Mizimu ni wafu yaani watu waliokufa...Mizimu ndio nini ?
Macho ya rohoni ndio yakoje hayo ? Na yanapatikana vipi ?
Umepotea bila shaka.ulifichwa na baharia.Teh!
Kaoe mskitini huko hata mafundisho hamnaWakuu
Kikawaida mafundisho ya ndoa za kikatoliki hua kati ya wiki 2 mpaka mwezi 1 lakini katika jimbo XXX (Jimbo katoliki) na parokia zake zote hali ni tofauti kabisa mafundisho ya ndoa ni lazima uhudhurie kwa miezi 9. Watu wamelalama kuhusu hili lakini askofu wala hana habari sana paroko atakwambia kama hujarizika na utaratibu hama Makanisa mengine.
Since utii ndio nguzo ya ukatolikii watu inabidi tuwe wapole tutii...yaani unahudhuria mafundisho mpaka unaweza kuachana bure na mchumba wako mkiwa bado mpo kwenye mafundisho.
Lakini vijana wa hovyo hovyo wamebuni mbinu ya kukwepa miezi hiyo ya mufundisho. Ambayo sitaisema Ili kama paroko au askofu husika akisoma mada hii asigundue siri za kambo😅
___
Unaweza kujiuliza miezi tisa yote hiyo wanafundishwa vitu gani???
Wanafundisha vitu viiiingi sana, hadi wanasaikolojia kama Carl Jung na Maria Montessori wanawasoma. Baadhi ni topic zifundishwazo
Halafu kuna mtihani na nilazima ufaulu... Nongekua na soft copy ningewawekea mjisomee.
- Saikolojia, hasa maswala ya Personalities
- Reproduction
- Genetics
- Malezi ya mtoto from prenatal to postnatal Stage
- Uzazi wa mpango
- Sheria za ndoa KiKatiba
- Sheria za ndoa Kikanisa
- Jinsi ya kumuandaa na kumlizisha mwenza wako kitandani 🤣🤣🤣🏃🏃🏃
- Nk.......
Chini hapo nitaweka baadhi ya maswali yanayoulizwa kwenye paper.
Wakuu swala hili ni swa kweli jamani kufuata mafundisho kwa muda wote huo?????View attachment 2737753
View attachment 2737755
🤣🤣🤣Hakuna,nipo sema nimepunguza speed mkuuUmepotea bila shaka.ulifichwa na baharia.
Tuna masomo ya ndoa huku
Nachojua mafundisho yanafanyika siku za weekend tu.Hu
HUo ni uzee na uzamani. Wanadhani waumini wote wanakaa nyumbani na hawana pa kwenda wala cha kufanya?
Huko mkikaa hata wiki unaweza ukamuacha ila Ukristo unataka ndoa iwe ya kudumu that's why inabidi kupigwa msasa vizuri.Kaoe mskitini huko hata mafundisho hamna
Hii imekaa poa sana..naunga mkono huu utaratibu,tatizo watu wanajua ndoa ni harusi ....Wakuu
Kikawaida mafundisho ya ndoa za kikatoliki hua kati ya wiki 2 mpaka mwezi 1 lakini katika jimbo XXX (Jimbo katoliki) na parokia zake zote hali ni tofauti kabisa mafundisho ya ndoa ni lazima uhudhurie kwa miezi 9. Watu wamelalama kuhusu hili lakini askofu wala hana habari sana paroko atakwambia kama hujarizika na utaratibu hama Makanisa mengine.
Since utii ndio nguzo ya ukatolikii watu inabidi tuwe wapole tutii...yaani unahudhuria mafundisho mpaka unaweza kuachana bure na mchumba wako mkiwa bado mpo kwenye mafundisho.
Lakini vijana wa hovyo hovyo wamebuni mbinu ya kukwepa miezi hiyo ya mufundisho. Ambayo sitaisema Ili kama paroko au askofu husika akisoma mada hii asigundue siri za kambo😅
___
Unaweza kujiuliza miezi tisa yote hiyo wanafundishwa vitu gani???
Wanafundisha vitu viiiingi sana, hadi wanasaikolojia kama Carl Jung na Maria Montessori wanawasoma. Baadhi ni topic zifundishwazo
Halafu kuna mtihani na nilazima ufaulu... Nongekua na soft copy ningewawekea mjisomee.
- Saikolojia, hasa maswala ya Personalities
- Reproduction
- Genetics
- Malezi ya mtoto from prenatal to postnatal Stage
- Uzazi wa mpango
- Sheria za ndoa KiKatiba
- Sheria za ndoa Kikanisa
- Jinsi ya kumuandaa na kumlizisha mwenza wako kitandani 🤣🤣🤣🏃🏃🏃
- Nk.......
Chini hapo nitaweka baadhi ya maswali yanayoulizwa kwenye paper.
Wakuu swala hili ni swa kweli jamani kufuata mafundisho kwa muda wote huo?????View attachment 2737753
View attachment 2737755
😂😂😂nimecheka sana
View attachment 2737768
Akatoe mimba yake kwanzaMnanolewa hali ni mbaya ,tulia usome hizo cheating ndo chanzo hata cha kupata graduaates wa hovyo.
Fuata mafundisho ndoa sio rahisi.!
Tatizo makanisa yenu ya kiroho ya wachungaji na washirika wa hovyo uweza kwenda na mwenza wako kanisani ili kusajili ndoa palepale either mchugaji akamtaka akamkuhadia mwanaume mwingine anayetafuta mchumba pale pale madhabahuni kwa kisingizio roho mtakatifu kamshukia kwenye ndoto nyevuKatoliki ndoa mnafundishwa ndoa na mapdri wasioo
Wabajua nini? Kuhusu ndoa ? Utafundishwa mafundisho ya ndoa na asiyejua ndoa?
huyu wa sasa hivi ndo Mungu amekuchagulia. HongeraaaaaMpango wa kukuoa ulifeli🏃