Mafunzo ya kilimo cha kisasa cha greenhouse

Mafunzo ya kilimo cha kisasa cha greenhouse

Kutakuwa na ziara ya shamba darasa kwenye shamba langu kibaha tarehe 27 jumatano maeneo ya kibaha. Fee ni sh 30,000 utajifunza jinsi ya kujenga greenhouse, kulima nyanya a kisasa nje ya greenhouse na ufugaji samaki. Washafika watu 13 bado nafasi chache. Nipigie 0758308193
 
Makaribishwa katika iara ya kujifuna kilimo ha nyanya katika greenhouse siku ya juamosi ya wiki ijayo. karibuni
 
Kabla ya yote hizi zinazojengwa ni green house au mahema? (ukiacha zile za maua).

Unajenga green house/hema la milioni nane ambayo ungeweza kununua shamba ekari tano za shamba lenye maji.
unalima nyanya za kwenda kuuza kariakoo sawa na alielima shambani. Bora hata ungepata tenda supermarket au hotelini.

Kuna ulazima kwa sisi wenye ardhi kubwa hivi kujenga hizi green houses?
 
kabla ya yote hizi zinazojengwa ni green house au mahema? (ukiacha zile za maua).

unajenga green house/hema la milioni nane ambayo ungeweza kununua shamba ekari tano za shamba lenye maji.
unalima nyanya za kwenda kuuza kariakoo sawa na alielima shambani. bora hata ungepata tenda supermarket au hotelini.

kuna ulazima kwa sisi wenye ardhi kubwa hivi kujenga hizi green houses?

Kama hujui kitu mkuu ni bora ukakaa kimya au ukauliza kistaarabu utajibiwa vyema tu...
Kulima kama unavyosema ni kienyeji kwasababu huwezi ku-control hali ya hewa...
Unaweza kulima kama unavyosema ukaja ukame mkubwa na huna plan B utafanyaje?...
Au kukiwa na strong winds, wadudu wakivamiwa utawezaje kucontrol hali hiyo?...
Mazao utakayoyapata kwenye hiyo greenhouse kwa mwaka yanazidi yale utakayopata kwenye eka nzima na yatakuwa bora zaid...
Makampuni makubwa ulimwenguni yanatumia greenhouse kwasababu inawasaidia, wewe kama nani unazitolea maneno machafu?...
Jifunze kilimo cha tija na cha kisasa, sio kulima kienyeji...
 
Mkuu poe sana, kuna uwezekano huna uzoefu wa kilimo. Aliebuni Greenhouse ana sababu za msingi. Umewahi kujiuliza kipindi cha masika kwanini Nyanya, vitunguu, Hoho na Karoti Uadimika?, Kwanini hao wenye mashamba makubwa wanashindwa?. Umewahi kujiuliza kwanini Wayahudi ndio wanaongoza kwa kuuza mbongamboga duniani ingawa wako Jangwani?. Ukijua majibu haya vizuri utarudi kuomba msamaha
 
Kama hujui kitu mkuu ni bora ukakaa kimya au ukauliza kistaarabu utajibiwa vyema tu...
Kulima kama unavyosema ni kienyeji kwasababu huwezi ku-control hali ya hewa...
Unaweza kulima kama unavyosema ukaja ukame mkubwa na huna plan B utafanyaje?...
Au kukiwa na strong winds, wadudu wakivamiwa utawezaje kucontrol hali hiyo?...
Mazao utakayoyapata kwenye hiyo greenhouse kwa mwaka yanazidi yale utakayopata kwenye eka nzima na yatakuwa bora zaid...
Makampuni makubwa ulimwenguni yanatumia greenhouse kwasababu inawasaidia, wewe kama nani unazitolea maneno machafu?...
Jifunze kilimo cha tija na cha kisasa, sio kulima kienyeji...
hivi hizi green houses zetu unaaweza control hali ya hewa? kwani ukame ukija hauingii kwenye magreen house? strong wind ikija hata green house/hema litabomoka. wadudu labda panzi ndiyo itawazuia lakini siyo magonjwa kama fungus. pia unazuia wadudu unakosa uchavushaji.

hiyo habari ya return kubwa ndiyo mnapolizwa. mita mraba 200 haziwezi kuzidi ekari kwa uzalishaji iwapo mbolea, maji, madawa na huduma vinawiana.. unjenga hema la 8m kwaajili ya kuzuia panzi na nyuki wachavushaji.
 
Mkuu poe sana, kuna uwezekano huna uzoefu wa kilimo. Aliebuni Greenhouse ana sababu za msingi. Umewahi kujiuliza kipindi cha masika kwanini Nyanya, vitunguu, Hoho na Karoti Uadimika?, Kwanini hao wenye mashamba makubwa wanashindwa?. Umewahi kujiuliza kwanini Wayahudi ndio wanaongoza kwa kuuza mbongamboga duniani ingawa wako Jangwani?. Ukijua majibu haya vizuri utarudi kuomba msamaha
wayahhudi wako jangwani, hawana maji ya kutosha tofauti na sisi. green houses zipo kwaajili ya maeneo yenye extreme weather na kwaajili ya delicate crops kama maua. haya mambo ya vitunguu ni kkukosa storage nzuri na matumizi ya madawa wakati wa masika.
 
Green house ni nzuri sana kwani mavuno unayoweza kuvuna kwenye eka mbili yanaweza kuwa ni kidogo ukilifananisha na Yale yanayotoka kwenye green house amabayo no almost robo eka. Wajasiria Mali whatsaap group 0762600100 karibuni
 
Hata magali used wapo wanao yataka na wapo wanao yaponda
 
hivi hizi green houses zetu unaaweza control hali ya hewa? kwani ukame ukija hauingii kwenye magreen house? strong wind ikija hata green house/hema litabomoka. wadudu labda panzi ndiyo itawazuia lakini siyo magonjwa kama fungus. pia unazuia wadudu unakosa uchavushaji.

hiyo habari ya return kubwa ndiyo mnapolizwa. mita mraba 200 haziwezi kuzidi ekari kwa uzalishaji iwapo mbolea, maji, madawa na huduma vinawiana.. unjenga hema la 8m kwaajili ya kuzuia panzi na nyuki wachavushaji.


Mwanzo kidogo nilikuwa nahisi hoja yako ni kuelemishwa.
Ila kwa post hii ndio nimeelewa kweli kwamba Hujui hata nini Maana ya Greenhouse.Acha story za vijiweni.
Wenzio Kenya tu hapo wanamashamba hadi Juu ya Ghorofa,we unasema hizi Greenhouse za kwetu za chini ya Ardhi.
 
Mwanzo kidogo nilikuwa nahisi hoja yako ni kuelemishwa.
Ila kwa post hii ndio nimeelewa kweli kwamba Hujui hata nini Maana ya Greenhouse.Acha story za vijiweni.
Wenzio Kenya tu hapo wanamashamba hadi Juu ya Ghorofa,we unasema hizi Greenhouse za kwetu za chini ya Ardhi.

Mkuu green house inasaidia sana lakini kikubwa kwa nchini kwetu ni kama aina mpya watu wengi hawana elimu ya kilimo cha green house ndio maana wanakiponda na hawajui faida za kilimo cha green house.
 
Afadhali umetusaidia kutujibia maana wengine hatuna simile tungemjibu utumbo tu
kama hujui kitu mkuu ni bora ukakaa kimya au ukauliza kistaarabu utajibiwa vyema tu...
Kulima kama unavyosema ni kienyeji kwasababu huwezi ku-control hali ya hewa...
Unaweza kulima kama unavyosema ukaja ukame mkubwa na huna plan b utafanyaje?...
Au kukiwa na strong winds, wadudu wakivamiwa utawezaje kucontrol hali hiyo?...
Mazao utakayoyapata kwenye hiyo greenhouse kwa mwaka yanazidi yale utakayopata kwenye eka nzima na yatakuwa bora zaid...
Makampuni makubwa ulimwenguni yanatumia greenhouse kwasababu inawasaidia, wewe kama nani unazitolea maneno machafu?...
Jifunze kilimo cha tija na cha kisasa, sio kulima kienyeji...
 
wasiwasi wangu mkubwa ni iwapo haya mahema yanalipa kiuchumi. kuna hawa watu hujenga magghorofa marefu. ili yawalipe huangalia vitu vifuatavyo. gharama ya ardhi, kama ardhi ni cheap hawajengi kwenda juu bali wanatandaza majengo. pia wanaangalia kama watapata wateja kucover costs zao. ndiyo maana dar kuna maghorofa na katavi hamna. mi naona kujenga hizo green houses bongo ni sawa na kujenga PPF tower katavi. litapendeza ila litakulipa?
 
wasiwasi wangu mkubwa ni iwapo haya mahema yanalipa kiuchumi. kuna hawa watu hujenga magghorofa marefu. ili yawalipe huangalia vitu vifuatavyo. gharama ya ardhi, kama ardhi ni cheap hawajengi kwenda juu bali wanatandaza majengo. pia wanaangalia kama watapata wateja kucover costs zao. ndiyo maana dar kuna maghorofa na katavi hamna. mi naona kujenga hizo green houses bongo ni sawa na kujenga PPF tower katavi. litapendeza ila litakulipa?

Lukelo Sakafu ananafuu
Nyie mliotoroka kitengo mnatupa shida sana humu JF,hembu mtafute Dormitory Monitor,Lukelo Sakafu labda ana tablets alizotoroka nazo akusaidie uwe sawa,maana mwanzo na yeye alikuwa kama wewe.Ila alisaidiwa angalua nafuu tunaanza kuiona.
 
hivi hizi green houses zetu unaaweza control hali ya hewa? kwani ukame ukija hauingii kwenye magreen house? strong wind ikija hata green house/hema litabomoka. wadudu labda panzi ndiyo itawazuia lakini siyo magonjwa kama fungus. pia unazuia wadudu unakosa uchavushaji.

hiyo habari ya return kubwa ndiyo mnapolizwa. mita mraba 200 haziwezi kuzidi ekari kwa uzalishaji iwapo mbolea, maji, madawa na huduma vinawiana.. unjenga hema la 8m kwaajili ya kuzuia panzi na nyuki wachavushaji.

Hali ya hewa unaweza kuicontrol vizuri tu mkuu, usikariri..
Kuna drip irrigations ambayo inafanya mmea unapata maji wakati wote, sasa huo ukame una affect vipi mazao yako?
Mbegu za kisasa zinafanya kazi nzuri tu ya self pollination, unadhani wanaotengeneza hizo greenhouse hawakuona hivyo?
Magonjwa na wadudu wadogo wapo hata ulime ndani ya glass, ila ukilima ndani ya greenhouse inakufanya uweze kucontrol na kuhudumia mazao yako karibu na kisasa. Madawa ya kupiga yapo, haikupi exception ya kutopata magonjwa...
Greenhouse zinajengwa kisasa, hizo strong winds tunazoziongelea hapa ni zile ambazo zinaharibu mazao shambani, kama unaongelea zile za kuezua hadi nyumba hilo ni swala jingne.l..
Return ya greenhouse usiongelee kabisa, manake hujui unachokiongea...
 
Afadhali umetusaidia kutujibia maana wengine hatuna simile tungemjibu utumbo tu

Watu kama hawa ndo wale wanakaa maofisni na kuishia kuponda profession za watu...
Muulize hata kama alishawahi kulima mchicha hapa...
 
Kabla mtu hujui kitu ni bora hata ukatumia mtandao ujifunze jinsi haya mambo yanavyofanya kazi kuliko kuja kushusha tuhuma zisizo na msingi humu...
 
Back
Top Bottom