo seminar. Miezi 9 ndo itanusuru ndoa zisivunjike? Nikisema kanisani kwangu naweka miaka 5 niko sawa? Kuna haja ya kuwa na muda maalumu kwa majimbo yote. Kanisa katoliki linaongozwa na clear ideology na liko systematic japo kuna watu wanaleta unaa wao tu
 
Wakuu,

Kikawaida mafundisho ya ndoa za kikatoliki hua kati ya wiki 2 mpaka mwezi 1 lakini katika jimbo XXX (Jimbo katoliki) na parokia zake zote hali ni tofauti kabisa mafundisho ya ndoa ni lazima uhudhurie kwa miezi 9. Watu wamelalama kuhusu hili lakini askofu wala hana habari sana paroko atakwambia kama hujarizika na utaratibu hama Makanisa mengine.

Since utii ndio nguzo ya ukatolikii watu inabidi tuwe wapole tutii...yaani unahudhuria mafundisho mpaka unaweza kuachana bure na mchumba wako mkiwa bado mpo kwenye mafundisho.

Lakini vijana wa hovyo hovyo wamebuni mbinu ya kukwepa miezi hiyo ya mufundisho. Ambayo sitaisema Ili kama paroko au askofu husika akisoma mada hii asigundue siri za kambo😅

___

Unaweza kujiuliza miezi tisa yote hiyo wanafundishwa vitu gani? Wanafundisha vitu viiiingi sana, hadi wanasaikolojia kama Carl Jung na Maria Montessori wanawasoma. Baadhi ni topic zifundishwazo
  • Saikolojia, hasa maswala ya Personalities
  • Reproduction
  • Genetics
  • Malezi ya mtoto from prenatal to postnatal Stage
  • Uzazi wa mpango
  • Sheria za ndoa KiKatiba
  • Sheria za ndoa Kikanisa
  • Jinsi ya kumuandaa na kumlizisha mwenza wako kitandani 🤣🤣🤣🏃🏃🏃
  • Nk..
Halafu kuna mtihani na nilazima ufaulu... Nongekua na soft copy ningewawekea mjisomee.
Chini hapo nitaweka baadhi ya maswali yanayoulizwa kwenye paper.

Wakuu swala hili ni swa kweli jamani kufuata mafundisho kwa muda wote huo?

View attachment 2737753
View attachment 2737755
Miezi 9 unahitimu Masters degree vyuo vya UK
 
Mwaka 2001 baba yangu mdogo alikua na mgogoro wa ndoa na mkewe. Chanzo ni mkewe kutaka kuhama toka katoliki kwenda SDA..... Yule dingi akawa anampiga mkewe. Siku moja timu ya usuluhishi ikatoka Kanisani SDA kwenda kwa mzee kusuluhisha. Yule dingi aliwapokea vizuri.. karibu na mwisho wa maongezi dingi akamuuliza jamaa aliyeonekana kama mkuu wa msafara kama ameoa.. akajibu hajaoa ila anasomea uchungaji yupo Chuo kikuu.. dingi alipatwa na hasira kali mno kuwa alipoteza muda kushauriwa na kijana ambaye hajaoa .. akafunga mlango na kulianzisha humo ndani. Wasabato walipopata upenyo wakakimbia na hawakuwahi kurudi.
 
Mkuu,natamani ungetaja Jimbo nihamasisha watu waende kufunga Ndoa Huko.Somo mnalopewa hapo nisomo kubwa sana.Lakini Pia mapokuwa Darasani na mwenza wako mnafahamiana zaidi kitabia haiba etc.Cha muhimu ni kufahamu kwamba miezi 9 sio mingi hasa ukizingatia huyo mtu utaishi naye maisha yako yote....Hongera sana Baba Askofu na Maparoko.

Hao Maparoko wanaowaa nafasi ya kutoroka huo utaratibu Baba Askofu anawanonya
Kama wewe ni paroko au unasikio la paroko sema nikuelekeze jimbo letu ukamshawishi paroko wenu akopi syllabus yetu
 
Sina private detail. Lkn ni arusha hii
Je hili kanisa lafanana na lolote lililopo arusha? Burka, ngarenaro,Usa,st Theresa, Olasiti nk?
IMG_20230616_104415_8.jpg
 
Hahahahah nimecheka sana...poleni sana vijana wa hovyo...
Ila naona ni vzr sana mnapata madini ya kutosha sio kama sie wiki 2 baaaasii
Vijana wa hovyo hatuishiwi mbinu ya kukimbia hiyo miezi 9. Ukweli kuna madini haswa maana kuna wakati hadi wanasaikolojia na Wanasheria wa kanisa wanaletwa kuwapigia pindi.

So twakwepaje???
Unaenda kwa paroko unamuelezea kwamba mm nafanyia kazi mkoa X. Unapewa barua ya kwenda kufanyia mafundisho hukohuko. So mikoa mingi mafundisho ni 2Weeks.
Ila njia hii ni applicable kwa sie ambao tunatembea tembea mikoa mingi
 
Back
Top Bottom