Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi vaselinegel mixer na coconut oil vimenikubali.Nimeingia google kuuliza hiki ulichokiuliza na wamenileta jf kukutana na uzi wako. Naomba jibu kutoka kwako baada ya kupata jawabu sahihi. Je, ni mafuta gani? Wachangiaji wengi nimeona wamesema NIVEA na VASELINE.
1. mafuta ya kupikia , ukipata sunola itapendeza zaidiShkamooni wakuu over 24+ Inakuwaje wakuu under <23.
Nauliza ni mafuta gani mazuri (skin care routine) ambayo nikitumia sitowahi kubadili?
Name & Price (bei za kawaida) na ni wapi naweza kuyapata? Ikipendeza drop na picture yake.
hivyo unashindana na wife katika unyororo wa ngozi nduguNisha tumia mwaka wa 15 huu, cha kushangaza ngozi yangu ipo vizuri kuliko wife mwenye mabegi mawili ya mafuta.
hivyo unashindana na wife katika unyororo wa ngozi nduguNisha tumia mwaka wa 15 huu, cha kushangaza ngozi yangu ipo vizuri kuliko wife mwenye mabegi mawili ya mafuta.
kwamba wote tunapaka mafuta sawa?Brain slept.
Marahaba...hujambo?! Kuhusu mafuta hilo sijui kwa kweliShkamooni wakuu over 24+ Inakuwaje wakuu under <23.
Nauliza ni mafuta gani mazuri (skin care routine) ambayo nikitumia sitowahi kubadili?
Name & Price (bei za kawaida) na ni wapi naweza kuyapata? Ikipendeza drop na picture yake.
Asante mkuu.Mimi vaselinegel mixer na coconut oil vimenikubali.
Ni ya kupikia sio ya kula......Sunflower si ya kula kaka?