Mafunzo ya kilimo cha kisasa cha greenhouse

Mafunzo ya kilimo cha kisasa cha greenhouse

hawa ni waholanzi. baridi imepiga mazao hayawezi kukua wakaamua kujenge greenhouses. cheki kwanza zinavyoeleweka.
13253803-Young-plants-growing-in-a-very-large-plant-nursery-in-the-Netherlands--Stock-Photo.jpg
1367835380_1061ServiceBuilding.jpg
1367915015_Cucumber%20Chine.JPG
13253803-Young-plants-growing-in-a-very-large-plant-nursery-in-the-Netherlands--Stock-Photo.jpg
 
huyu ni mbongo tozi aliyekurupuka bila kufanya feasibility.
large.jpg
20130826-kenya-greenhouses-main1.jpg
5767493491_238d63d3af_b.jpg
 
Siku ya jumatatu tutakuwa tunatoa semina kwa wakazi wa baganoyo. Then tunaenda mkuranga halafu kisarawe. Anayetaka ku join anipigie tu
 
Naombeni kusaidiwa namba za hawa wataalamu wa hizi GH, nataka kujenga na Mimi moja nilime nyanya
 
Wasiliana na Sanctus Mtsimbe(Spicerman) wa AMKA na BADILIKAA kipindi cha TBC
sim 0755285023
Huyu atakupa vichwa vyenye taaluma hiyo,kwa Tanzania na kwa Kenya.
Huyu Jamaa ni Tanzanite Member humu wa JF

Ndugu!! Huyu bwana nilimtumia sms nikamuomba hivyo! Lakini ni kwamba kwa utaratibu uliopo itabidi uhudhurie semina ya mafunzo ya Ujasiriamali ambapo ndio unafundishwa hayo..na semina hiyo ni ya malipo kwanza ambapo kwa SMS niliyojibiwa kiingilio ni laki moja na unatuma kwanza kwa mpesa..
 
hiyo niliona watu wanaolima sehemu kame sana wakitumia kupunguza evaporation/transpiration.
mfano hawa wamexico walilima bangi.
article-2015001-0D06C72D00000578-914_634x286.jpg
article-0-0D03C5E400000578-593_634x405.jpg

Habari! kumbe mtu anaweza kununua maturubai ya kawaida na mbao au miti akajenga mweyewe, kumbe sio lazima white sheets? alafu unanunua na drip line system unaanza kilimo, kama ni hivyo mbona wengi tutawezaaaa.
 
Ndugu!! Huyu bwana nilimtumia sms nikamuomba hivyo! Lakini ni kwamba kwa utaratibu uliopo itabidi uhudhurie semina ya mafunzo ya Ujasiriamali ambapo ndio unafundishwa hayo..na semina hiyo ni ya malipo kwanza ambapo kwa SMS niliyojibiwa kiingilio ni laki moja na unatuma kwanza kwa mpesa..

Kimbia matapeli ndugu yangu...
Unaweza kujaribu pale balton...
 
You don't need to be inspired to be an entrepreneur...
Do what makes you comfotable...
Afterall success comes after quitting comfort zone...
 
Nalianzisha.
Sanctus Mtsimbe (Spiderman),hembu tuambei Bei kwa Sasa ya ujenzi huu imefika kiasi gani.Full Package.
Maana June last year was 5m,je latest ni ngapi.
Also any new idea kama ipo
 
Hivi km unaishi mikoani km vile kule kwetu Njombe,mnaweza kufika huko na bei yake ikawa hiyohiyo?.
 
hivi hizi green houses zetu unaaweza control hali ya hewa? kwani ukame ukija hauingii kwenye magreen house? strong wind ikija hata green house/hema litabomoka. wadudu labda panzi ndiyo itawazuia lakini siyo magonjwa kama fungus. pia unazuia wadudu unakosa uchavushaji.

hiyo habari ya return kubwa ndiyo mnapolizwa. mita mraba 200 haziwezi kuzidi ekari kwa uzalishaji iwapo mbolea, maji, madawa na huduma vinawiana.. unjenga hema la 8m kwaajili ya kuzuia panzi na nyuki wachavushaji.

Bwaaaaaa...............ha ha ha hahaaa!!!

Nimepishana na taahira la mirembe mlangoni!
 
Ndugu!! Huyu bwana nilimtumia sms nikamuomba hivyo! Lakini ni kwamba kwa utaratibu uliopo itabidi uhudhurie semina ya mafunzo ya Ujasiriamali ambapo ndio unafundishwa hayo..na semina hiyo ni ya malipo kwanza ambapo kwa SMS niliyojibiwa kiingilio ni laki moja na unatuma kwanza kwa mpesa..
Duuhhh,Sasa hili nalo tatizo
Bora ingekuwa Charge ya Consultation tu,then pesa ya Semina iwe kwenye Malipo kamili wakati wa kufanya maamuzi.

Maana mtu unataka kwanza ushauri,maana semina lazima watakuvutia upande wao.
 
Duuhhh,Sasa hili nalo tatizo
Bora ingekuwa Charge ya Consultation tu,then pesa ya Semina iwe kwenye Malipo kamili wakati wa kufanya maamuzi.

Maana mtu unataka kwanza ushauri,maana semina lazima watakuvutia upande wao.
hii habari ya ma greenhouse bongo ni utapeli. na wabongo wakurupukaji wanaingia mkenge. unajua moja ya dalili za kichaa ni kuinvest on unsound projects.
 
Fuatilia wazungu walianzia wapi na gh ya kwanza ilikuaje then uje upige kelele.

Wahtaj wa gh waoneni makampun kama balton,sevia,tapp na taha lazma watakua na connection na watu wa gh maana wao pia huwatumia kujenga ya kwao
 
Back
Top Bottom