Mafuriko ya watalii nchini, nampongeza Rais Samia Suluhu

Mafuriko ya watalii nchini, nampongeza Rais Samia Suluhu

sio unafki wala kujipendekeza, mama amefanya kazi kubwa kuhakikisha watalii wanakuja. Huu ndio ukweli

Angalia idadi ya sasa, wingi wao ndani ya muda mchache ndio utaamini kwamba mama ameupiga mwingi.

Ww unaakili za Maisha ya kawaida kwamba mpaka uone tangazo la Revola ndio uende dukani ukanunue

Wazungu kwenye utalii hawako hivyo, mwaka mmoja au miez 8 kabla ya Safari wanakuwa washalipa mpaka room za hotel
 
Back
Top Bottom