Mafundisho ya ndoa miezi tisa ni sahihi?

Jitahidi tuu hivyo hivyo huna namna rfk
 
Ndoa nyingine miezi 9 zimeshajifia huko.

..... Eti taja tofauti kati ya mwanamke na mwanaume ....
Ni swala pana sana ukilitafakari kwa kina ni kama vile Yesu alivyouliza mimi ni nani??? Majibu yake yanaweza kujaza pages
 
Kumbe mnafundishwa biology kabisa. kama ni hivyo wapige miaka miwili kabisa.
By the way ni namna ya upigaji, muwawezeshe maparoko kusurvive. alafu wenyewe hawaoi so kuchelewesha hata haiwahusu
Wameweka muda mrefu ili watu mpate muda wa kufahamiana na kujipanga
 
Ukitoka hapo kafanye mgihani wa Biology na Civics unachukua score ya A🤣
 
Katoliki ni wanoma sana.. nimegundua faida ni nyingi za miezi yote hiyo
Wanaziba pengo la mafundo ya unyago.

Juzi nimenunua Biblia walioichapisha Paulines Publication ya Katoliki. Fahrasa kaandika Pengo in da house.

Biblia ya kiswahili. Pamoja na mazonhe yao lakini jamaa wana mambo adimu kwenye elimu na machapisho ya kiimani
 
Wanazingua sana mafundisho yao yana muda maalumu. Yaani yanaanza August to may. Ukichelewa huo muda ndio usubir mwaka mwingine inaboa sana
 
Katoliki ndoa mnafundishwa ndoa na mapdri wasioo

Wabajua nini? Kuhusu ndoa ? Utafundishwa mafundisho ya ndoa na asiyejua ndoa?
Usiskize stori za vijiweni. mafunzo yanatolewa na wataalam mbalimbali. Tena wengi wao hata sio mapadri kabisa
 
Usiskize stori za vijiweni. mafunzo yanatolewa na wataalam mbalimbali. Tena wengi wao hata sio mapadri kabisa
Wakifundisha Saikolojia wanakuja wataalam wa Saikolojia. Hadi wataalam wa afya wanakuja. Ndio maana hafundishwi mtu mmoja bali linakua darasa kabisa. Mkimaliza mafundisho kuna graduation eti😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…