Mji wa Ifakara unapaswa kuhamishwa hapo na kupelekwa maendeleo ya milimani juu ya uwanja wa ndege.Hali ni mbaya. Maji ni mengi mji wa Ifakara kwa 80% upo kwenye maji.
Hasara ni kubwa haswa kwa wafanya biashara za hardware. Cement na gipsam zimeharibika kwa kiwango kikubwa.
Kuna baadhi ya familia zinahitaji msaada.
Mtuombee.