NI SAHIHI TENA IWE MWAKA KABISA, KAMA TOPIC ZENYEWE NI HIZI👇👇.Wakuu
Kikawaida mafundisho ya ndoa za kikatoliki hua kati ya wiki 2 mpaka mwezi 1 lakini katika jimbo XXX (Jimbo katoliki) na parokia zake zote hali ni tofauti kabisa mafundisho ya ndoa ni lazima uhudhurie kwa miezi 9. Watu wamelalama kuhusu hili lakini askofu wala hana habari sana paroko atakwambia kama hujarizika na utaratibu hama Makanisa mengine.
Since utii ndio nguzo ya ukatolikii watu inabidi tuwe wapole tutii...yaani unahudhuria mafundisho mpaka unaweza kuachana bure na mchumba wako mkiwa bado mpo kwenye mafundisho.
Lakini vijana wa hovyo hovyo wamebuni mbinu ya kukwepa miezi hiyo ya mufundisho. Ambayo sitaisema Ili kama paroko au askofu husika akisoma mada hii asigundue siri za kambo😅
___
Unaweza kujiuliza miezi tisa yote hiyo wanafundishwa vitu gani???
Wanafundisha vitu viiiingi sana, hadi wanasaikolojia kama Carl Jung na Maria Montessori wanawasoma. Baadhi ni topic zifundishwazo
Halafu kuna mtihani na nilazima ufaulu... Nongekua na soft copy ningewawekea mjisomee.
- Saikolojia, hasa maswala ya Personalities
- Reproduction
- Genetics
- Malezi ya mtoto from prenatal to postnatal Stage
- Uzazi wa mpango
- Sheria za ndoa KiKatiba
- Sheria za ndoa Kikanisa
- Jinsi ya kumuandaa na kumlizisha mwenza wako kitandani 🤣🤣🤣🏃🏃🏃
- Nk.......
Chini hapo nitaweka baadhi ya maswali yanayoulizwa kwenye paper.
Wakuu swala hili ni swa kweli jamani kufuata mafundisho kwa muda wote huo?????View attachment 2737753
Unamchaguaje mtu ambaye tayari ana mwenyewe? Huo ni uvurugaji, mungu hapendi😀Kwahiyo wewe ulichaguliwa na mizimu au???🏃
Tell this to King David, alimpenda wa wenyewe akamaua mume. Mungu akambariki kabisa mtoto alliyetokana na huyo mwanamke akaja kua mtu tajiri na mwenye hekima kibao. King Solomon.Unamchaguaje mtu ambaye tayari ana mwenyewe? Huo ni uvurugaji, mungu hapendi😀
Mi ya muhimu na yanafaida zake pia lakini msingi mkuu unayoka kwenye familia yake alikolelewa hasa binti.Si ni kama nyongeza bali hayana tija ni kuchelewesheana maisha tuu
Kikubwa ushampata mwingine, ni jambo jema sanaTell this to King David, alimpenda wa wenyewe akamaua mume. Mungu akambariki kabisa mtoto alliyetokana na huyo mwanamke akaja kua mtu tajiri na mwenye hekima kibao. King Solomon.
So kwa case yako...hakuna ubaya🏃🏃
Swala ni muda siyo seminar. Miezi 9 ndo itanusuru ndoa zisivunjike? Nikisema kanisani kwangu naweka miaka 5 niko sawa? Kuna haja ya kuwa na muda maalumu kwa majimbo yote. Kanisa katoliki linaongozwa na clear ideology na liko systematic japo kuna watu wanaleta unaa wao tuNachojua mafundisho yanafanyika siku za weekend tu.
Na ukweli kizazi cha sasa ndoa zimekuwa changamoto bora utaratibu huu uwepo ili wakukata tamaa mapema aache maana kama umeshindwa kuhudhuria semina miezi tisa tena ya mafunzo ya kukusaidia usingeweza kuishi na mwanamke au mwanaume.
Kabisa mkuu, mtu kalelewa vibaya miaka 25 mafundisho ya miezi 9 yatafutaje uharibifu wa miaka yote. Mwiba hutoea ulipoingiliaMi ya muhimu na yanafaida zake pia lakini msingi mkuu unayoka kwenye familia yake alikolelewa hasa binti.
Mtoto ni malezi.
Yeah mke/mume hatengenezwi kanisani au msikitini familia/wazazi/walezi wakishaharibu ndio imetoka hiyoo.Kabisa mkuu, mtu kalelewa vibaya miaka 25 mafundisho ya miezi 9 yatafutaje uharibifu wa miaka yote. Mwiba hutoea ulipoingilia
Miezi 9 unahitimu Masters degree vyuo vya UKWakuu,
Kikawaida mafundisho ya ndoa za kikatoliki hua kati ya wiki 2 mpaka mwezi 1 lakini katika jimbo XXX (Jimbo katoliki) na parokia zake zote hali ni tofauti kabisa mafundisho ya ndoa ni lazima uhudhurie kwa miezi 9. Watu wamelalama kuhusu hili lakini askofu wala hana habari sana paroko atakwambia kama hujarizika na utaratibu hama Makanisa mengine.
Since utii ndio nguzo ya ukatolikii watu inabidi tuwe wapole tutii...yaani unahudhuria mafundisho mpaka unaweza kuachana bure na mchumba wako mkiwa bado mpo kwenye mafundisho.
Lakini vijana wa hovyo hovyo wamebuni mbinu ya kukwepa miezi hiyo ya mufundisho. Ambayo sitaisema Ili kama paroko au askofu husika akisoma mada hii asigundue siri za kambo😅
___
Unaweza kujiuliza miezi tisa yote hiyo wanafundishwa vitu gani? Wanafundisha vitu viiiingi sana, hadi wanasaikolojia kama Carl Jung na Maria Montessori wanawasoma. Baadhi ni topic zifundishwazo
Halafu kuna mtihani na nilazima ufaulu... Nongekua na soft copy ningewawekea mjisomee.
- Saikolojia, hasa maswala ya Personalities
- Reproduction
- Genetics
- Malezi ya mtoto from prenatal to postnatal Stage
- Uzazi wa mpango
- Sheria za ndoa KiKatiba
- Sheria za ndoa Kikanisa
- Jinsi ya kumuandaa na kumlizisha mwenza wako kitandani 🤣🤣🤣🏃🏃🏃
- Nk..
Chini hapo nitaweka baadhi ya maswali yanayoulizwa kwenye paper.
Wakuu swala hili ni swa kweli jamani kufuata mafundisho kwa muda wote huo?
View attachment 2737753
View attachment 2737755
Ndo maana ake.Daah Nusu muhula yaani sema uzuri mafundisho sio kila siku. Naona itafanywa TZ nzima iwe hivyo
Kama wewe ni paroko au unasikio la paroko sema nikuelekeze jimbo letu ukamshawishi paroko wenu akopi syllabus yetuMkuu,natamani ungetaja Jimbo nihamasisha watu waende kufunga Ndoa Huko.Somo mnalopewa hapo nisomo kubwa sana.Lakini Pia mapokuwa Darasani na mwenza wako mnafahamiana zaidi kitabia haiba etc.Cha muhimu ni kufahamu kwamba miezi 9 sio mingi hasa ukizingatia huyo mtu utaishi naye maisha yako yote....Hongera sana Baba Askofu na Maparoko.
Hao Maparoko wanaowaa nafasi ya kutoroka huo utaratibu Baba Askofu anawanonya
Vijana wa hovyo hatuishiwi mbinu ya kukimbia hiyo miezi 9. Ukweli kuna madini haswa maana kuna wakati hadi wanasaikolojia na Wanasheria wa kanisa wanaletwa kuwapigia pindi.Hahahahah nimecheka sana...poleni sana vijana wa hovyo...
Ila naona ni vzr sana mnapata madini ya kutosha sio kama sie wiki 2 baaaasii
Haya katafute mkuuVidum vinaruhusiwa ukibeba ndoo