Mafuta gani yanafanya kubaki na ngozi asilia, bila kubadili mwonekano.

Mafuta gani yanafanya kubaki na ngozi asilia, bila kubadili mwonekano.

Dooh, asante. Kuyapata haya ni shughuli maana nayaonaga google tu kwa picha.

Kwa ujazo huo unanunua kwa bei gani?.

Mzee mwenzangu The Eric unayaona hayo mafuta kutoka SA. Wewe ukipakaa ya wapi...!?
Natumia yale ya kopo la blue.
 
Kama ni hayo ya pichani basi umepigwa.Yapo ya aina mbili kuna ya Kenya na South Africa, hayo yako ni ya Kenya ni mabaya sana ukipaka ngozi inaweka kama mabaka mabaka na harufu yake haisomeki.

Ukienda tena dukani hakikisha unanunua ya South Africa soma kwa nyuma kwenye kopo wanakua wameandika.
ahsante sana
 
Salaam wanajukwaa huru la urembo, mitindo na utanashati yaani lifestyles.....

Mimi ni mwanaume mweusi (weusi wa chocolate yaani maji ya kunde), recently natamani sana nibakie kwenye weusi wangu asilia yaani from my origin.

Kipindi cha nyuma like few years past niliona kunga'aa ni good looking kwa swala zima la kuwa nadhifu but definitely! I was't right in my recent decisions.

Natumia Protex soap kuogea which is bar soap na siyo shower gel, wakati wa baridi natumia Vaseline ya mgando (Vaseline for men iliyopo kwenye kopo la blue kuna cool na fresh) maana nipo maeneo ya baridi, wakati wa Joto (jua) kama sasa natumia lotion ya Vaseline.

Nazidi kunga'aa na kupoteza weusi asilia.....

Kuna mawazo unaweza pendezwa nayo mwanzo lakini baadae ukaona ni wrong mfano kuna wazo lilinijia la kuongeza body weight maana nilikuwa mwemba mrefu nikaona bora nizangatie diet niende GYM ninyanyue weight ni gain muscles........

But the moment niko GYM nikawa na workout na tumbo yaani kupata flat tumbo na kukata lower fat at the belly, changamoto ikaja lazima nifanye aerobic exercises, so nikashift kimawazo toka kujenga muscles kwa kugain weight mpaka kuja kuamua tena kuloose weight sababu ya ABS (wanamazoezi watanielewa nikisema ABS)

Kwa hiyo kwa sasa nipo katika equilbrium nipo interested na kugain weight lakini vile vile na workout na ABS.

Lets know ni mafuta gani natural, plus soap zisizo kuwa na impacts kubwa kwa ngozi, specifically for men.
Jaribu mafuta ya maziwa ya nguruwe au ya maziwa ya ng'ombe. Ila tumia mafuta ya maziwa ya ng'ombe, mafuta nguruwe siyo mazuri, ngozi itakuwa laini sana kama kitoto
 
Dooh, asante. Kuyapata haya ni shughuli maana nayaonaga google tu kwa picha.

Kwa ujazo huo unanunua kwa bei gani?.

Mzee mwenzangu The Eric unayaona hayo mafuta kutoka SA. Wewe ukipakaa ya wapi...!?
Vaseline zote zinatengenezwa na Unilever ambayo ni brand kubwa ya consumer goods duniani. Vaseline iwe ya Kenya au ya South Africa viwango vya ubora ni vilevile hivyo usisikie maneno ya mtaani kuwa ya Kenya ni fake na ya South Africa ni original. Kwanza wana distribution ya kikanda ukikutana na Vaseline ya South Africa ikiwa Tanzania ujue haikulengwa ije huku na probability ya hiyo kuwa fake ni kubwa kuliko ya Kenya.

Vaseline ni ya Marekani, Unilever kampuni mmiliki ni ya Uingereza. Hao Kenyans na South Africans ni wakuja na wako sawa.
 
Dawa ya meno colgate max fresh ndio imechakachuliwa ipo km whitedent tu kwa sasa,

Sikukumbuka kupiga picha

Alianza kujishaua inavyouzwa bei ghali 15k mara haipatikani kwa sasa yani bla bla zilikuwa nyingi mpaka akaniboa, wakati mwanzo kabla ya sijaisifia alisema 3500
We mtu unamjua kabisa kuwa ni MHAYA, na bado ukamchokoza kwa kusifia kitu chake, ulikuwa unategemea nini mkuu?..🤔🤔 ..😂😂😂😂
 
Salaam wanajukwaa huru la urembo, mitindo na utanashati yaani lifestyles.....

Mimi ni mwanaume mweusi (weusi wa chocolate yaani maji ya kunde), recently natamani sana nibakie kwenye weusi wangu asilia yaani from my origin.

Kipindi cha nyuma like few years past niliona kunga'aa ni good looking kwa swala zima la kuwa nadhifu but definitely! I was't right in my recent decisions.

Natumia Protex soap kuogea which is bar soap na siyo shower gel, wakati wa baridi natumia Vaseline ya mgando (Vaseline for men iliyopo kwenye kopo la blue kuna cool na fresh) maana nipo maeneo ya baridi, wakati wa Joto (jua) kama sasa natumia lotion ya Vaseline.

Nazidi kunga'aa na kupoteza weusi asilia.....

Kuna mawazo unaweza pendezwa nayo mwanzo lakini baadae ukaona ni wrong mfano kuna wazo lilinijia la kuongeza body weight maana nilikuwa mwemba mrefu nikaona bora nizangatie diet niende GYM ninyanyue weight ni gain muscles........

But the moment niko GYM nikawa na workout na tumbo yaani kupata flat tumbo na kukata lower fat at the belly, changamoto ikaja lazima nifanye aerobic exercises, so nikashift kimawazo toka kujenga muscles kwa kugain weight mpaka kuja kuamua tena kuloose weight sababu ya ABS (wanamazoezi watanielewa nikisema ABS)

Kwa hiyo kwa sasa nipo katika equilbrium nipo interested na kugain weight lakini vile vile na workout na ABS.

Lets know ni mafuta gani natural, plus soap zisizo kuwa na impacts kubwa kwa ngozi, specifically for men.
Yale anayotumia pdiddy. Ni mafuta ya watoto yanaitwa Johnson’s… jaribu hayo. Hata mimi nayatumia na ngozi ni safi. Ukiahindwa kabisa, jipake ile sabuni ya Kenya Kwanga😜
 
Kama ni hayo ya pichani basi umepigwa.Yapo ya aina mbili kuna ya Kenya na South Africa, hayo yako ni ya Kenya ni mabaya sana ukipaka ngozi inaweka kama mabaka mabaka na harufu yake haisomeki.

Ukienda tena dukani hakikisha unanunua ya South Africa soma kwa nyuma kwenye kopo wanakua wameandika.
Wakenya wametuharibia hadi NIVEA aiseeeh!🚮🥲
 
Dooh, asante. Kuyapata haya ni shughuli maana nayaonaga google tu kwa picha.

Kwa ujazo huo unanunua kwa bei gani?.

Mzee mwenzangu The Eric unayaona hayo mafuta kutoka SA. Wewe ukipakaa ya wapi...!?
Ya kenya ndio yapo mengi mtaani, sema hao vaseline nadhani wamebranches products zao kikanda.
 
Vaseline zote zinatengenezwa na Unilever ambayo ni brand kubwa ya consumer goods duniani. Vaseline iwe ya Kenya au ya South Africa viwango vya ubora ni vilevile hivyo usisikie maneno ya mtaani kuwa ya Kenya ni fake na ya South Africa ni original. Kwanza wana distribution ya kikanda ukikutana na Vaseline ya South Africa ikiwa Tanzania ujue haikulengwa ije huku na probability ya hiyo kuwa fake ni kubwa kuliko ya Kenya.

Vaseline ni ya Marekani, Unilever kampuni mmiliki ni ya Uingereza. Hao Kenyans na South Africans ni wakuja na wako sawa.
Shukrani kwa kuniondolea hofu. Haya mafuta nayatumia mwaka wa nne huu.
 
Back
Top Bottom